Nilidanganya kuwa mama amefariki ili nipate msaada, roho yangu inahuzunika sana

Nilidanganya kuwa mama amefariki ili nipate msaada, roho yangu inahuzunika sana

Mkuu Kama uliongopa mama yako kafa kuna kingine utashindwa kuongopa??!!

Naona umeishiwa sasa unatunga Tena uje kutupeleka peleka. Hiyo chai yako umeongeza sukari duhh.
 
Tuendelee japo naona wengine wananitukana[emoji28]...


Kutokana na michango kuzidi shuleni na hakuna wa kutusaidia tukaamua twende kuomba msaada wa kusomeshwa na halmasauri. Likizo nzima tulikuwa tunaambiwa kila siku Njoo kesho, ikifika ijumaa tunaambiwa njooni j3. Umbali wa kutoka nyumbani Hadi halmasauri ni Kama 14km kwahiyo kwenda na kurudi ni 28km na tunaenda na kurudi kwa mguu. Hatimaye likizo ikaisha tunatakiwa kurudi shuleni na hatujapata msaada wa kusomeshwa, Jambo lililopelekea kaka yangu kukata tamaa ya kusoma na hakurudi shule tena.

Mimi niliendelea kuhudhuria pale halmasauri, kila siku nikiambiwa Njoo kesho nafika mapema. Kipindi Cha Kikwete ofisi za serikali zilikuwa hazijali watu kabisaa. Yaani unaingia ofisi ya umma asubuhi unamkuta mhusika anasoma gazette anakuambia yupo busy Njoo kesho. Kesho ukija unamkuta anacheza game kwa computer anakuambia Yuko busy na unaona kabisa anacheza game! Niliendelea kuhudhuria pale halmasauri bila kukata tamaa Hadi wakazoea kuniona pale.kumbuka likizo imeisha shule zimeshafunguliwa na nimeshapitiliza wiki moja.

Siku moja dada mmoja wa hapo ofisini akamuuliza bosi wake, kwanini huyu mtoto anakuja hapa kila siku, na Kama halmasauri hakuna fungu la kumsomesha ni kwanini unamuambia aje hapa kila siku?! Alimgombeza boss wake Hadi nikaogopa. Baadae akanitoa nje akaniuliza maswali machache; unaishi wapi? Shida yako Nini haswa, nikamwambia shida yangu nashindwa kuendelea na masomo kwasababu ya Ada. Akaniuliza nadaiwa shngapi jumla, Nilikuwa na report form inayoonyesha mchanganuo wa michango yote ninayodaiwa na nitakayodaiwa muhula ujao, pia Hilo fomu lilionyesha masomo na ufaulu wa mwanafuzi. Alishangaa kuona nimefaulu vizuri, nimeshika nafasi ya 2 Kati ya wanafunzi 208 darasani. Alirudi ndani ya ofisi akawaonyesha wenzake na kuwaambia japo kipato chake kidogo yeye hayuko tayari kuona mwanafuzi mwenye bidii darasani anaacha shule kwa sababu ya Ada. Alinirudia na kuniambia nirudi nyumbani nikajiandae na safari ya shule kisha baada ya siku tatu nipitie pale National House anapoishi, nikafanya hivyo.

Siku nilipoenda kwake nikakuta ameandaa bahasha yenye barua akaniambia niisome. Sikuamini macho yangu, Alimuandikia mkuu wa shule kumuomba (yeye dada) anilipie michango kwa installment. Nilipomaliza kuisoma, akaweka pesa ninazodaiwa muhula uliopita akafunga bahasha, akanipa Ela nyungine nikafanye shopping kisha nirudi pale kwake, nikafanya hivyo.

