Mzee wa old school
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 873
- 1,405
Kwenye huo mfano wako, elimu inahusikaje?Watu wa Darasa la saba ni watu hatari, wanaishi kwa mazoea na sio kutumia akili.
Unampa hela leo ili afanye matumizi anaenda kununua kiatu then kesho anakuambia hana hela ya kula.