Nilichoshudia leo kwa wanawake wanaojiuza

Nilichoshudia leo kwa wanawake wanaojiuza

Ungepga hata kimoko
Marry Christmas to everyone in here..
Jamani mwenzenu nilikuwa siamini kama biashara ya ngono huwa hipo.. Karibu na hapa napoishi kuna sehemu maarufu sana kwa biashara hiyo ya ngono basi nikajisemea lazima leo nikanunue mmoja wapo ili nipate experience kidogo kuhusu biashara hiyo.
Nikajongea taratibu mpaka eneo la tukio na maana nikaona wanawake wengi wa kila rika wakiwa wamevaa nusu uchi..

Basi nikaangalia nani mwenye matak* makubwa kuliko wote ili niinjoy nae katika utafiti wangu.. Mashalaah nikaona dada flani hivi age yake ni kama 28 hadi 32 nikamsogelea na yeye alivyoona tu namsogelea akanifata na kuniambia kaka part time ni elfu 4 sikutaka ku bargain sana nikamwambia poa ila twende kwangu huwezi amini alikataa katakata nikamwambia basi poa kwahiyo tutafanyia wapii?

Yule dada akanionesha kachumba ambacho kapo karibu kabisa na lile eneo nililomkuta.. Nikamwambia basi poa nikampa elfu 4 yake .. Tumefika pale yule dada akatoa condom na akaniambia niingie kwenye ki chumba kile kicho na giza. Daah yani nimeingia tu na kukuta njemba kama 4 hivi zinakula mzigo mule ndani, yule dada aka huku a kitu Kama kigodoro flani hivi akatandika chini kisha akapandisha juu ki skirt chake( kumbe hawavaagi pichu??). Akaniambia toa dushe nikuvishe ndom tufanye huku akiwa anajiandaa kulala kifo cha mende.. Nikamwambia sijaridhika na haya mazingira basi we chukua tu hiyo hela na ahsante kwa uhuduma.. akaanza ku shout eti "Monica mteja wangu kasusa" mi nikatoka na kurudi zangu geto na kunawa mikono na sabuuni na maji tiririka maana nilimshika papuchi kwa bahati mbaya..

Onyo: Tuendelee kuchukua tahadhari UKIMWI upo..
 
Asilimia 95 ya wanaojiuza wanaishi na maambukizi ya VVU kama ilivyo mtaani
Siyo kweli, tena hawa wengi ni wako salama zaidi, achana na hivyo vimalaya vya kuokota.

Wauza K wapo wengi tu wana ajira zao rasmi na wanauza K, wapo bankers, wanasheria etc, ni ngumu kuamini lakini ni ukweli mtupu.

Hata demu wako anaweza kuwa anauza K ila wewe ndio hujui.
 
Siyo kweli, tena hawa wengi ni wako salama zaidi, achana na hivyo vimalaya vya kuokota.

Wauza K wapo wengi tu wana ajira zao rasmi na wanauza K, wapo bankers, wanasheria etc, ni ngumu kuamini lakini ni ukweli mtupu.

Hata demu wako anaweza kuwa anauza K ila wewe ndio hujui.
Jamaa anataka kututisha... Personally nikipata Ngona najua 100% nimeipata kwa Mke wangu, sijawahifikia kiasi cha kulala Bila condom na mwanamke yoyote ukimtoa Mke wangu ambaye tunajuana...

Pia huyo mwanamke wa 4000 hapana... Personally ningekutana na huyo mwanamke ningempa pesa yote anayopata kwa siku mara idadi ya mwezi wote, akapumzike, lazima atakuwa anapitia shida sana kiasi cha kurisk maisha yake kwa pesa ndogo sana na atakuwa amejikatia tamaa....
 
Siyo kweli, tena hawa wengi ni wako salama zaidi, achana na hivyo vimalaya vya kuokota.

Wauza K wapo wengi tu wana ajira zao rasmi na wanauza K, wapo bankers, wanasheria etc, ni ngumu kuamini lakini ni ukweli mtupu.