Huyo dada ni mtu wa Kanda ya ziwa na ni mmoja ya makabila wanaotuhumiwa kwa kuwa na dharau na kujisifu na hapo alikuwa anaishi na mume wake na walikuwa na mtoto mmoja,alikuwa mkarimu Sana na sikuona chechote Kati ya hizo sifa wanaotuhumiwa nazo. Kawaida tulikuwa tukitaka kusafiri tunalala kwenye basi ili asubuhi Tuendelee na safari, huyo dada akanizuia nisilale kwenye basi nilale kwake.mume wake pia ni mtumishi wa halmasauri Ila ni mtu wa tungi sana Hadi Leo.

Namna hiyo nilianza ukurasa mpya wa maisha ya shule. nilisoma kwa bidii hadi nikawa nawakimbiza class. Nilikuja kusikia kwamba mkuu wa shule anamshinikiza huyo dada aache kunisomesha kwani Hata yeye alijisomesha kwa kuuza maji hivyo vijana wa sikuizi tunadeka Sana na hatupo tayari kujitosa kikamilifu kwenye mapambano ya maisha. Japo yule dada hakuufanyia kazi ushauri wake niliumia Sana. Niliomba Mungu aingilie katika kwa sababu nimeshindwa kuelewa huyu mwalimu inamhusu Nini nikilipiwa Ada na mtu ambaye siyo ndugu yake Wala hajaombwa anichangie.

Ndugu msomaji unaposikia theory of "Karma", hii kitu ni kweli kabisaa. Usifanye jeuri au dhulma kwa kuwa unayemfanyia yeye hana uwezo wa kukufanya chechote. Huyo mtu, Hayati Magufuli alipoingia madarakani, aliwafukuza kazi wafanyakazi wenye vyeti feki nayeye alifukuzwa. Mwaka huo huo bomoa bomoa ilipitia maduka yake na rooms za kupangisha, alikuwa na magari mawili, moja likaibiwa na lingine likapata ajali Mbaya likaharibika Sana hadi amelipaki tu, mwaka mmoja baadae shamba lake ekari 150 likapimwa na kuonekana lipo kwenye Hifadhi ya nyuki, serikali ikamnyang'anya bila fidia kwani alikuwa anamiliki kiujanja ujanja, yaani ndani ya miaka mitatu akawa kapuku. Na watoto wake nao kila wakifika kidato cha nne wanapiga dundo wanamletea sifuri japo alijitahidi kuwapeleka tution za gharamana, wawili wengine wakamletea mimba. Mimi Niendelea na masomo Hadi nikamaliza kidato cha nne.


Nitakuja kuelezea nilivyonusuriaka kujiunga na ugaidi..... Samahani kwa uandishi mbaya Sisi Wamaasai kiswahili hutuchenga. Kuna watu humu wananifahamu na walinisapoti, story Kama huamini au haikupendezi siyo lazima utukane watu
 
Tuendelee japo naona wengine wengine wananitukana[emoji28]...


Kutokana na michango kuzidi shuleni na hakuna wa kutusaidia tukaamua twende kuomba msaada wa kusomeshwa na halmasauri. Likizo nzima tulikuwa tunaambiwa kila siku Njoo kesho, ikifika ijumaa tunaambiwa njooni j3. Umbali wa kutoka nyumbani Hadi halmasauri ni Kama 14km kwahiyo kwenda na kurudi ni 28km na tunaenda na kurudi kwa mguu. Hatimaye likizo ikaisha tunatakiwa kurudi shuleni na hatujapata msaada wa kusomeshwa, Jambo lililopelekea kaka yangu kukata tamaa ya kusoma na hakurudi shule tena.

Mimi niliendelea kuhudhuria pale halmasauri, kila siku nikiambiwa Njoo kesho nafika mapema. Kipindi Cha Kikwete ofisi za serikali zilikuwa hazijali watu kabisaa. Yaani unaingia ofisi ya umma asubuhi unamkuta mhusika anasoma gazette anakuambia yupo busy Njoo kesho. Kesho ukija unamkuta anacheza game kwa computer anakuambia Yuko busy na unaona kabisa anacheza game! Niliendelea kuhudhuria pale halmasauri bila kukata tamaa Hadi wakazoea kuniona pale.kumbuka likizo imeisha shule zimeshafunguliwa na nimeshapitiliza wiki moja.

