Nilichokiona leo Dodoma hakina afya kwa mustakabali mzima wa ustawi Taifa letu, tujirekebishe kwa maslahi mapana ya Taifa

Nilichokiona leo Dodoma hakina afya kwa mustakabali mzima wa ustawi Taifa letu, tujirekebishe kwa maslahi mapana ya Taifa

Wangechaguliwa wanaume tupu usingesema hayo
Unajua,shida ni kwamba you do not know what is going on behind the curtain regarding the family,ungejua usingesema hayo maneno.So that you can educate yourself on what is going on against the family, nime-attach material for further reading.Nadhani hii itakusaidia kujua plans of the enemy against our families.
 
Ha haa mkuu nimependa hiyo salamu yako kwa wababa
Hivi wewe hutaki familia nzuri na imara?Unajua,shida ni kwamba you do not know what is going on behind the curtain regarding the family,ungejua usingesema hayo maneno.So that you can educate yourself on what is going on against the family, nime-attach material for further reading.Nadhani hii itakusaidia kujua plans of the enemy against our families.Wote tunahitaji kuungana ili kuzuia hii nguvu kubwa inayotumika kuharibu familia,and this is especially evident in Tanzania now.
 
Usijali uanamume wa mwanaume hautetereki mwanaume ni mwanaume tu haitakuja kubadilika hiyo hata iweje hakuna namna yeyote ile yakafanyika mapinduzi mwanamke akaweza kuwa juu ya mwanaume hizo ni siasa tu ndugu yangu usiwe na shaka , hata Mh. Rais mama samia ni rais lakini ana heshima , adabu na utii mkubwa kwa mume wake.
Mkuu swala hili sio langu peke yangu,ni swala la binadamu wote,kwa hiyo na wewe linakuhusu.Nia ya yote haya unayo yaona na yale uliyoshuhudia jana Dodoma ni kuharibu familia na jamii kwa ujumla.Hata wewe nadhani una familia na kama wewe huna ndugu zako wana familia.Would you like those families to be destroyed? Surely no.

Lakini agenda hii haishii kwenye kuharibu familia tu,it goes further:total control of the human race by Satan.Why will this possible,it will be possible because a morally corrupted person is easy to subject to Satanic control,and to achieve this Satan uses the family.Destroy the family and you are able to corrupt everybody.
 
Kwenye demokrasia zilizopevuka, ushindi wa 100% ni kama huwa haupo!

Vilevile, Samia kachaguliwa au katangazwa tu kuwa yeye sasa ndo mwenyekiti mpya wa chama?

Manake kwangu mimi uchaguzi ni lazima uwe na zaidi ya kimoja ili watu wapate kuchagua kati ya vilivyopo…
Demokrasia zilizopevuka it is a relative term, maana hakuna universal agreement of what is democracy
 
Demokrasia zilizopevuka it is a relative term, maana hakuna universal agreement of what is democracy
Uko sahihi kabisa mkuu,infact mimi naita the word Democracy an empty word,to me halina maana yeyote.It's a con word introduced to cheat the unsuspecting masses.
 
Uko sahihi kabisa mkuu,infact mimi naita the word Democracy an empty word,to me halina maana yeyote.
Mkuu umeniwahi maana Hili Jambo nilikuwa nataka kulizungumzia kuhusu uchaguzi wa Viongozi wakuu wa chama na demokrasia ya uchaguzi kwa ujumla wake.

Kwa kipindi cha pili sasa viongozi wetu wakuu wa chama kitaifa wamekuwa wakipita bila kupingwa. Kibinadamu ni furaha kubwa inayotia moyo.

Lakini nje ya furaha hiyo inaweza kuficha ukweli kutegemea na wapiga kura wanavyo andaliwa kisaikolojia na kuficha uhalisia wao.

Huu ni ukweli mchungu, lakini tukubaliane kwamba dawa nyingi zinazotibu huwa hazina ladha tamu.

Asili na uhalisia wa tabia za binadamu huongozwa na fikra mbili. Njema na ovu. Tabia ya uovu ni kujificha, Tabia ya wema hujiweka wazi. Wema na uadilifu haushawishiwi. Uovu unachoangalia ni maslahi binafsi.

Ndiyo maana katika mifumo ya uongozi tunatumia sheria kwa nia ya kulinda yaliyo mema.

Nia na lengo la kufanya uchaguzi huru na wa kidemokrasia ni kupima pande mbili. Kupima Kiongozi anakubalika kwa kiasi gani. Pili ni kupima wapiga kura uelewa wao na nini wanataka.

