Uchaguzi 2020 Nilichoshuhudia kwenye kampeni za Tundu Lissu Sumbawanga, CHADEMA inafeli kwenye mikakati

...sijamsikia TL akikumbushia zile milioni 50 zilizoahidiwa kwa kila kijiji
 
Umeweka chumvi nyingi Sana sio kila tatizo litawekwa kwenye ilani,yake ysnayoweza kushughulikiwa papo kwa papo Yuko sahihi kuyasemea,Kama umesoma uzi wangu nimesema specific issues za maeneo na maeneo ni lazima mgombea azijue na kueleza namna ya kuzitatua.
Tofauti ya ilani ya Chadema na ccm ni kwamba ilani ya Chadema ina focus kwenye broadterm reforms ambazo wanaamini ndio muarobsini wa matatizo madogo madogo wakati upande wa ccm ilani yao iko focused kwenye individual problem au specific issues tu..
 
Historia ya USA ni tofauti na ya kwetu kwa kiasi kikubwa, wao walianza kama makoloni ya mwingereza kila moja likijitegemea halafu wakaasi na kuungana. Hapa kwetu majimbo ni kujigawa ili kila sehemu iwe na serikali yake kuleta maendeleo kwa urahisi chini ya serikali kuu. Kila jimbo ni kipande cha Tanzania na sivinginevyo. Naamini Zanzibar wataendelea kuwa nchi, na muungano kama utaendelea utakuwa wa nchi mbili. Hivyo civil war sioni itakujaje kirahisi.
 

Unatoa mfano wa zaidi ya karne moja iliyopita, kisha unataka tuingie hofu karne hii!
 
Lissu anajitahidi ila sera ya majimbo inamuangusha. Mfano, Gesi ya Mtwara siyo Mali ya jimbo la kusini? Kwa nini itumike kugharamia bima ya afya kwa wote na mafao ya wazee ilhali mapato ya Tanzanite na utalii kaskazini yatumike kwa kaskazini tu?
Ni punguani tu ndie atakae shindwa kumwelewa Lissu narudia ni punguani

Sent from my BLL-L22 using JamiiForums mobile app
 
Sera ya majimbo ni mpya kwa watanzania wengi..inahitaji muda kuielezea tena kwa utaratibu mno huku ukitumia mifano hai midogo midogo ... mifano hai pamoja na kudadavua faida na hasara ya centralization vs decentralization gov's.

Pia si kila mkutano ni lazima Mgombea aeleze mambo yale yale ya Bima kwa wote, Elimu, Kilimo, Afya nk.... ni lazima ajikite kuongea mambo mengine pia kama alivyofanya Rukwa.

Cha kufurahisha wananchi wapo tayari, muitikio wa watu kwa mabadiliko Tanzania nzima ni mkubwa mno. Kiichobaki sasa ni kubuni mikakati ya kisayansi ya kuwazuia hawa vibaka wazoefu wa Kura.

So far so good kwa Lissu!! kama ni mapungufu huwa hayakosi katika kila jambo afanyalo mwanadamu - so kwake kama kuna mapungufu basi ni below 5% ambayo hayawezi kuathiri kampeni zake kwa ujumla.
 
Tatizo la hizi ahadi ni kushindwa kuunganisha na uchumi mdogo au ustawi wa mtu mmoja mmoja.CDM waliishawafukuza wachumi hivyo wamashindwa kufanya linkage za kiuchumi
Watapigwa mno safari hii.
 
Hapo tayari na wewe unasubiri usiku urushiwe vocha na viongozi au wanachama wa chama hiki ulichokisifia ili ujiunge bando na hatimae kesho uje uandike madudu mengine unayoona yatakusaidia tena kurushiwa bando na hao nilio wataja hapo juu
Watu wenye mitizamo ya dizain yako huwa hawafai maana kila kitu unakichukulia kwa mlengo hasi,binafsi sio mwanachama wa chama chochote ila ni muumini wa wanamageuzi,sijaandika kwa ushawishi wa mtu wala kutegemea chochote maana hii habari yangu iko balanced nimefanya constructive criticism na si vinginevyo na haina damage yoyote upande wa cdm unaouamini wewe ndugu.
 
Kwa miaka zaidi ya ishirini watanzania wameshindwa kuielewa hii sera, nafikiri chadema waitafakari upya kama sera hii inawauza au inawakwamisha.
 
Mleta mass katumia lugha laini kusema kwamba Lisu anatema pumba.
 
Nenda na wewe ukagombee
 
Pimbi wewe nenda Kamshauri jiwe,
 
Ova
 
Tutampa Kura lissu kwa sera kuu ya Katiba mpya, hayo mengine tupa kule!

Pia hayo maushauri yenu Pelekeni kwenye chama la mboga mboga

Nyi si ndo mlisema chadema imekufa? Mnashauri kilichokufa
 
Yapo pia Australia. Na hakuna ugomvi wowote zaidi ya manung'uniko toka Western Australia kuwa utajiri wao kwa kiasi kikubwa ndio unaoendesha Federal government.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tundu lisu anachotaka ni kuingia ikuru lakini anachoongea haelewi kama kinawzekana,
Nachojua akichaguliwa na baada ya kushindwa kutekeleza, majibu ni kwamba mbona hata CCM haikutekeleza, kwa hiyo bado yupo kwenye mchakato kwa hiyo mumps miaka mingine kwa vile ndo anapata uzoefu.
 
Kwani ccm hii ndio ilani yao ya kwanza katika nchi hii, hiyo misururu ya ilani imeifanyia nini nchi hii hadi leo hii ona nchi ilivyo "Shithole", bure kabisa.
 
Bora hiyo kuliko yule anayezungumzia kilomita za barabara na ndege 5 kila anakoenda ....!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…