Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Yule bwege mkata mauno? CCM tatizo lao ni kupenda wanasiasa wanaofanya kazi kisanii.Aliyeiweza hiyo wizara ni Kangi Lugola
polisi humchelewesha mtuhumiwa kumpeleka mahakamani ili kutafuta maokotoMasa 24 unalala kwenye sakafu.
Dhamana za polisi ni ngumu kupata.
Mahabusu wanacheleweshwa kupelekwa mahakamani kinyume na sheria.
Sakafu ni baridi kanakwamba zimemwagiwa barafu.
Waziri yupo tu wala hafanyi ziara yoyote kukagua.
View attachment 2823183
hata akikuambia huna chochote cha kumsaidiaMahabusu ulienda kufanya nini?
Nakubaliana na wewe 100%Aliyeiweza hiyo wizara ni Kangi Lugola
Hiyo si zaidi ya adhabuHiyo mbona ipo kitambo sana. Mahabusu nyingi za polisi hakuna cha kulalia. Ukiingia unajibanza zako kwenye kona au ukuta wa hicho chumba; ndiyo imeisha hiyo.
hapa ni ukweli tupupolisi humchelewesha mtuhumiwa kumpeleka mahakamani ili kutafuta maokoto
Muda mwingi anakuwa Zanzibar kama maza anavyokuwa nje ya nchiNilisha liwasilisha lakini tua wazir mzanzibari sasa atafanya ziara bara?
Kuna ishu jamaa yanguMahabusu ulienda kufanya nini?
Kwa nini msinunue mashine za kufulia nguo? Kwa nini ukae na mahabusu zaidi ya wiki?Kwa hiyo mnapendekeza Mahabusu ziwekwe magodoro,mablanketi nk??vikiwekwa hivyo vitu huko Mahabusu hakutakalika kutokana na harufu ya uvundo nk
Kwa hiyo mahabusu ni sehemu ya kutesa watu?Kwa hiyo mnapendekeza Mahabusu ziwekwe magodoro,mablanketi nk??vikiwekwa hivyo vitu huko Mahabusu hakutakalika kutokana na harufu ya uvundo nk
Hili sengerema?Aliyeiweza hiyo wizara ni Kangi Lugola
Waziri anavimbisha mashavu tu kama paka wa barMasa 24 unalala kwenye sakafu.
Dhamana za polisi ni ngumu kupata.
Mahabusu wanacheleweshwa kupelekwa mahakamani kinyume na sheria.
Sakafu ni baridi kanakwamba zimemwagiwa barafu.
Waziri yupo tu wala hafanyi ziara yoyote kukagua.
View attachment 2823183
Pale hakuna mwenyewe,hujafa hujaumbika. Ulitegemea siku moja Sabaya angenyea debe?Mahabusu ulienda kufanya nini?
Hawa wanawake wa UWT hawana akiliPale hakuna mwenyewe,hujafa hujaumbika. Ulitegemea siku moja Sabaya angenyea debe?