Kadiri watu wanavyochagua Viongozi wasiokidhi ndivyo inavyodhihirisha mapungufu ya kimtizamo na kielimu kwa jamii husika. Kutomudu mazingira ya siasa. Na hiyo ndiyo changamoto kubwa Africa.

Hivyo ingawa demokrasia ni Muhimu sana lakini inakuwa na maana pale ambapo wapiga kura wanakuwa na upeo wa kujua wanachotaka na wanachotakiwa kufanya. Kisha kutumia uhuru wao bila kushawishiwa kuchagua wanachotaka.

Siasa ni ushawishi ambao wakati mwingine ukiwa na malengo mabaya unaweza kupotosha jamii yenye upeo wa uelewa hafifu.

Kwasababu hiyo ni vyema pakawepo chombo huru cha kupima mwelekeo wa siasa katika vyama vyote. Hii itasaidia sana kulinda maslahi mapana ya Taifa.

Kuhusu hoja ya kupita bila kupingwa hii ni hoja yenye ukweli wenye mashaka ndani yake kutegemea idadi ya wingi wa wapiga kura na mbinu iliyotumika hasa ya kampeni kabla ya uchaguzi. Hii ni kwasababu hata kwenye mitihani ya shule ufaulu wa wanafunzi hutofautiana, kwasababu ya uelewa na mtizamo.

Kama nilivyokwisha kueleza lengo la uchaguzi ni kupima wapiga kura na mgombea.

Unapokuwa hujui ukweli na uhalisia wa wapinzani wako katika Taasisi husika unakuwa unafanya kazi pamoja na kundi kubwa lenye mwelekeo tofauti. Lakini ukijua ni kiasi gani unakubalika na kiasi gani haukubaliki.

Hii inakupa nafasi ya kufanyia kazi mapungufu husika. Hii inaendana na tabia ya kuwa tayari kukosolewa imradi wakosoaji wanatumia nidhamu sambamba na kutoa ushauri badala ya kuwa wapinzani wa kila Jambo. Lengo kuu ni kujenga msingi bora na imara kwa pamoja kuanzia mwanzo.

Kiongozi akijengeka kuwa tayari kusikiliza yale tu yanayomsifia ategemee kudanganywa mara nyingi kadiri iwezekanavyo. Hii ni kwasababu Sifa hulewesha moyo. Utasifiwa na wema maadui wakijua unapenda sifa nao watakusifia. Hilo hatupendi lizoeleke kwa Viongozi wetu. [emoji120][emoji120][emoji120]
 
Wote tunafahamu msemo usemao umoja ni nguvu,na utengano ni udhaifu. Hakuna shaka yeyote kwamba penye mafarakano hakuna mafanikio. Bwana Yesu alipoambiwa kwamba anatoa pepo kwa kumtumia Belzebuli, alisema, "nyumba ikifitinika haiwezi kusimama!"

Leo kule Dodoma nimeona nyumba ya mama Tanzania ikifitinika, nimeona mafarakano ya wazi kati ya Wanawake na Wanaume, mafarakano ambayo si ya afya kwa taifa letu. Nilitegemea kwamba ujio wa Rais mwanamke, Mama Samia Suluhu, ungeleta umoja, badala yake naona mbegu za minyukano zikipandwa. Ni kama wenzetu wanawake walikuwa wanasubiri nafasi hii, ili waendeleze minyukano zaidi, ambayo kiukweli tayari ilikuwepo.

Sijui kama it's mere coincidence kwamba katika wagombea sita wa kujaza nafasi za NEC, waliochaguliwa kujaza nafasi hiyo, wote ni wanawake! Mimi naamini sio coincidence, bali ndio minyukano kati ya Wanaume na Wanawake imeanza. Maneno aliyotamka Mama Kabaka Mwenyekiti wa UWT, wakati anatoa hotuba ya kumtunuku Rais zawadi,yanathibitisha hili.Alisema na hapa nanukuu,"Ujio wako umeondoa kabisa mfumo dume," mwisho wa kunukuu.Itoshe tu kusema kwamba maneno haya ni mazito kwa mtu anpayejua ajenda iliyopo ya kusambaratisha familia,na hayapaswi kabisa kupuuzwa.

