Nilichotoka Kukiona muda si mrefu kwa Mtaalam wangu ambaye kwa 100% huwa haongopi ngoja niagize kabisa Wine zangu na niianze furaha usiku huu huu

Nilichotoka Kukiona muda si mrefu kwa Mtaalam wangu ambaye kwa 100% huwa haongopi ngoja niagize kabisa Wine zangu na niianze furaha usiku huu huu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
ANGALIZO KALI

Huu uzi wala hauhusiani na jambo lolote lile ambalo labda unalihisi, bali nimeamua tu Kuandika nikimaanisha vingine!!!!
 
Kesho ukiona Fadlu amenza na mlegevu Ahoua badala ya Mavambo, kipigo kizito kwetu Simba hakiepukiki
 
Wewe tabiri kama mganga wa kienyeji lakin kipigo cha mbwa koko kipo pale pale huwez badili kitu
 
Mganga kawaambia wakitia pua wanapigwa 6 nunge.
 
Back
Top Bottom