Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
Hahahaha, ndo namna aliyoona inafaa kumjali mmewe.Bora kuogeshana, "kumuogesha"wanawake tuna kazi jamani.
Kurudi saa nne kuna tatizo gani hizo foleni za dar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha, ndo namna aliyoona inafaa kumjali mmewe.Bora kuogeshana, "kumuogesha"wanawake tuna kazi jamani.
Aiseee itabidi nianze kumshikia toilet pepa akiwa anapupu, na akimaliza nnamhudumiaDuh, kuna wanaume wanalelewa ova mtoto, hapa nadhani hata Evelyn Salt haoni ndani
Dadaangu atoto na Heaven Sent nanyi mna ma-care haya?
Evelyn Salt aliwahi kuandika uzi wa afanye nini cha zaidi kwenye mapenzi, hii inamhusu.
BTW wanaume hawana formula, ni kumfanyia maombi.
Noted, ntamuogesha na kumnanii akimaliza kupupu
asante mpendwa ila yani hapa cjajua cha kufanya naamka asubuh namwandalia kama kawaida anakwenda kazn nami natoka jioni namfanyia vyote lakin natamani hata nimchome kisu
aisee sometimes kama huna la kuongea ni bora kua kimyaaWe toka juzi hadi leo hujaenda tu kugongwa na wewe.?
...acha tu kichwa kikupasuke!
ha ha ha unatia hasira ni mojawapo ya mapenzi kwan wewe ukioga na mkeo ni kosa?? tatizo hamfanyiwi hayo je kama alipekua nguo ili akafue asije fua na vilivyomo kwenye mifuko ya suruali hebu think twice!! angekua anapekua angesema hata sim alikuta msg msimhukumu mtu jamani bila kufikiriahaaaa eti nikamuandaa akaoge....amekua mwanao wa kumzaa uyo?ivi wanawake wengine ni maboya kiasi hiki....ovyooo..tena unaonekana unaboa sana
Aiseee itabidi nianze kumshikia toilet pepa akiwa anapupu, na akimaliza nnamhudumia
kuwa mwanaume raha sana, sijui nkafanye surgery nioe
Tutawaombea mkiwa ndani ya futi sita sahivi jiombeeni wenyewe msituchoshe kabisaMpendwa wanaume tuache tu, hatujuagi tunataka nini sisi wenyewe.
Tuombeeni tu.
asante mpendwa ila yani hapa cjajua cha kufanya naamka asubuh namwandalia kama kawaida anakwenda kazn nami natoka jioni namfanyia vyote lakin natamani hata nimchome kisu
kama vipi aMchome kisu watoto wabaki yatima bila mama ndiyo utafahamu hasira hasara
asante mpendwa ila yani hapa cjajua cha kufanya naamka asubuh namwandalia kama kawaida anakwenda kazn nami natoka jioni namfanyia vyote lakin natamani hata nimchome kisu
Hizi ndoa nyingine balaa tupu kwani kuna ulazima,wakutangaza aibu ya mumeo hum huwez kukaa nae mkazungumza au hana ndugu zake kama umeshindwa kuongea nae au una roho mbaya mpka ndugu wa mume huelewani nao shhiit ungekuwa mke wangu nikabaini umetoa thread hii hum jf ningekupa talaka zote on the sport