Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Bro uta kuja kutu us kea kicheko😃🤣🤣Kwa hiyo umeamua unitukane mkuu?
Sina ukoo kwa Samia mimi mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bro uta kuja kutu us kea kicheko😃🤣🤣Kwa hiyo umeamua unitukane mkuu?
Sina ukoo kwa Samia mimi mkuu
Chai, ulimsomesha demu chuo miaka 3 Akakuacha na kipindi chote hiko hukuwahi kuambulia papuchi Nelson Jacob lushasiHuwezi amini mpaka mimi najishangaa ilÃkua mimi au nilirogwa miaka yote mitatu!!!!Duuuh yule dada wa CBE ana roho ngumu balaa!!!!Afu cha ajabu hatukunanii eti mpaka tufunge ndoa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Check nae huyuWanaume wanazidi kupungua.
Ndio mkuu enzi hizo 🤣🤣😂😂Chai, ulimsomesha demu chuo miaka 3 Akakuacha na kipindi chote hiko hukuwahi kuambulia papuchi Nelson Jacob lushasi
Mahusiano bhana 🤣🤣Mie huwa naset mabomu sehemu mbili. Ikiwa moja imegoma inakuja backup
Amewaachia kisanga ili siku nyingine wajifunze kutopenda mteremkoMabinti wa vyuoni wengi sijui wanayaonaje maisha, nadhani wanajua maisha ni kitu rahisi tu coz wanakula, wanalala, wanahongwa na life linasonga. Jamaa kakosea kuwaachia kisanga, angemwita pembeni baada tu ya kukutana nao, date ikaishia pale pale, akalipia bolt warudi walipotoka.
Jioendekeze uonekane unazo, kesho unaamka huna hata jero ya kuendea jobu.
Hapo ulifeli sana. Chumba hakilipiwi mpaka mgeni aje.Mimi sisitadu mmoja aliniambia nilipie kabisa room anakuja🤣🤣🤣🤣 kilichotokea na simu yake akazima mpaka kesho yake na chumba nishalipia🤣🤣🤣🤣!!!!
HatariWeekend nilikutana na binti mmoja mrembo sana akasema anasoma IFM. Tukabadilishana namba, nikamwambia Jumapili jioni ajiandae nitamtoa out
Nikachukua bolt hadi Shaaban Robert Street chuoni kwa binti mida ya saa mbili. Cha kushangaza akaja na wenzake watatu wananukia kama majini.
Safari ikaanza mpaka small planet Tabata.
Wakaagiza savana, mi nikaita mtu wa jikoni wakaagiza kila mtu msosi aupendao na mimi nikaagiza. Tukaanza kula nikajifanya naongea na simu nikachukua bodaboda kitandani.
Asubuhi nikakuta matusi mengine mapya kabisa yaani sms za matusi zinapishana tu kwenye simu
Ofa nilikupa wewe Suraiya wewe unaniletea timu ya Twiga stars,
Kwanza sijui kama hao walikuwa binadamu au majini, binadamu wa kawaida amashindwa kumaliza samaki changu wa saizi ya kiganja?
Katika masuala ya mapenzi, wanawake hawapendagi kuzidiwa ujanja na wanaume. Na halikadhalika wanaume hatupendi kuzidiwa ujanja na wanawake.Bado naendelea kupitia na kutathimini comment moja moja nilichobaini wanawake wengi wameumia na jamaa alichofanya😅😅😅
Ila weeyeee utakuwa muhuuuniiii.Weekend nilikutana na binti mmoja mrembo sana akasema anasoma IFM. Tukabadilishana namba, nikamwambia Jumapili jioni ajiandae nitamtoa out
Nikachukua bolt hadi Shaaban Robert Street chuoni kwa binti mida ya saa mbili. Cha kushangaza akaja na wenzake watatu wananukia kama majini.
Safari ikaanza mpaka small planet Tabata.
Wakaagiza savana, mi nikaita mtu wa jikoni wakaagiza kila mtu msosi aupendao na mimi nikaagiza. Tukaanza kula nikajifanya naongea na simu nikachukua bodaboda kitandani.
Asubuhi nikakuta matusi mengine mapya kabisa yaani sms za matusi zinapishana tu kwenye simu
Ofa nilikupa wewe Suraiya wewe unaniletea timu ya Twiga stars,
Kwanza sijui kama hao walikuwa binadamu au majini, binadamu wa kawaida amashindwa kumaliza samaki changu wa saizi ya kiganja?
Mtu keshatombeka huko halafu namtokea nampa mualiko anijie na wenzake then wale na kunywa kwa pesa yangu halafu waondoke kisha aje anambie tuwe marafiki au hayupo tayari kwa mahusiano nimpe mda.Mimi kwenye suala la mapenzi huwa nipo straight. Nikimpa mualiko demu namwambia kabisa tangu mwanzo aje peke ake na baada ya offer tunaenda kulala pamoja
Hivi komwe huwa ni nini hasa?Ndio maana una komwe
Kipanda usoHivi komwe huwa ni nini hasa?
AiseeWeekend nilikutana na binti mmoja mrembo sana akasema anasoma IFM. Tukabadilishana namba, nikamwambia Jumapili jioni ajiandae nitamtoa out
Nikachukua bolt hadi Shaaban Robert Street chuoni kwa binti mida ya saa mbili. Cha kushangaza akaja na wenzake watatu wananukia kama majini.
Safari ikaanza mpaka small planet Tabata.
Wakaagiza savana, mi nikaita mtu wa jikoni wakaagiza kila mtu msosi aupendao na mimi nikaagiza. Tukaanza kula nikajifanya naongea na simu nikachukua bodaboda kitandani.
Asubuhi nikakuta matusi mengine mapya kabisa yaani sms za matusi zinapishana tu kwenye simu
Ofa nilikupa wewe Suraiya wewe unaniletea timu ya Twiga stars,
Kwanza sijui kama hao walikuwa binadamu au majini, binadamu wa kawaida amashindwa kumaliza samaki changu wa saizi ya kiganja?