Nilichokiona kwenye mahabusu hii ya polisi ni mateso. Criminal justice of Tanzania is cruel

Nilichokiona kwenye mahabusu hii ya polisi ni mateso. Criminal justice of Tanzania is cruel

Masa 24 unalala kwenye sakafu.

Dhamana za polisi ni ngumu kupata.

Mahabusu wanacheleweshwa kupelekwa mahakamani kinyume na sheria.

Sakafu ni baridi kanakwamba zimemwagiwa barafu.

Waziri yupo tu wala hafanyi ziara yoyote kukagua.

View attachment 2823183
Siku nyingine ukikamatwa nenda na godoro lako, au lipia Mahabusu ya VIP upelekwe kule kuna vitu vyote utakavyo wwe!!
 
Masa 24 unalala kwenye sakafu.

Dhamana za polisi ni ngumu kupata.

Mahabusu wanacheleweshwa kupelekwa mahakamani kinyume na sheria.

Sakafu ni baridi kanakwamba zimemwagiwa barafu.

Waziri yupo tu wala hafanyi ziara yoyote kukagua.

View attachment 2823183
Polisi ina nafasi yake nzuri kwemye moyo wa shetani.

Wana uhakika wa kufanya uhalifu kwa mujibu wa sheria. Wahalifu in uniforms
 
Masa 24 unalala kwenye sakafu.

Dhamana za polisi ni ngumu kupata.

Mahabusu wanacheleweshwa kupelekwa mahakamani kinyume na sheria.

Sakafu ni baridi kanakwamba zimemwagiwa barafu.

Waziri yupo tu wala hafanyi ziara yoyote kukagua.

View attachment 2823183

Serikali mpya itakuwa na mengi ya kunyoosha. CDM wasikie.

V
 
Siku nyingine nunua maji makubwa, utayatumia kama sehemu ya kuegesha kichwa.
 
Kwa hiyo mnapendekeza Mahabusu ziwekwe magodoro,mablanketi nk??vikiwekwa hivyo vitu huko Mahabusu hakutakalika kutokana na harufu ya uvundo nk
Uzuri kule hakuna mwenyewe. Labda raisi sababu ana kinga.
 
Hiyo mbona ipo kitambo sana. Mahabusu nyingi za polisi hakuna cha kulalia. Ukiingia unajibanza zako kwenye kona au ukuta wa hicho chumba; ndiyo imeisha hiyo.
Tena ana bahati kaikuta Safi zingine ukiingia unakaribisha na kinyesi plus mikojo unakanyaga miguuni,
 
Ulitaka mahabusu pawe pa kishua ili watoto wa mbwa wakapange foleni haraka haraka ya kwenda huko.
 
Back
Top Bottom