Siku moja dada mmoja wa hapo ofisini akamuuliza bosi wake, kwanini huyu mtoto anakuja hapa kila siku, na Kama halmasauri hakuna fungu la kumsomesha ni kwanini unamuambia aje hapa kila siku?! Alimgombeza boss wake Hadi nikaogopa. Baadae akanitoa nje akaniuliza maswali machache; unaishi wapi? Shida yako Nini haswa, nikamwambia shida yangu nashindwa kuendelea na masomo kwasababu ya Ada. Akaniuliza nadaiwa shngapi jumla, Nilikuwa na report form inayoonyesha mchanganuo wa michango yote ninayodaiwa na nitakayodaiwa muhula ujao, pia Hilo fomu lilionyesha masomo na ufaulu wa mwanafuzi. Alishangaa kuona nimefaulu vizuri, nimeshika nafasi ya 2 Kati ya wanafunzi 208 darasani. Alirudi ndani ya ofisi akawaonyesha wenzake na kuwaambia japo kipato chake kidogo yeye hayuko tayari kuona mwanafuzi mwenye bidii darasani anaacha shule kwa sababu ya Ada. Alinirudia na kuniambia nirudi nyumbani nikajiandae na safari ya shule kisha baada ya siku tatu nipitie pale National House anapoishi, nikafanya hivyo.

Siku nilipoenda kwake nikakuta ameandaa bahasha yenye barua akaniambia niisome. Sikuamini macho yangu, Alimuandikia mkuu wa shule kumuomba (yeye dada) anilipie michango kwa installment. Nilipomaliza kuisoma, akaweka pesa ninazodaiwa muhula uliopita akafunga bahasha, akanipa Ela nyungine nikafanye shopping kisha nirudi pale kwake, nikafanya hivyo.

Huyo dada ni mtu wa Kanda ya ziwa na ni mmoja ya makabila wanaotuhumiwa kwa kuwa na dharau na kujisifu na hapo alikuwa anaishi na mume wake na walikuwa na mtoto mmoja,alikuwa mkarimu Sana na sikuona chechote Kati ya hizo sifa wanaotuhumiwa nazo. Kawaida tulikuwa tukitaka kusafiri tunalala kwenye basi ili asubuhi Tuendelee na safari, huyo dada akanizuia nisilale kwenye basi nilale kwake.mume wake pia ni mtumishi wa halmasauri Ila ni mtu wa tungi sana Hadi Leo.

Namna hiyo nilianza ukurasa mpya wa maisha ya shule. nilisoma kwa bidii hadi nikawa nawakimbiza class. Nilikuja kusikia kwamba mkuu wa shule anamshinikiza huyo dada aache kunisomesha kwani Hata yeye alijisomesha kwa kuuza maji hivyo vijana wa sikuizi tunadeka Sana na hatupo tayari kujitosa kikamilifu kwenye mapambano ya maisha. Japo yule dada hakuufanyia kazi ushauri wake niliumia Sana. Niliomba Mungu aingilie katika kwa sababu nimeshindwa kuelewa huyu mwalimu inamhusu Nini nikilipiwa Ada na mtu ambaye siyo ndugu yake Wala hajaombwa anichangie.