Upo ushahidi wa kutosha, kwamba minyukano hii inahamasishwa na kupewa financial support and backing na nguvu zilizo-jificha za nchi za magharibi through NGOs, vyombo vya habari, mitandao, internet na hata wakati mwingine makampuni ya simu, ili kuvunja familia na ustawi wa jamii yetu kwa maslahi mapana ya nchi hizo au Mfumo Mpya wa Dunia au NWO(New World Order).Kama hatutakuwa makini kama taifa,baada ya miaka kumi ijayo, familia zetu na jamii vitakuwa vime-sambaratika kabisa.

Mimi sina shaka yeyote kwamba kuchaguliwa wanawake tupu kwenye kinyang'anyiro hicho kumewezekana kwa kuwa wajumbe wengi waliohudhuria ni Wanawake. Lakini je, kuchaguana kijinsia kuna tija kwa taifa letu? Ukweli ni kwamba hapana, kwa kuwa hii ita-compromize kwa kiwango kikubwa weledi na hii ni hatari kwa ustawi wa Taifa letu.

Lipo wazo la kugawana madaraka 50/50. Kwa nini kuwe na target ndilo jambo linalokera. Linakera kwa kuwa likely-hood ya ku-compromize weledi ili kua-chieve target is obvious. Hili nimeliona sehemu nyingi sana tayari. Infact hata leo kule Dodoma jambo hili limejionyesha wazi. Who knows, labda katika wale wagombea wanaume walio-achwa, some are more competent than the ladies elected.

Sina tatizo na wanawake kupewa responsible positions, naomba nieleweke, nina tatizo na ku-compromize professionalism at the expence of gender equality. Our main target should be professionalism, not gender equality.

Nafurahi kwamba wapo wanawake wanao-jitambua, ambao hawataki kupewa nafasi yeyote as a reward, wanapenda kupewa nafasi kwa kuwa wanastahili. Ningependa huu ndio uwe msimamo wa wanawake wote. Tuache professionalism iwe ndio kigezo pekee cha mtu kupata nafasi yeyote anywhere. Minyukano hii inayo-endelea sasa kwa sababu ya kuganga njaa, sio healthy sana, tutangulize mbele kwanza maslahi ya Taifa letu.


Ili uweze kupata.picha kamili ya kile kilichotokea Dodoma leo na kwa nini kimetokea,tafadhali fuata link ifuatayo.Hii ni vita kamili dhidi ya familia,and the sooner we realize that and do something about it the better.




Follow also the following link to see how the family is being attacked in Kenya.

Gender equality does not mean favoring women, but availing equal opportunities to both men and women without compromising professionalism. "Kinyume cha hapo ni uhuni mtupu".
 
Gender equality does not mean favoring women, but availing equal opportunities to both men and women without compromising professionalism. "Kinyume cha hapo ni uhuni mtupu".
100% correct.Kinacho endelea sasa ni ku-favour women mkuu.Very sad.
 
Mkuu umeniwahi maana Hili Jambo nilikuwa nataka kulizungumzia kuhusu uchaguzi wa Viongozi wakuu wa chama na demokrasia ya uchaguzi kwa ujumla wake.

Kwa kipindi cha pili sasa viongozi wetu wakuu wa chama kitaifa wamekuwa wakipita bila kupingwa. Kibinadamu ni furaha kubwa inayotia moyo.

Lakini nje ya furaha hiyo inaweza kuficha ukweli kutegemea na wapiga kura wanavyo andaliwa kisaikolojia na kuficha uhalisia wao.

Huu ni ukweli mchungu, lakini tukubaliane kwamba dawa nyingi zinazotibu huwa hazina ladha tamu.

Asili na uhalisia wa tabia za binadamu huongozwa na fikra mbili. Njema na ovu. Tabia ya uovu ni kujificha, Tabia ya wema hujiweka wazi. Wema na uadilifu haushawishiwi. Uovu unachoangalia ni maslahi binafsi.

Ndiyo maana katika mifumo ya uongozi tunatumia sheria kwa nia ya kulinda yaliyo mema.

Nia na lengo la kufanya uchaguzi huru na wa kidemokrasia ni kupima pande mbili. Kupima Kiongozi anakubalika kwa kiasi gani. Pili ni kupima wapiga kura uelewa wao na nini wanataka.

Kadiri watu wanavyochagua Viongozi wasiokidhi ndivyo inavyodhihirisha mapungufu ya kimtizamo na kielimu kwa jamii husika. Kutomudu mazingira ya siasa. Na hiyo ndiyo changamoto kubwa Africa.