Hata demu wako anaweza kuwa anauza K ila wewe ndio hujui.
Duuh kwa muktadha huu mtu anaweza kuwa muuzaji hata yeye asijue kuwa ni muuza k

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Niliwahi! Nunua dada poa ..Dah nilipotoka hapo nilijuta kiasi kwamba nilitamani ku commit suicide.. nikasema sitokaa nirudie kamwe kununua ngono . Nikasema khaa ama kweli acha wenye ujasiri wa kununua dad Poa wanunue tu
Jana nilikuwa riverside pale aisee vichwa vinaliwa sana.

Ni mwendo wa bandika bandua.

Full misambwanda

Nashukuru siku ingia kwenya ule mtego
 
Duuh kwa muktadha huu mtu anaweza kuwa muuzaji hata yeye asijue kuwa ni muuza k

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Yeah wengi siku hizi wanauza ila hawajui tu

Hata kama hupewi cash baada ya tukio ila caring tu unanuliwa zawadi hapa na pale

Unatolewa out ila huna lolote la ku offer just sex

Hapo unauza indirectly

Ndio maana siku hizi tunataa wanawake wenye kazi au vipato vyao ili hio 50/50 mnayoililia kila siku ifanye kazi kwa vitendo.

Leo tukitoka out unasema baby leo zama yangu nakava hizi bills kesho mimi nakava

Tukienda vacation unalipia fairs na unanua vitu vidogo vidogo just for enjoyment for your own hard earned money mimi nalipia rooms and foods

Tofauti na hapo ni kununua na kuuziana sex indirect way tu haina tofauti na anaenda kwa wahaya au pale Riverside kwa wale wa bandika bandua[emoji2]
 
Duuh kwa muktadha huu mtu anaweza kuwa muuzaji hata yeye asijue kuwa ni muuza k

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Wauza K wamegawanyika katika category tofauti.

Hawa wenye ajira rasmi hawajipangi barabarani mara nyingi wanapatikana sehemu za starehe, hatowi K bure hata ujuwe swaga kiasi gani, atakwambia dau lake mkikubaliana unaenda naye hotelini.

Mara nyingi hawa anakula kichwa kimoja tu per day mnakula bata unaenda kuangusha naye.

Hawa category hii wapo wengi Arusha, akikwambia anafanyakazi fulani huwezi kuamini ila ukifuatilia serious unakuta ni kweli.

Mademu wengi wa Dar sasa hivi wanauza K ila hawajajirasmisha tu, mwanamke yoyote ambaye hawezi kukuvulia chupi bila condition ya pesa huyo ni muuza K tu wala hasijidanganye kwamba hauzi wala hatoi bure.
 
Ndo hao hao, mkuu ukijichanganya unaoa, na ni Hawa Hawa dada zetu na watt wa shangaz na wajomba zetu , ndo Hawa dada zetu na wadogo zetu wapo mikoa ambayo sisi hatupo na hawaelewek wanafanya Kaz gan,Ila wakija misiban tunawaona wazungu ,wakiukizwa mwafanya shughuli gan wanajib biashara as if biashara imekuw matako, wengine tunaowaona ni dada na ndugu zenu ndo wamekimbilia huku nilipo Kama ndugu zangu waluvokja huko, hawana alama na haya mambo hayana formula...
Mimi kuna mmoja ndugu sijui anafanya kazi gani

Na ni mzuri kweli kweli white yuko dubenga picha zake ni za kislay queen
 
Hawz kuja bila taarifa aliwekewa ring, na akijimix ataitwa mwiz and no one care, mbaya Zaid mshua wa Dem hajui Kama mtt anauza,,au anajua kaamua kuchuna maana Hana namna,...narudia Tena hawana alama.. japo mm naweza nkamtambua tabia Zake baada ya miez mitat hv Kam nkipata Dem wa hvo
Ili umtambue lazima uwe mdau wa hizo sector

Mimi mwenyewe nilikuwa siwezi mtambua mdangaji kwa kumuona tu ila baada kupiga mbili tatu nikiwaona tu najua huyu mdangaji wa level ipi

[emoji2][emoji1787]
 
hao wadada wananuka kvma vibaya mno, kuna mmoja nilimvua aisee chumba kizima harufu

nikavaa nikasepa
Hahahahah hao kunuka ni must be K inagongwa na midushe 10 kwa siku itakuwa safi lini !!?

