Nilichokiona kwenye mahabusu hii ya polisi ni mateso. Criminal justice of Tanzania is cruel

Nilichokiona kwenye mahabusu hii ya polisi ni mateso. Criminal justice of Tanzania is cruel

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Masa 24 unalala kwenye sakafu.

Dhamana za polisi ni ngumu kupata.

Mahabusu wanacheleweshwa kupelekwa mahakamani kinyume na sheria.

Sakafu ni baridi kanakwamba zimemwagiwa barafu.

Waziri yupo tu wala hafanyi ziara yoyote kukagua.

1000005089.jpg
 
Masa 24 unalala kwenye sakafu.

Dhamana za polisi ni ngumu kupata.

Mahabusu wanacheleweshwa kupelekwa mahakamani kinyume na sheria.

Sakafu ni baridi kanakwamba zimemwagiwa barafu.

Waziri yupo tu wala hafanyi ziara yoyote kukagua.

View attachment 2823183
polisi humchelewesha mtuhumiwa kumpeleka mahakamani ili kutafuta maokoto
 
Kwa hiyo mnapendekeza Mahabusu ziwekwe magodoro,mablanketi nk??vikiwekwa hivyo vitu huko Mahabusu hakutakalika kutokana na harufu ya uvundo nk
 
Kwa hiyo mnapendekeza Mahabusu ziwekwe magodoro,mablanketi nk??vikiwekwa hivyo vitu huko Mahabusu hakutakalika kutokana na harufu ya uvundo nk
Kwa nini msinunue mashine za kufulia nguo? Kwa nini ukae na mahabusu zaidi ya wiki?
 
Back
Top Bottom