alunashadya
Member
- Aug 15, 2014
- 57
- 10
Habarini wanaJF wenzangu!
Nnatoa dukuduku ya niliyoshuhudia leo, leo nililazimika kwenda kuituma fomu ya bodi kinachoshangaza hawa jamaa wanataka tutume kwa EMS.
Nilifika posta nikakuta foleni kiasi ya watu wakingojea kupata huduma hiyo, nikaenda upande flani nikamkuta mlinzi anakagua form na kuzibana na kutoa maelekezo kilichonishangaza alikuwa anachaji mia tano kwa kila atakayempatia form kupitia pitia, hivi kwani ndio utaratibu?
Naona jamaa yule alikuwa anajipatia kiujanja ujanja isitoshe EMS wanatoza tsh 5500 per parcel!
Nnatoa dukuduku ya niliyoshuhudia leo, leo nililazimika kwenda kuituma fomu ya bodi kinachoshangaza hawa jamaa wanataka tutume kwa EMS.
Nilifika posta nikakuta foleni kiasi ya watu wakingojea kupata huduma hiyo, nikaenda upande flani nikamkuta mlinzi anakagua form na kuzibana na kutoa maelekezo kilichonishangaza alikuwa anachaji mia tano kwa kila atakayempatia form kupitia pitia, hivi kwani ndio utaratibu?
Naona jamaa yule alikuwa anajipatia kiujanja ujanja isitoshe EMS wanatoza tsh 5500 per parcel!