Ndugu msomaji unaposikia theory of "Karma", hii kitu ni kweli kabisaa. Usifanye jeuri au dhulma kwa kuwa unayemfanyia yeye hana uwezo wa kukufanya chechote. Huyo mtu, Hayati Magufuli alipoingia madarakani, aliwafukuza kazi wafanyakazi wenye vyeti feki nayeye alifukuzwa. Mwaka huo huo bomoa bomoa ilipitia maduka yake na rooms za kupangisha, alikuwa na magari mawili, moja likaibiwa na lingine likapata ajali Mbaya likaharibika Sana hadi amelipaki tu, mwaka mmoja baadae shamba lake ekari 150 likapimwa na kuonekana lipo kwenye Hifadhi ya nyuki, serikali ikamnyang'anya bila fidia kwani alikuwa anamiliki kiujanja ujanja, yaani ndani ya miaka mitatu akawa kapuku. Na watoto wake nao kila wakifika kidato cha nne wanapiga dundo wanamletea sifuri japo alijitahidi kuwapeleka tution za gharamana, wawili wengine wakamletea mimba. Mimi Niendelea na masomo Hadi nikamaliza kidato cha nne.


Nitakuja kuelezea nilivyonusuriaka kujiunga na ugaidi..... Samahani kwa uandishi mbaya Sisi Wamaasai kiswahili hutuchenga. Kuna watu humu wananifahamu na walinisapoti, story Kama huamini au haikupendezi siyo lazima utukane watu
usije tena hapa....mambo ya itaendelea ni udwanz

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Tuendelee japo naona wengine wengine wananitukana[emoji28]...


Kutokana na michango kuzidi shuleni na hakuna wa kutusaidia tukaamua twende kuomba msaada wa kusomeshwa na halmasauri. Likizo nzima tulikuwa tunaambiwa kila siku Njoo kesho, ikifika ijumaa tunaambiwa njooni j3. Umbali wa kutoka nyumbani Hadi halmasauri ni Kama 14km kwahiyo kwenda na kurudi ni 28km na tunaenda na kurudi kwa mguu. Hatimaye likizo ikaisha tunatakiwa kurudi shuleni na hatujapata msaada wa kusomeshwa, Jambo lililopelekea kaka yangu kukata tamaa ya kusoma na hakurudi shule tena.

Mimi niliendelea kuhudhuria pale halmasauri, kila siku nikiambiwa Njoo kesho nafika mapema. Kipindi Cha Kikwete ofisi za serikali zilikuwa hazijali watu kabisaa. Yaani unaingia ofisi ya umma asubuhi unamkuta mhusika anasoma gazette anakuambia yupo busy Njoo kesho. Kesho ukija unamkuta anacheza game kwa computer anakuambia Yuko busy na unaona kabisa anacheza game! Niliendelea kuhudhuria pale halmasauri bila kukata tamaa Hadi wakazoea kuniona pale.kumbuka likizo imeisha shule zimeshafunguliwa na nimeshapitiliza wiki moja.

Siku moja dada mmoja wa hapo ofisini akamuuliza bosi wake, kwanini huyu mtoto anakuja hapa kila siku, na Kama halmasauri hakuna fungu la kumsomesha ni kwanini unamuambia aje hapa kila siku?! Alimgombeza boss wake Hadi nikaogopa. Baadae akanitoa nje akaniuliza maswali machache; unaishi wapi? Shida yako Nini haswa, nikamwambia shida yangu nashindwa kuendelea na masomo kwasababu ya Ada. Akaniuliza nadaiwa shngapi jumla, Nilikuwa na report form inayoonyesha mchanganuo wa michango yote ninayodaiwa na nitakayodaiwa muhula ujao, pia Hilo fomu lilionyesha masomo na ufaulu wa mwanafuzi. Alishangaa kuona nimefaulu vizuri, nimeshika nafasi ya 2 Kati ya wanafunzi 208 darasani. Alirudi ndani ya ofisi akawaonyesha wenzake na kuwaambia japo kipato chake kidogo yeye hayuko tayari kuona mwanafuzi mwenye bidii darasani anaacha shule kwa sababu ya Ada. Alinirudia na kuniambia nirudi nyumbani nikajiandae na safari ya shule kisha baada ya siku tatu nipitie pale National House anapoishi, nikafanya hivyo.

