Nilichoshudia leo kwa wanawake wanaojiuza

Nilichoshudia leo kwa wanawake wanaojiuza

Malaya anauza 4000 ujue hata life style yake ni ya Tsh 4000...chumba uswazi analipa 50K kwa mwezi au anakaa gheto..

Wapo Malaya wanakaa mikocheni, msasani, upanga, nk kwenye apartments wanalipa mpaka $500 - $1000 kwa mwezi...hawa akiuza hiyo 4000 ataipata saa ngapi hiyo $500...life style zao ni gharama pia ili kumaintain muonekano na thamani....Wapo Malaya wanapanda ndege na kwenda kuuza nchi mbalimbali, hawa unafikiri hizo gharama za kugharamia safari na kianzio wanazitoa wapi wakiuza hiyo 4000.... Unafikiri Malaya anayepatikana pale New Africa hotel Dar anaweza kuwa anauza huko banana kwa 4000?..
Mzee nenda huko kwenye viwanja vyao utakataa ...wamechanganyika wengine ni Pini haswa na mchana akikutajia hayo madola hukatai ....usikariri
 
Watu tunanunua malaya wa 100K.... buku 4 so cheap.
Ulivyo jiweka mkuu ...wanawake ni Hawa Hawa tunabadirishana tu mwenzio anakula kwa 20 wewe unakula kwa 40 ngozi hiyo hiyo
 
Mzee nenda huko kwenye viwanja vyao utakataa ...wamechanganyika wengine ni Pini haswa na mchana akikutajia hayo madola hukatai ....usikariri
Sure kabisa yani sampuli nilizoziona mimi pale ni pini kali kweli kweli
 
Mzee nenda huko kwenye viwanja vyao utakataa ...wamechanganyika wengine ni Pini haswa na mchana akikutajia hayo madola hukatai ....usikariri

naongelea uzoefu chief...wengine nawajua kwa majina hata 50k hakupi.....wapo wanaouza lakini hujitunza pia hawaendekezi njaa kivilee....wanahitaji kichwa kimoja per day au kimoja kwa wiki kinachokata mkwanja mrefu..

Yapo maeneo ambayo watu hawana njaa, ukimwambia sex 100k and up na kakuelewa sio issue kwake...sio kila mwanamke anafika hayo maeneo au ana connection za hayo maeneo.. wengi wanaofika hapo ni visu ambao anaweza kulipa uber, na kianzio cha hela na kiingereza kimo kidogo....wapo ambaye unaweza kumkuta hayo maeneo anakunywa hata Hainessy au shampagne kujivalue...ili ujae vizuri..
 
Mzee nenda huko kwenye viwanja vyao utakataa ...wamechanganyika wengine ni Pini haswa na mchana akikutajia hayo madola hukatai ....usikariri

wapo ambao tunawajua kwa majina tena maarufu wana bei zao, wapo waarabu, wasomali huwezi kuwakuta hayo machimbo ya 4000/.... hao unafanya hata imporation na bus hapandi....sio masikhara hata akisafiri kwa safari zake hapandi basi.....kubali kataa hawa watu wana grade zao...na hata huwaita wenzao malaya wachafu...
 
wapo ambao tunawajua kwa majina tena maarufu wana bei zao, wapo waarabu, wasomali huwezi kuwakuta hayo machimbo ya 4000/.... hao unafanya hata imporation na bus hapandi....sio masikhara hata akisafiri kwa safari zake hapandi basi.....kubali kataa hawa watu wana grade zao...na hata huwaita wenzao malaya wachafu...
Hao ndio nawataka mimi.
 
Siyo kweli, tena hawa wengi ni wako salama zaidi, achana na hivyo vimalaya vya kuokota.

Wauza K wapo wengi tu wana ajira zao rasmi na wanauza K, wapo bankers, wanasheria etc, ni ngumu kuamini lakini ni ukweli mtupu.

Hata demu wako anaweza kuwa anauza K ila wewe ndio hujui.
Upo sahihi, kwa Dar hawa dau lao linaanzia 50k

Sent using Jamii Forums mobile app
 
naongelea uzoefu chief...wengine nawajua kwa majina hata 50k hakupi.....wapo wanaouza lakini hujitunza pia hawaendekezi njaa kivilee....wanahitaji kichwa kimoja per day au kimoja kwa wiki kinachokata mkwanja mrefu..

