Nilichomfanyia mwenye nyumba wangu hadi majirani wamenipongeza

Aisee nilipofika sehemu ya kununia generator I thought umeme ni shida so una mpango wa kuwasha mziki usiku kumbe umeliungurumisha lenyewe tu alafu ukasepa!![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hawatarudia tena hao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ila Franc jamani, khaaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mbona kama unaishi mazingira ya kimaskini sana mzee baba...

Tafuta mahali ambapo watu wastaarabu, achana na hao maskini wasiojua maendeleo huanza kwenye tabia...
mazingira yapo pouwa sana na nyumba ni nzuri sema mmiliki ana mambo meusi
 
generator mafuta uliweka lita ngap masaa yote hayo na container yake inachukua ujazo wa lita ngapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…