Siku nilipoenda kwake nikakuta ameandaa bahasha yenye barua akaniambia niisome. Sikuamini macho yangu, Alimuandikia mkuu wa shule kumuomba (yeye dada) anilipie michango kwa installment. Nilipomaliza kuisoma, akaweka pesa ninazodaiwa muhula uliopita akafunga bahasha, akanipa Ela nyungine nikafanye shopping kisha nirudi pale kwake, nikafanya hivyo.

Huyo dada ni mtu wa Kanda ya ziwa na ni mmoja ya makabila wanaotuhumiwa kwa kuwa na dharau na kujisifu na hapo alikuwa anaishi na mume wake na walikuwa na mtoto mmoja,alikuwa mkarimu Sana na sikuona chechote Kati ya hizo sifa wanaotuhumiwa nazo. Kawaida tulikuwa tukitaka kusafiri tunalala kwenye basi ili asubuhi Tuendelee na safari, huyo dada akanizuia nisilale kwenye basi nilale kwake.mume wake pia ni mtumishi wa halmasauri Ila ni mtu wa tungi sana Hadi Leo.

Namna hiyo nilianza ukurasa mpya wa maisha ya shule. nilisoma kwa bidii hadi nikawa nawakimbiza class. Nilikuja kusikia kwamba mkuu wa shule anamshinikiza huyo dada aache kunisomesha kwani Hata yeye alijisomesha kwa kuuza maji hivyo vijana wa sikuizi tunadeka Sana na hatupo tayari kujitosa kikamilifu kwenye mapambano ya maisha. Japo yule dada hakuufanyia kazi ushauri wake niliumia Sana. Niliomba Mungu aingilie katika kwa sababu nimeshindwa kuelewa huyu mwalimu inamhusu Nini nikilipiwa Ada na mtu ambaye siyo ndugu yake Wala hajaombwa anichangie.

Ndugu msomaji unaposikia theory of "Karma", hii kitu ni kweli kabisaa. Usifanye jeuri au dhulma kwa kuwa unayemfanyia yeye hana uwezo wa kukufanya chechote. Huyo mtu, Hayati Magufuli alipoingia madarakani, aliwafukuza kazi wafanyakazi wenye vyeti feki nayeye alifukuzwa. Mwaka huo huo bomoa bomoa ilipitia maduka yake na rooms za kupangisha, alikuwa na magari mawili, moja likaibiwa na lingine likapata ajali Mbaya likaharibika Sana hadi amelipaki tu, mwaka mmoja baadae shamba lake ekari 150 likapimwa na kuonekana lipo kwenye Hifadhi ya nyuki, serikali ikamnyang'anya bila fidia kwani alikuwa anamiliki kiujanja ujanja, yaani ndani ya miaka mitatu akawa kapuku. Na watoto wake nao kila wakifika kidato cha nne wanapiga dundo wanamletea sifuri japo alijitahidi kuwapeleka tution za gharamana, wawili wengine wakamletea mimba. Mimi Niendelea na masomo Hadi nikamaliza kidato cha nne.


Nitakuja kuelezea nilivyonusuriaka kujiunga na ugaidi..... Samahani kwa uandishi mbaya Sisi Wamaasai kiswahili hutuchenga. Kuna watu humu wananifahamu na walinisapoti, story Kama huamini au haikupendezi siyo lazima utukane watu
Sawa,shusha nondo maasai boy
 
TUENDELEE..

Wakati nasubiri matokeo ya kidato Cha nne nilienda arusha kufanya kibarua Cha kulisha ng'ombe. Jamani ng'ombe wa kisasa wanakula! Yaani sikutarajia Kama kazi ingekuwa ngumu hivyo. Ng'ombe walikuwa Saba. Kuwalisha tu asubuhi moja ni mziki. Na wanalishwa asubuhi, mchana na jioni, mbaya zaidi wanapenda kulia Lia na kila wakilia boss anawaka kinyamaa anadai ng'ombe Wana njaa Hata Kama ndio nimetoka kuwalisha, mshahara ni elfu 40 kwa mwez! Nilivvokuwa mgeni nilona Kama Kazi inataka kunishinda lakini kadri siku zinavyoenda nikaanza kuzoea kazi hivyo nikakomaa nayo maana sikuwa na alternative.

