Nilichokikuta kwenye simu ya mpenzi wangu nimebaki njia panda, niendelee naye au nimuache?

Nilichokikuta kwenye simu ya mpenzi wangu nimebaki njia panda, niendelee naye au nimuache?

Tatizo vijana mnajidanganya sana upo chjo fhen unaongea mambo ya ndoa...acha upuuzi huo chuo wee gegeda warembo wengi uwezavyo kaka. Hawa sjo watu wakupenda alingizwa mkenge adam pamoja na ukamilifu wake ndio iwe wewe ....ushauri wa bure ni wee kamatia warembo hapo chuo ujigegedee
 
Tatizo vijana mnajidanganya sana upo chjo fhen unaongea mambo ya ndoa...acha upuuzi huo chuo wee gegeda warembo wengi uwezavyo kaka. Hawa sjo watu wakupenda alingizwa mkenge adam pamoja na ukamilifu wake ndio iwe wewe ....ushauri wa bure ni wee kamatia warembo hapo chuo ujigegedee
@mzabzab unaoa lini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ikifika hiyo siku uniambie basi nijitwalie hiyo bahati ya kuolewa na hendsam mzabzab

Sent using Jamii Forums mobile app

hahaha wala usijali mbona ndani ya miaka miwili nitakuwa nilishafikisha idadi ambayo ni target yangu. so wewe jiweke sawa tuu mrembo....ila kiuno unaweza chezesha sio twafika huko mie full majonzi hahaha
 
Aisee ukimchunguza sana bata au mnyama yeyote nakuapia huwezi kumla kamwe, nakumbuka maneno ya shangazi yangu alinisihi sana juu ya kuchunguza simu ya mpenzi wako kamwe hamtokuja kudumu kwenye mapenzi so kijana uyo demu fanya maamuzi piga chini au lah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usijali ndani ya miaka hii miwili nitajifunza na kufanya mazoezi kwa wenzio ili nikija kwako niwe nimeiva. I hope you won't mind haha
hahaha wala usijali mbona ndani ya miaka miwili nitakuwa nilishafikisha idadi ambayo ni target yangu. so wewe jiweke sawa tuu mrembo....ila kiuno unaweza chezesha sio twafika huko mie full majonzi hahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usijali ndani ya miaka hii miwili nitajifunza na kufanya mazoezi kwa wenzio ili nikija kwako niwe nimeiva. I hope you won't mind haha

Sent using Jamii Forums mobile app

hahahaha i wont , wala usijali maana mie mwenyewe nitakuwa nala tizi la kufa mtuu huku. my worry ni usije ukafika sehemu ukanasa maana nyie wenzetu mgegedo ukinoga tuu mwataka weka kambi hahaha
 
Hahaha sitaweka maana nina ahadi ya kuoana na wewe hapo
hahahaha i wont , wala usijali maana mie mwenyewe nitakuwa nala tizi la kufa mtuu huku. my worry ni usije ukafika sehemu ukanasa maana nyie wenzetu mgegedo ukinoga tuu mwataka weka kambi hahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwanza sio lazima wew uanze kumwambia, sababu ukimwambia inaweza kuwa ndo tiketi yake kukuacha.....cha kufanya kama kweli unampenda na unamalengo nae, jitahidi iongezewe uoendo, jitahidi umjari zaidi ya sasa, jitahidi umheshimu, jitahidi uwe perfect gentleman kwake, badilika kuwa positive jitahidi hata kuwa unamwambia malengo yako kwake na malengo ya biashara na career yako unavyotaka iwe...... pia jitahidi usali Mungu atafanya kitu..... After all ulifanya haya yeye mwenyewe kama ni mtu wa kujielewa basi atabadilika ila uoneshe you are the top gentleman kimawazo kaka.....unaweza kumuacha pia lakini kama unampenda kwa kiasi kikubwa utateseka tu utakaposhindwa kumsahau.....

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu una mshauri amuombe Mungu atafanya kitu. Yaani mna muhusisha kwenye mambo ya uasherati?
 
Kumchunguza huyo mwanamke hujakosea, wanakukosoa sikubaliani nao, hata mm ukinipa ujuzi ntajaribu kumdukua shemeji wako, ila cha kufanya mpige chini, chukua hela ingia baa kunywa lewa hela ziishe ili upate hasira kwamba hili jitu limenifanya nifulie,baada ya hapo endelea na maisha, nipe na mm hiyo app
 
Kuwa mwanaume-mambo kama haya unataka ushauri.Ulifanya udukuzi, ulichokitaka umekipata. fanya maamuzi mwenyewe kwani haukutumwa na mtu
 
Ha Ha ha hii thread inafurahisha sana yaani ktk reply takribani 90+ ushauri alioupata mleta mada hauzidi comment 5 zilizobaki ni za kukosoa uandishi wa mleta mada

Nadhani wakati mwingine atafanya vizuri zaidi ktk uandishi

Ila kwa ushauri tu kwa hoja iliyopo ni mleta mada jikite zaidi kwenye kusoma ili usijeukapoteza yote maana mshika mawili moja humponyoka mahusiano yapo na yataendelea kuwepo tu huyo unayejiita mpenzi wako siyo ni mpenzi wa wengine kuhangaika naye ni kuhamisha muda ambao ungeutumia kutengeneza ufaulu wako kwa kusoma kwa bidii na kwa level uliyopo unahitaji kusoma zaidi mwaka mmoja na miezi kadhaa mpk umalize siyo mbali ukiamua kufunga zipu na kufungua ubongo kuujaza unachosomea
 
Back
Top Bottom