Hivyo ingawa demokrasia ni Muhimu sana lakini inakuwa na maana pale ambapo wapiga kura wanakuwa na upeo wa kujua wanachotaka na wanachotakiwa kufanya. Kisha kutumia uhuru wao bila kushawishiwa kuchagua wanachotaka.

Siasa ni ushawishi ambao wakati mwingine ukiwa na malengo mabaya unaweza kupotosha jamii yenye upeo wa uelewa hafifu.

Kwasababu hiyo ni vyema pakawepo chombo huru cha kupima mwelekeo wa siasa katika vyama vyote. Hii itasaidia sana kulinda maslahi mapana ya Taifa.

Kuhusu hoja ya kupita bila kupingwa hii ni hoja yenye ukweli wenye mashaka ndani yake kutegemea idadi ya wingi wa wapiga kura na mbinu iliyotumika hasa ya kampeni kabla ya uchaguzi. Hii ni kwasababu hata kwenye mitihani ya shule ufaulu wa wanafunzi hutofautiana, kwasababu ya uelewa na mtizamo.

Kama nilivyokwisha kueleza lengo la uchaguzi ni kupima wapiga kura na mgombea.

Unapokuwa hujui ukweli na uhalisia wa wapinzani wako katika Taasisi husika unakuwa unafanya kazi pamoja na kundi kubwa lenye mwelekeo tofauti. Lakini ukijua ni kiasi gani unakubalika na kiasi gani haukubaliki.

Hii inakupa nafasi ya kufanyia kazi mapungufu husika. Hii inaendana na tabia ya kuwa tayari kukosolewa imradi wakosoaji wanatumia nidhamu sambamba na kutoa ushauri badala ya kuwa wapinzani wa kila Jambo. Lengo kuu ni kujenga msingi bora na imara kwa pamoja kuanzia mwanzo.

Kiongozi akijengeka kuwa tayari kusikiliza yale tu yanayomsifia ategemee kudanganywa mara nyingi kadiri iwezekanavyo. Hii ni kwasababu Sifa hulewesha moyo. Utasifiwa na wema maadui wakijua unapenda sifa nao watakusifia. Hilo hatupendi lizoeleke kwa Viongozi wetu. [emoji120][emoji120][emoji120]
Uko sahihi kabisa mkuu.Kwangu mimi "democracy" is a con word introduced to cheat the unsuspecting masses.
 
Mheshimiwa, umepigwa chini au! Hiyo minyukano ndani ya CCM inatuhusu Watanzania wote, hata sisi tusio na vyama, au ni nyinyi wenyewe tu makada wa CCM?

Pole sana kama umeangukia pua.
Wewe huoni kama nchi imeshikiliwa na utawala wa ccm?, lolote linalofanywa na ccm hata kama ni la kipumbavu wewe linakuhusu ,labda kama weww sio mtanzania,
 
Matatizo katika chama tawala katika nchi yenye upinzani dhaifu ni matatizo ya uongozi wa taifa.

Sijui usahihi wa hoja ya mleta mada, lakini nakwambia hutakiwi kudharau matatizo ya uongozi katika CCM, kwa kusema wewe si mwana CCM.

Kwa sababu, sera za CCM ndizo zinaongoza taifa. Wana CCM ndiyo viongozi wa taifa.

Kama CCM wezi, unaweza kusema hilo si tatizo lako kwa kuwa wewe si mwana CCM, wakati wao ndio wanapanga bajeti na kupitisha mikataba?
Naunga mkono hoja,hakuna linalofanywa na ccm lisiloihusu nchi hii,
 
Uko sahihi kabisa mkuu,infact mimi naita the word Democracy an empty word,to me halina maana yeyote.It's a con word introduced to cheat the unsuspecting masses.
Kwako kwa maana ya mtazamo wako ni sawa, ila haimaanishi kuwa ni demokrasia. Na ndio maana nikasema it is a relative term kutokana na mtizamo binafsi.
 
Tulipokuwa sekondari tulifundishwa democracy is the dictatorship of the mass kwa maana ya kuwa wengi wakikubaliana jambo liwe hiyo ndio demokrasia. Kwa hiyo katika vyama wengi wakikubaliana waweke jina moja la mgombea hiyo inakuwa demokrasia yao, hatuwezi kusema hakuna demokrasia kwasababu kuna mgombea mmoja.
Wakiamua pawe na majina mawili hiyo ndio demokrasia ya, wakikubaliana yawe kumi hiyo ndio demokrasia yao.
 
Back
Top Bottom