Kulikuwa na duka naagizwa kupeleka maziwa ya Bill kila asubuhi na jioni na kuna mda napita hapo mchana kununua pumba. Siku moja nimepitia apo dukani Kuna chalii akaja akanipiga teke. Nimegeuka Wala sikuuliza nikamrukia teke la kifua Hadi akaanguka chini. Nikainua jiwe kubwa kabla sijamuangushia Kuna ustadhi akatoke akanizuia. Yule chalii akaamka akakimbia. Siku zikasonga yule ustadhi nilikuwa namuona Mara nyingi pale kijiweni. Siku moja mchana akaniita akaniambia Kuna deal anataka tuongee nikamwambia ntarudi baada ya nusu saa. Nikaenda maskani fasta nikawanywesha ng'ombe maji nikarudi kijiweni. Nilimkuta ustadhi ananisubiri akaniuliza unapendelea kula Nini mchana huu nikamwambia ugali na nyama choma akaagiza tukala. Sasa wakati tunakula akawa ananipamba na maujiko ooh Mara kijana unaonekana jasiri Sana, ooh Mara kijana unaonekana mpambanaji Sana me nikawa naitikia tu kwamba ni kweli.. ni kweli. Akaniuliza unafanya Kazi gani apa mjini nikamwambia ukweli kwa kila kitu maana me nilidhani Kuna mchongo anataka kuniunganishia. Baada ya kunihoji mda mrefu akaanza kunishawishi kwamba Kuna Kazi atanipa itakayobadili kabisa maisha yangu laki inatakiwa niwe mwanaume kamili. Aliniuliza Mara nyingi Kama nipo tayari, binafsi nikajua bila shaka ni Kazi ya madawa ya kulevya maana kabla ya hapo niliwahi kusikia stori kwamba biashara ya madawa ya kulevya Ina utajiri wa haraka.

Tuliagana kwamba niendelee kujitafakari Kama Nina uwezo wa kuhimili Kazi yenye malipo makubwa au niendelee kuwa maskini. Binafsi nilimwambia nipo tayari kuanza Kazi Hata siku hiyohiyo lakini akasisitiza niendelee kujitafakari lakini iwe siri nikamwambia poaa akachukua namba yangu tukaagana, hiyo ilikuwa mwanzoni mwa mwezi March, 2015.

Mwishoni mwa mwezi huo akanitafuta tuonane, Mara hii tulionana kwenye ukumbi wa hoteli moja kali Sana pale arusha mjini. Nilimkuta yule Jamaa, round hii akiwa amevaa suti kali na amenyoa ndevu, Yuko na wenzake wawili tulisalimiana wakanikaribisha nikae,stori za hapa na pale baada ya Kama dakika 20 wakaja vijana wengine wanne jumla tukawa watu nane. Tulipiga msosi ambao ni adimu Sana kwangu na baadae wakaanza kutu motivate kwamba kuuaga umaskini ni kitu kinachowezakana kwa mda mfupi jambo ambalo lilinifanya nifurahi Sana baada ya hapo tulipewa kila mtu shiling elfu hamsini bure na tukaambiwa tukutane kesho yake kwenye bustani flani hapo arusha mjini. Nilifurahi Sana na nikaanza ku imagine jinsi nitakavyofanya Kazi kwa bidii na kuachana na umaskini. mda wote nilikuwa nadhani ni Kazi ya madawa ya kulevya. Kesho yake tukakutana baada ya stori mbili tatu jamaa akatuchana live kwamba Kazi ni kuilinda maslahi ya Somalia dhidi ya udhalimu wanaofanywa, na tutatakiwa kwenda kwenye kozi ya miezi mitatu kabla ya kusajiliwa.alsema tukiwa kwenye kozi tutakuwa tunalipwa elfu 50 kila siku na tukishamaliza kozi tutakuwa tunalipwa laki tatu kila siku! Niliogopa kidogo lakini nikiwaza wingi wa hizo tarakimu na nikilinganisha Kazi ngumu ninazofanya kwa ujira wa elfu 40 kwa mwezi, automatically uwoga unaisha kabisa. Tulipewa kila mtu elfu 50 na tukaambiwa tujiandae mda wowote tutatakiwa kusafirishwa kwenda somalia sehemu inayoitwa Ghuba ya Aden.

