Nilidanganya umri ukweni sasa penzi limekolea nachomokaje?

Nilidanganya umri ukweni sasa penzi limekolea nachomokaje?

Mdukuzii

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2022
Posts
2,552
Reaction score
6,422
Nilikutana na huyu binti mwaka jana akiwa mmbichi kabisa, kutokana na muonekano wangu hakuwahi kuniuliza umri. ila nimempita miaka 15.

Kuna siku akanipa simu niongee na mama yake, mama mtu akaanza kuniuliza maswali mengi sana nikayapangua, alivyouliza umri nikapunguza miaka kumi.

Sasa naona penzi limenoga kwa bintiye nataka kuweka ndani mzigo na najua kila kitu kitajulikana. Uongo wangu utakuwa bayana.

Mama mkwe atanichukuliaje sijui akigundua nakaribiana nae umri.

Tofauti ya umri inaweza isiwe big issue tatizo ni kumdanganya mama mkwe,siku akijua ukweli imani juu yangu itapungua
 
Nilikutana na huyu binti wa mwaka jana akiwa bintikbinti mmbichi kabisa,kukutokana na onekano wangu hakuwahi kuniuliza umri. ila nimempita miaka 15.

Kuna siku akanipa simu niongee na mama yake,mama mtu akaanza kuniuliza maswali mengi sana nikayapangua,alivyouliza umri nikapunguza miaka kumi.

Sasa naona penzi limenoga kwa bintiye nataka kuweka ndani mzigo na najua kila kitu kitajulikana.uongo wangu utakuwa bayana

Mama mkwe atanichukuliaje sijui akigundua nakaribiana nae umri.
Kwenye eneo la posa na mahari hakunaga mambonya kuulizana umri.

Jipange tukachukue mwali wetu sheikh
 
Hiyo ishu ndogo tu. Kama kichwa kiko kama cha Lowasa kimwagie piko uchanganye na masizi.

Kama sura Ina mikunjo kama bumps za barabarani nenda saloon kabandikwe foundation kisha upigwe rangi.

Ikigoma nenda kwa painter wa rangi za nyumba.

Siku ukifika utaonekana underaged
 
Nilikutana na huyu binti wa mwaka jana akiwa bintikbinti mmbichi kabisa,kukutokana na onekano wangu hakuwahi kuniuliza umri. ila nimempita miaka 15.

Kuna siku akanipa simu niongee na mama yake,mama mtu akaanza kuniuliza maswali mengi sana nikayapangua,alivyouliza umri nikapunguza miaka kumi.

Sasa naona penzi limenoga kwa bintiye nataka kuweka ndani mzigo na najua kila kitu kitajulikana.uongo wangu utakuwa bayana

Mama mkwe atanichukuliaje sijui akigundua nakaribiana nae umri.
Na hutokubaliwa labda uwe na mkwanja watakuvumilia
 
Nilikutana na huyu binti wa mwaka jana akiwa bintikbinti mmbichi kabisa,kukutokana na onekano wangu hakuwahi kuniuliza umri. ila nimempita miaka 15.

Kuna siku akanipa simu niongee na mama yake,mama mtu akaanza kuniuliza maswali mengi sana nikayapangua,alivyouliza umri nikapunguza miaka kumi.

Sasa naona penzi limenoga kwa bintiye nataka kuweka ndani mzigo na najua kila kitu kitajulikana.uongo wangu utakuwa bayana

Mama mkwe atanichukuliaje sijui akigundua nakaribiana nae umri.
Wadanganye tena
 
Nilikutana na huyu binti wa mwaka jana akiwa bintikbinti mmbichi kabisa,kukutokana na onekano wangu hakuwahi kuniuliza umri. ila nimempita miaka 15.

Kuna siku akanipa simu niongee na mama yake,mama mtu akaanza kuniuliza maswali mengi sana nikayapangua,alivyouliza umri nikapunguza miaka kumi.

Sasa naona penzi limenoga kwa bintiye nataka kuweka ndani mzigo na najua kila kitu kitajulikana.uongo wangu utakuwa bayana

Mama mkwe atanichukuliaje sijui akigundua nakaribiana nae umri.
kikubwa binti anakupenda
 
Nilikutana na huyu binti wa mwaka jana akiwa bintikbinti mmbichi kabisa,kukutokana na onekano wangu hakuwahi kuniuliza umri. ila nimempita miaka 15.

Kuna siku akanipa simu niongee na mama yake,mama mtu akaanza kuniuliza maswali mengi sana nikayapangua,alivyouliza umri nikapunguza miaka kumi.

Sasa naona penzi limenoga kwa bintiye nataka kuweka ndani mzigo na najua kila kitu kitajulikana.uongo wangu utakuwa bayana

Mama mkwe atanichukuliaje sijui akigundua nakaribiana nae umri.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom