Nilichokiona Usiku ule

Ulichoona wanakichezea usiku asubuhi yake kwa macho yako ya kawaida unaona kipo sawa ila wanao ona na kuona Tena wanaona usichoona .
Endelea kula matapishi ya watu.
 
Kiporo cha wali maharage na chai ya maziwa nagonga kama kawa 😀
 
Ulivyoona wanatapikia mahotpot Kwann hukuwawashia moto?Kwahiyo wale wazee wa uporo unatuambiaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…