Jiroge upige kavu utakoma kuringa.

Ukinunua hawa wa buku 4 yaai handle with care la sivyo majuto sio mjukuu ni mzee marehemu kwa sasa
 
Eee Hawa Malaya wanaweza kukushusha confidence had ujihis huna nguv za kiume, na Hawa ndo wanaponza vijana kutumia mkongo Akat hawana shida yyt
Very true ukia mdau wa malaya lazima morali ishuke ujione huna nguvu za kiume
 
Hapana boss.

Wanawake wana viwango tofauti sana. Mwanamke anayeliwa kwa elf 4 na watu tofauti si sawa na yule anayeliwa kwa kupandishwa ndege na kupelekwa Dubai mara moja moja na watu wachache sana wenye pesa. Ni Tofauti kabisa.....

Chuchu, rangi ya ngozi, reaction wakati wa tendo, ladha, harufu, mnato, usafi yaani ni TOFAUTI
Hata yule demu wa rickross mbongo nae si malaya tu yule ila wa level za juu

Hata yule mke wa jamaa aliedanja mburudi nae ni wale wale sema level za juu
 
Nliwahi kununua malaya Moshi maeneo ya Malindi akanipeleka kwenye jumba (ghorofa) bado linajengwa kufika mule ndani nikakuta midume kibao na mademu wameshikishana ukuta nliogopa kinona nika mwambia yule demu anipe number yake nita mchek baadae posho yake nikamuachia nikazama Pub Alberto nikaokota mtoto mzuri kinoma hadi leo hua nagonga ni malaya grade one hupigi nae show bila vipimo hata iweje
 
Nliwahi kununua malaya Moshi maeneo ya Malindi akanipeleka kwenye jumba (ghorofa) bado linajengwa kufika mule ndani nikakuta midume kibao na mademu wameshikishana ukuta nliogopa kinona nika mwambia yule demu anipe number yake nita mchek baadae posho yake nikamuachia nikazama Pub Alberto nikaokota mtoto mzuri kinoma hadi leo hua nagonga ni malaya grade one hupigi nae show bila vipimo hata iweje
 
Umeona enh.... Hata Kama ni wakishua , huwa anawadanga washua tupu, rafk zake babaake, waheshimiwa na wengineo, au labda yeye ni maarafu... Wengine wanamla Gigi kwa 50 wangne lak nane .. yaan mambo hayana formula
Mkuu mimi kuna mmoja namjua wa kishua sana dingi ana pesa na investment ndefu za real estate

Demu kasoma private kuanzia vidudu hadi chuo kalipiwa na mzee wake

Ila demu anadanga intaneshno[emoji2] analiwa na vibosile na vibopa
 
Nliwahi kununua malaya Moshi maeneo ya Malindi akanipeleka kwenye jumba (ghorofa) bado linajengwa kufika mule ndani nikakuta midume kibao na mademu wameshikishana ukuta nliogopa kinona nika mwambia yule demu anipe number yake nita mchek baadae posho yake nikamuachia nikazama Pub Alberto nikaokota mtoto mzuri kinoma hadi leo hua nagonga ni malaya grade one hupigi nae show bila vipimo hata iweje
Acha fix, unachukuwa demu Clab Alberto usiku mkubwa, pale mnakwenda kupima wapi?

Halafu wale wauza K wa pale club Alberto wana vilainishi vyao hata mkipiga kavukavu ni safe kabisa.

Condom zinavaliwa na kunguru waoga wanaotaka kuwa walinzi wa dunia.
 
Back
Top Bottom