Nilichokisikia kuhusu mkakati wa kummaliza kimuziki Belle 9

Nilichokisikia kuhusu mkakati wa kummaliza kimuziki Belle 9

Aya ashakufa naona saivi mtajenga magorofa mtupo huru sasa 😥😥😥
 
inakuaje mkuu alaumiwe sana yeye tena lawama sio za leo useme kafa ndo wanaanza kumsingizia
Sasa mkuu tufanye hivi...kweli alikuwa anawanyonya..but aliyekuwa anawanyonya kashafariki kwahiyo hao wasanii tutegemee sahivi waanze kumiliki majumba makubwa na magari ya kifahari huku wanatoa hit songs tu
 
Back
Top Bottom