Mkuu kwanza sio lazima wew uanze kumwambia, sababu ukimwambia inaweza kuwa ndo tiketi yake kukuacha.....cha kufanya kama kweli unampenda na unamalengo nae, jitahidi iongezewe uoendo, jitahidi umjari zaidi ya sasa, jitahidi umheshimu, jitahidi uwe perfect gentleman kwake, badilika kuwa positive jitahidi hata kuwa unamwambia malengo yako kwake na malengo ya biashara na career yako unavyotaka iwe...... pia jitahidi usali Mungu atafanya kitu..... After all ulifanya haya yeye mwenyewe kama ni mtu wa kujielewa basi atabadilika ila uoneshe you are the top gentleman kimawazo kaka.....unaweza kumuacha pia lakini kama unampenda kwa kiasi kikubwa utateseka tu utakaposhindwa kumsahau.....
Sent using
Jamii Forums mobile app