Nilichokiona uwanja Wa Taifa Al Ahly asipeleke Timu yaani anaenda kufungwa goal 4+

Nilichokiona uwanja Wa Taifa Al Ahly asipeleke Timu yaani anaenda kufungwa goal 4+

Habar JF,

Nilichokiona uwanja Wa Taifa Al Ahly asipeleke Timu Yaana anainda Kufungwa goal 4+ Simba sc wameimaliza hii Mechi Kikatili mno Al Ahly hawana cha kukwepa Zaidi Ya Kutoingia Uwanjani.

Tunzeni uzi huu.

Simba sc Tanzania 4 Al Ahly 0
Kama hiyo Al Ahly ina kiwango sawa na Tembo Fc sawa, mtashinda kwa idadi hiyo ya magoli.
 
Habar JF,

Nilichokiona uwanja Wa Taifa Al Ahly asipeleke Timu Yaana anainda Kufungwa goal 4+ Simba sc wameimaliza hii Mechi Kikatili mno Al Ahly hawana cha kukwepa Zaidi Ya Kutoingia Uwanjani.

Tunzeni uzi huu.

Simba sc Tanzania 4 Al Ahly 0
Magoli hayafiki idadi hiyo, simba anashinda 3-1, nipo kwa babu Unkuku Kondoa nishaona game nzima kwenye screen yake, kuna kadi nyekundu mbili
 
Simba na Yanga zinashinda hizi mechi za Leo na kesho.
Kwa kuwa wameamua kuacha Kila mtu ajitegemee na shughuli zake.

Kikinge kilichosaidia ni Kwa vile zote bado zipo kwenye mashindano. Hakuna aliyetolewa mapema ambaye angekuwa kizingiti Cha mwingine.
Simba kushinda leo nakubali lakini sio Yanga. Yanga kila tukifanya hesabu tunaona uwezekano wa kushinda ni asilimia 20% na asilimia 80% inaonyesha atafungwa tena kwa idadi kubwa ya magoli
 
Habar JF,

Nilichokiona uwanja Wa Taifa Al Ahly asipeleke Timu Yaana anainda Kufungwa goal 4+ Simba sc wameimaliza hii Mechi Kikatili mno Al Ahly hawana cha kukwepa Zaidi Ya Kutoingia Uwanjani.

Tunzeni uzi huu.

Simba sc Tanzania 4 Al Ahly 0
Afungwe tu...
 
Simba na Yanga zinashinda hizi mechi za Leo na kesho.
Kwa kuwa wameamua kuacha Kila mtu ajitegemee na shughuli zake.

Kikinge kilichosaidia ni Kwa vile zote bado zipo kwenye mashindano. Hakuna aliyetolewa mapema ambaye angekuwa kizingiti Cha mwingine.
Hofu yangu mikia wakifungwa leo sijui kesho pata-amkaje 🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom