Nilikutana na huyu binti mwaka jana akiwa mmbichi kabisa, kutokana na muonekano wangu hakuwahi kuniuliza umri. ila nimempita miaka 15.
Kuna siku akanipa simu niongee na mama yake, mama mtu akaanza kuniuliza maswali mengi sana nikayapangua, alivyouliza umri nikapunguza miaka kumi.
Sasa naona penzi limenoga kwa bintiye nataka kuweka ndani mzigo na najua kila kitu kitajulikana. Uongo wangu utakuwa bayana.
Mama mkwe atanichukuliaje sijui akigundua nakaribiana nae umri.
Tofauti ya umri inaweza isiwe big issue tatizo ni kumdanganya mama mkwe,siku akijua ukweli imani juu yangu itapungua
Kuna siku akanipa simu niongee na mama yake, mama mtu akaanza kuniuliza maswali mengi sana nikayapangua, alivyouliza umri nikapunguza miaka kumi.
Sasa naona penzi limenoga kwa bintiye nataka kuweka ndani mzigo na najua kila kitu kitajulikana. Uongo wangu utakuwa bayana.
Mama mkwe atanichukuliaje sijui akigundua nakaribiana nae umri.
Tofauti ya umri inaweza isiwe big issue tatizo ni kumdanganya mama mkwe,siku akijua ukweli imani juu yangu itapungua