Nilichowafanya hawa mabinti wa IFM hawatanisahau

Nilichowafanya hawa mabinti wa IFM hawatanisahau

Huwezi amini mpaka mimi najishangaa ilíkua mimi au nilirogwa miaka yote mitatu!!!!Duuuh yule dada wa CBE ana roho ngumu balaa!!!!Afu cha ajabu hatukunanii eti mpaka tufunge ndoa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Chai, ulimsomesha demu chuo miaka 3 Akakuacha na kipindi chote hiko hukuwahi kuambulia papuchi Nelson Jacob lushasi
 
Mabinti wa vyuoni wengi sijui wanayaonaje maisha, nadhani wanajua maisha ni kitu rahisi tu coz wanakula, wanalala, wanahongwa na life linasonga. Jamaa kakosea kuwaachia kisanga, angemwita pembeni baada tu ya kukutana nao, date ikaishia pale pale, akalipia bolt warudi walipotoka.

Jioendekeze uonekane unazo, kesho unaamka huna hata jero ya kuendea jobu.
Amewaachia kisanga ili siku nyingine wajifunze kutopenda mteremko
 
Bado naendelea kupitia na kutathimini comment moja moja nilichobaini wanawake wengi wameumia na jamaa alichofanya😅😅😅
 
Weekend nilikutana na binti mmoja mrembo sana akasema anasoma IFM. Tukabadilishana namba, nikamwambia Jumapili jioni ajiandae nitamtoa out

Nikachukua bolt hadi Shaaban Robert Street chuoni kwa binti mida ya saa mbili. Cha kushangaza akaja na wenzake watatu wananukia kama majini.

Safari ikaanza mpaka small planet Tabata.

Wakaagiza savana, mi nikaita mtu wa jikoni wakaagiza kila mtu msosi aupendao na mimi nikaagiza. Tukaanza kula nikajifanya naongea na simu nikachukua bodaboda kitandani.

Asubuhi nikakuta matusi mengine mapya kabisa yaani sms za matusi zinapishana tu kwenye simu

Ofa nilikupa wewe Suraiya wewe unaniletea timu ya Twiga stars,

Kwanza sijui kama hao walikuwa binadamu au majini, binadamu wa kawaida amashindwa kumaliza samaki changu wa saizi ya kiganja?
Hatari
 
Bado naendelea kupitia na kutathimini comment moja moja nilichobaini wanawake wengi wameumia na jamaa alichofanya😅😅😅
Katika masuala ya mapenzi, wanawake hawapendagi kuzidiwa ujanja na wanaume. Na halikadhalika wanaume hatupendi kuzidiwa ujanja na wanawake.
 
Weekend nilikutana na binti mmoja mrembo sana akasema anasoma IFM. Tukabadilishana namba, nikamwambia Jumapili jioni ajiandae nitamtoa out

Nikachukua bolt hadi Shaaban Robert Street chuoni kwa binti mida ya saa mbili. Cha kushangaza akaja na wenzake watatu wananukia kama majini.

Safari ikaanza mpaka small planet Tabata.

Wakaagiza savana, mi nikaita mtu wa jikoni wakaagiza kila mtu msosi aupendao na mimi nikaagiza. Tukaanza kula nikajifanya naongea na simu nikachukua bodaboda kitandani.

Asubuhi nikakuta matusi mengine mapya kabisa yaani sms za matusi zinapishana tu kwenye simu

Ofa nilikupa wewe Suraiya wewe unaniletea timu ya Twiga stars,

Kwanza sijui kama hao walikuwa binadamu au majini, binadamu wa kawaida amashindwa kumaliza samaki changu wa saizi ya kiganja?
Ila weeyeee utakuwa muhuuuniiii.
 
Mimi kwenye suala la mapenzi huwa nipo straight. Nikimpa mualiko demu namwambia kabisa tangu mwanzo aje peke ake na baada ya offer tunaenda kulala pamoja
Mtu keshatombeka huko halafu namtokea nampa mualiko anijie na wenzake then wale na kunywa kwa pesa yangu halafu waondoke kisha aje anambie tuwe marafiki au hayupo tayari kwa mahusiano nimpe mda.

Kummake [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ilinikuta Mlimani City. Binti kaalikwa yeye, kaja na rafiki yake, bila kusema. Nikawapa walichotaka.

Ikanitokea tena New Jersey, hivyo hivyo. Binti wa Kitanzania.

Nikawapa walichotaka.

"Been granting wishes like a genie
Two bad hoes in two-piece bikinis
If you know you know..."

Pusha-T "If You Know You Know".
 
Ilibidi katika hao marafiki aliokuja nao,ujichagulie mzuri zaidi yake.Ungejilia mema ya nchi.
 
Weekend nilikutana na binti mmoja mrembo sana akasema anasoma IFM. Tukabadilishana namba, nikamwambia Jumapili jioni ajiandae nitamtoa out

Nikachukua bolt hadi Shaaban Robert Street chuoni kwa binti mida ya saa mbili. Cha kushangaza akaja na wenzake watatu wananukia kama majini.

Safari ikaanza mpaka small planet Tabata.

Wakaagiza savana, mi nikaita mtu wa jikoni wakaagiza kila mtu msosi aupendao na mimi nikaagiza. Tukaanza kula nikajifanya naongea na simu nikachukua bodaboda kitandani.

Asubuhi nikakuta matusi mengine mapya kabisa yaani sms za matusi zinapishana tu kwenye simu

Ofa nilikupa wewe Suraiya wewe unaniletea timu ya Twiga stars,

Kwanza sijui kama hao walikuwa binadamu au majini, binadamu wa kawaida amashindwa kumaliza samaki changu wa saizi ya kiganja?
Aisee
 
Back
Top Bottom