Yapo maeneo ambayo watu hawana njaa, ukimwambia sex 100k and up na kakuelewa sio issue kwake...sio kila mwanamke anafika hayo maeneo au ana connection za hayo maeneo.. wengi wanaofika hapo ni visu ambao anaweza kulipa uber, na kianzio cha hela na kiingereza kimo kidogo....wapo ambaye unaweza kumkuta hayo maeneo anakunywa hata Hainessy au shampagne kujivalue...ili ujae vizuri..
Mzee usikariri wachezaji wazuri wapo ligi kuu tu Kuna watu ni wanapiga mpira ila bado wapo mchangani ....huko ligi kuu wengi ni majina tu na umaarufu wao
 
wapo ambao tunawajua kwa majina tena maarufu wana bei zao, wapo waarabu, wasomali huwezi kuwakuta hayo machimbo ya 4000/.... hao unafanya hata imporation na bus hapandi....sio masikhara hata akisafiri kwa safari zake hapandi basi.....kubali kataa hawa watu wana grade zao...na hata huwaita wenzao malaya wachafu...
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Utamu wa demu umtongoze kidogo aringe ndio unakuwa na hamu nae na mizuka......
nikiwaingiza 18 zangu ni struggle kidogo kuwavua chu.pi na maneno ya kuchombeza....
hawa wa kununua siwawezagi kabisa......
Halafu anakuchuna na hela. Hio ni usumbufu
 
Utamu wa demu umtongoze kidogo aringe ndio unakuwa na hamu nae na mizuka......
nikiwaingiza 18 zangu ni struggle kidogo kuwavua chu.pi na maneno ya kuchombeza....
hawa wa kununua siwawezagi kabisa......
Na huyo ndio anakuletea ukimwi
 
Ila kuna mademu wanajiuza ni wakali na kumbuka siku moja mida ya saa tatu nilikuwa na subiria daladala pale kwenye mitambo ya Tanesco,daladala zikawa hazisimami sababu kulikuwa na matrafiki nikaamua kutembea mpaka riverside. Wakati naenda kuna kauchochoro kipo karibu na sheri malaya wamejazana kibao.

Yaani sasa na pita pale kwenye sheri daaah kuna malaya mmoja mweupe, anashape imechongoka vizuri kavaa taiti nyeusi na kitop cheupe, sasa na mshangaa si akanivuta mkono daah...... bahati nzuri ni kamchomoka.

Ila yote tisa na kumbuka nipo O level natoka za shule,mida ya saa nne usiku ni kashuka zangu buguruni Sokoni Sewa nilikutana na binti mmoja wa kiarabu anajiuza,pini moja imejaza nyuma na pita pale kuna mwana mmoja ana soundisha.
 
Marry Christmas to everyone in here..
Jamani mwenzenu nilikuwa siamini kama biashara ya ngono huwa hipo.. Karibu na hapa napoishi kuna sehemu maarufu sana kwa biashara hiyo ya ngono basi nikajisemea lazima leo nikanunue mmoja wapo ili nipate experience kidogo kuhusu biashara hiyo.
Nikajongea taratibu mpaka eneo la tukio na maana nikaona wanawake wengi wa kila rika wakiwa wamevaa nusu uchi..

Basi nikaangalia nani mwenye matak* makubwa kuliko wote ili niinjoy nae katika utafiti wangu.. Mashalaah nikaona dada flani hivi age yake ni kama 28 hadi 32 nikamsogelea na yeye alivyoona tu namsogelea akanifata na kuniambia kaka part time ni elfu 4 sikutaka ku bargain sana nikamwambia poa ila twende kwangu huwezi amini alikataa katakata nikamwambia basi poa kwahiyo tutafanyia wapii?

Yule dada akanionesha kachumba ambacho kapo karibu kabisa na lile eneo nililomkuta.. Nikamwambia basi poa nikampa elfu 4 yake .. Tumefika pale yule dada akatoa condom na akaniambia niingie kwenye ki chumba kile kicho na giza. Daah yani nimeingia tu na kukuta njemba kama 4 hivi zinakula mzigo mule ndani, yule dada aka huku a kitu Kama kigodoro flani hivi akatandika chini kisha akapandisha juu ki skirt chake( kumbe hawavaagi pichu??). Akaniambia toa dushe nikuvishe ndom tufanye huku akiwa anajiandaa kulala kifo cha mende.. Nikamwambia sijaridhika na haya mazingira basi we chukua tu hiyo hela na ahsante kwa uhuduma.. akaanza ku shout eti "Monica mteja wangu kasusa" mi nikatoka na kurudi zangu geto na kunawa mikono na sabuuni na maji tiririka maana nilimshika papuchi kwa bahati mbaya..

Onyo: Tuendelee kuchukua tahadhari UKIMWI upo..
Mkesha wa mwaka mpya njoo star park morogoro uone uwekezaji wa shetani
 
Back
Top Bottom