alunashadya
Member
- Aug 15, 2014
- 57
- 10
hao wa 500 wameliwa,coz body wanataka receipt
mkuu ems 5000??????
Mm sijaelewa hapo,.....Ina maana huyo mlinzi alikuwa anatoa receipt ya ems au alikuwa ana charge watu wanaohitaji maelezo jinsi ya kutuma hzo form?
Mkuu ebu nisaidie hili,hizi fomu ukimaliza kujaza online ukaprint Nani na Nani wanasehemu yao ya kusaini kabla ya fomu kutumwa?kuna nafasi za serikali ya mtaa na ya kamishina wa viapo au hizi za online hazina?
ndio 5500
hao wa 500 wameliwa,coz body wanataka receipt
mh huyo mlinzi ana taaluma gani?
ndio 5500
Mkuu, huo ni wivu. Mlinzi analipwa buku 80 kwa mwezi, hiyo fursa ya kuwapurusa jero jero zenu imekuja mara moja kama leo kwanini asiitumie.
Mbona mitandao inakuibia vifurushi kila siku hulalamiki, TBL wanapandisha bei ya bia na bado munanunua? Tuwe realistic kidogo, fikiria huyo mlinzi ndio mzee wako halafu atokee mtu kama wewe amharibie fursa yake adimu.
Umesikia wabunge watalipwa kiinua mgongo cha milioni mia ngapi?