Mnamo April, 2 vyombo vya habari vilitangaza kwamba Kuna shambulizi la kigaidi limetukea Chuo kikuu Cha Garisa nchini Kenya na kugharimu maisha ya watu zaidi ya mia moja. Baada ya siku chache tulisikia kwamba wachache Kati ya magaidi waliokamatwa mmoja wao ni Mtanzania tena alikuwa ni mwanafuzi wa kidato Cha tano, Bihawana Dodoma! Hapo nikapata picha kwamba, awa jamaa ni Al-shabaab na mchezo wao ni kuwarubuni vijana wa masikini kijiunga na ugaidi. Kutokana na idadi hiyo ya vifo vya watu wasio na hatia, nikajihoji nikaona nisije nikapoteza uelekeo wa maisha yangu kwa sababu ya ahadi za utajiri ambao hakuna mwenye uhakika kwamba nitapata. Nikabadili mawazo na nikavunja sim card yangu ili wale jamaa wasinipate hewani, nikabadili ratiba za kwenda dukani, nikamuomba chalii flani awe anapeleka maziwa dukani badala yangu.

Siku zilisonga matokeo ya mtihani yalitoka nimefanya vizuri na baada ya miezi michache nikapangwa kidato Cha tano. Niliwaaga rasmi familia ya boss wangu nikaanza mchakato wa kwenda shule. Yule dada aliyekuwa ananisomesha alihamishwa kikazi mkoa mwingine lakini Marafiki zake wananifahamu hivyo walipopata habari kwamba natakiwa kwenda shule walinichangia nikafanikiwa kijiunga na kidato Cha tano.

Mwaka wa kwanza ulienda vizuri, mziki ulikuja kuwa tofauti nilipoingia kidato Cha sita.niliishiwa na sikuwa na pesa za matumizi, nikiwapigia wale watu wangu mda mwingi wanakuwa busy. Ilifika wakati nikawa Hata sabuni ya kufulia Sina nikawa naamka usiku wa manane kupita kwe mabafu na kukusanya vipande vya sabuni vilivyobaki baada ya watu kuoga, nilivifinyanga kwa pamoja Kama tonge la ugali, Sasa unakuta zingine ni yeusi zingine nyeupe ivyo yaani nafua usiku wa manane ili watu wasijue. Naamka alfaniri naoga navaa uniform nakaa standby, mswaki mfukoni wenzangu wakianza kujiandaa atakayefungua tranka nagongea mafuta ya kujipaka, mwingine atakayefungua tranka nagongea dawa ya meno, naenda jalalani naokota zile counter book yaliyotupwa yameandikwa nusu, nakata natumia upande uliobaki ivyo yaani siku zinasogea.

Kadri siku zinavyosonga ndio Hali ikazidi kuwa tete washkaji masnitch wakaanza kuniongea kwa madem zao hamu ya kusoma ikaisha kabisa nilitamani ningejiungaga na wale jamaa wa somalia lakini Sina namba zao tena, nikatamani nirudi mtaani kupiga vibarua yaani mawazo yakawa yana bishana yenyewe kwa yenyewe kichwani

Itaendelea...
 
Back
Top Bottom