Gautten Potten
JF-Expert Member
- Aug 22, 2022
- 1,642
- 3,426
Hi ni kwa wale wanao amini busara nyeusi zipo. Soma Kama stori ila usipuuze.
Kama una tabia ya kula vinavyosalia kuamkia siku nyingine iwe kwako au kokote kule "ACHA".
Hasa ukiwa huna nguvu ya ziada kaushaga tu.
Nilichokiona usiku kwa siku tofauti ndio kinanisukuma kukuambia haya.
TUKIO NILOSHUHUDIA
Mida ya Saa tisa kasoro kiu iliniamsha nikashindwa kujizuia nitoke niende kunywa maji ndio nawakuta watu wa wanne jikoni.
Mzee Mmoja ( Babu la kwenda ) na visichana vitatu wanakula na kutapikia kwenye Hotpot la chakula ila asubuhi maneda check sikuona kasoro.
Ule msosi nilikuja mpa dogo Mmoja jirani hapa akaukataa katakata na kusema Bro huoni umechezewa huo.
Nimewaza sana kuwa tunakula uchafu kiasi gani.
Nimewaza Sana dogo anaona me sioni,Nilichokiona usiku ilikuwa ni bahati au ?
Kama una tabia ya kula vinavyosalia kuamkia siku nyingine iwe kwako au kokote kule "ACHA".
Hasa ukiwa huna nguvu ya ziada kaushaga tu.
Nilichokiona usiku kwa siku tofauti ndio kinanisukuma kukuambia haya.
TUKIO NILOSHUHUDIA
Mida ya Saa tisa kasoro kiu iliniamsha nikashindwa kujizuia nitoke niende kunywa maji ndio nawakuta watu wa wanne jikoni.
Mzee Mmoja ( Babu la kwenda ) na visichana vitatu wanakula na kutapikia kwenye Hotpot la chakula ila asubuhi maneda check sikuona kasoro.
Ule msosi nilikuja mpa dogo Mmoja jirani hapa akaukataa katakata na kusema Bro huoni umechezewa huo.
Nimewaza sana kuwa tunakula uchafu kiasi gani.
Nimewaza Sana dogo anaona me sioni,Nilichokiona usiku ilikuwa ni bahati au ?