Siku nyingine ukikamatwa nenda na godoro lako, au lipia Mahabusu ya VIP upelekwe kule kuna vitu vyote utakavyo wwe!!Masa 24 unalala kwenye sakafu.
Dhamana za polisi ni ngumu kupata.
Mahabusu wanacheleweshwa kupelekwa mahakamani kinyume na sheria.
Sakafu ni baridi kanakwamba zimemwagiwa barafu.
Waziri yupo tu wala hafanyi ziara yoyote kukagua.
View attachment 2823183
K...mSiku nyingine ukikamatwa nenda na godoro lako, au lipia Mahabusu ya VIP upelekwe kule kuna vitu vyote utakavyo wwe!!
Polisi ina nafasi yake nzuri kwemye moyo wa shetani.Masa 24 unalala kwenye sakafu.
Dhamana za polisi ni ngumu kupata.
Mahabusu wanacheleweshwa kupelekwa mahakamani kinyume na sheria.
Sakafu ni baridi kanakwamba zimemwagiwa barafu.
Waziri yupo tu wala hafanyi ziara yoyote kukagua.
View attachment 2823183
Kuna jamaa hapo jirani anakodisha akili. Si vibaya ukatrade hata kwa masaa machacheSiku nyingine ukikamatwa nenda na godoro lako, au lipia Mahabusu ya VIP upelekwe kule kuna vitu vyote utakavyo wwe!!
Masa 24 unalala kwenye sakafu.
Dhamana za polisi ni ngumu kupata.
Mahabusu wanacheleweshwa kupelekwa mahakamani kinyume na sheria.
Sakafu ni baridi kanakwamba zimemwagiwa barafu.
Waziri yupo tu wala hafanyi ziara yoyote kukagua.
View attachment 2823183
Hawa UWT huwa hawana akiliKuna jamaa hapo jirani anakodisha akili. Si vibaya ukatrade hata kwa masaa machache
Pole sn50,000 iliniokoa ila mule hapafai
Ni zaidi ya majangiliPolisi ina nafasi yake nzuri kwemye moyo wa ahetani.
Wana uhakika wa kufanya uhalifu kwa mujibu wa sheria. Wahalifu in uniforms
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Tuliona mengi hichi kipindiHili sengerema?View attachment 2823290
Uzuri kule hakuna mwenyewe. Labda raisi sababu ana kinga.Kwa hiyo mnapendekeza Mahabusu ziwekwe magodoro,mablanketi nk??vikiwekwa hivyo vitu huko Mahabusu hakutakalika kutokana na harufu ya uvundo nk
Tena ana bahati kaikuta Safi zingine ukiingia unakaribisha na kinyesi plus mikojo unakanyaga miguuni,Hiyo mbona ipo kitambo sana. Mahabusu nyingi za polisi hakuna cha kulalia. Ukiingia unajibanza zako kwenye kona au ukuta wa hicho chumba; ndiyo imeisha hiyo.
yaani Serikali inunue Mashine za kufungua nguo na mablanketi Mahabusu??hebu kuwa serious aisee na sio kuchukulia mambo kirahirahisiKwa nini msinunue mashine za kufulia nguo? Kwa nini ukae na mahabusu zaidi ya wiki?
Anataka Mahabusu iwe kama ghetto lake la kitaani,mwisho ataomba Mahabusu kuwe na mademu wa kupiga massage pia! Haki za binaadamu zina mengi sana!!Ulitaka mahabusu pawe pa kishua ili watoto wa mbwa wakapange foleni haraka haraka ya kwenda huko.
Hio ni mahabusu Mzee sio guest au lodgeMasa 24 unalala kwenye sakafu.
Dhamana za polisi ni ngumu kupata.
Mahabusu wanacheleweshwa kupelekwa mahakamani kinyume na sheria.
Sakafu ni baridi kanakwamba zimemwagiwa barafu.
Waziri yupo tu wala hafanyi ziara yoyote kukagua.
View attachment 2823183