Nilichoona kwenye nguo za mume wangu! Kuuliza kaniambia fikiri utakachomua kufikiri

Nilichoona kwenye nguo za mume wangu! Kuuliza kaniambia fikiri utakachomua kufikiri

Labda Yuko kwenye siku zake ndo maana kachafuka

Sasa kinachokuuma kitu gani mamake?
Mtu atumie chululuu yake huko kwa Raha zake wewe uumie moyo?
Maisha yaendelee labda ameleta na style mpya
Huwezi shindana na nature.wanaume wote ni chovyachovya.hata ufanyeje
 
Kisa. Ha kumchoma kisu??ww ni dizaini ya wanawake wanaopenda kumganda sana mwanaume kujua kila muda yupo wapi anafanya nn, na una wivu uliopitiliza "over protective", mnqtqka ku control mwanaume, naongea hivo kwa sababu hata mm mke wangu mwanzo alikuwa hivo, anataka kunikontrol na maswali kama mtoto wake, nikawa namjibu shortcut, nikiwa bar anauliza upo na kina nani namwambia na niliowakuta bar,akipekua akikuta ujinga ktk simu namwambia ukitaka mpigie muda kujieleza sina otherwise usinipige kelele,saaa hiv amenyooka
mliverpool kuna asilimia kubwa unachapiwa
 
Ni mume niliempenda nilemuheshimu na kumfanyia kila kitu anachostahili
1. Niliempenda = sasa hivi umeacha kunipenda
2. Niliemuheshimu = sasa hivi umeacha kuniheshimu


ndipo nilipokuta kwenye nguo za ndani uchafu wa kutoka kujamiana na mwanamke
1. Umejuaje kama nimetoka kujamiiana na mwanamke?
2. Kwani uchafu wa kujamiina na mwanaume (shoga) au kupiga nyeto ukoje na una tofauti gani?
NB. Unachokitafuta utakipata.
.Nilipomuuliza akajibu fikiria utakachoamua kufikiri.
1. Kwahiyo ndio umekuja hapa wakusaidie kufikiria? Mimi nimekwambia wewe uamue chochote ufikirie.
2. Haiwezekani nimetoka kazini nimechoka unataka tuanze mjadala wa uchafu wa chupi. Hata Kama ni kweli nimetoka kujamiiana si nitakataa tu. Ndio maana nikasema fikiria chochote unataka.
3. Subiri wakusaidie kufikiria kisha jioni uje kunipa mrejesho, pia nitakuwa nimesoma comments za washauri wako.

NB.
1. Nimemjibia mume wako, nadhani yupo hapa JF
2. Hivi ninyi mnaoleta mambo yenu ya ndani mitandaoni mna uhakika gani wenzi wenu hawapo huko mtandaoni?😎😎
 
Amani ya Mungu iwe nanyi wapendwa, naomba ushauri.

Ni mume niliempenda nilemuheshimu na kumfanyia kila kitu anachostahili mwanaume kufanyiwa kumfariji wakati wa magumu na kuwa nae wakati wa furaha, naye mwenyewe aliyakubali yote niliyokua nafanya.

Sasa juzi kachelewa kurudi nyumbani na sikumuuliza sababu akasema anaomba ale chakula ndipo aoge, nikapakua tukala kisha nikamuandaa akaoge ndipo nilipokuta kwenye nguo za ndani uchafu wa kutoka kujamiana na mwanamke.Nilipomuuliza akajibu fikiria utakachoamua kufikiri.

Naomben ushauri kwani hapa nasikia mwili wote unauma, kichwa kinataka kupasuka.
uchafu gani wa kutoka kujamiiana
kwani mkijamiana huwa unabaki uchafu
 
Usimfikikilie vibaya mwenzako unaweza simama kwenye mwendo kasi naulembanano anatokea mmama anakuja kukubana na makalio yake ya moto hapo lazima tu uchafuke
 
Back
Top Bottom