Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vibaya mnoo [emoji16]Ila ajiandae akizeeka Binti ataliwa na vijana
Azeeke mara ngapi tena?Ila ajiandae akizeeka Binti ataliwa na vijana
🤣🤣🤣Vibaya mnoo [emoji16]
Nimejionea hayo Kwa wazee kama wanne hivi .. hivi tunavyo zungumza now Kuna Mzee ana miaka 75s mkewe yupo kwenye 60 hivi now mke kasafiri kaenda South Africa yapata takriban mwaka now mumewe kamuacha tz licha ya kuwa mumewe huyo ana umwa
🤣🤣🤣🤣Azeeke mara ngapi tena?
Kugongewa hakuna formulaSiwezi kuoa mwanamke ambaye numempita miaka 15 aisee
Hapo ukizeeka mwenzio ndio kwanza damu itakuwa inamchemka minyege kama yote lazima ugongewe mpaka ukome .. mwanamke pishana nae miaka 5 au 7 tu ,
Wanawake huwa tuna maumbo mabaya mwanamke wa miaka 30 huwezi fananisha na mwanaume wa miaka 30.Siwezi kuoa mwanamke ambaye numempita miaka 15 aisee
Hapo ukizeeka mwenzio ndio kwanza damu itakuwa inamchemka minyege kama yote lazima ugongewe mpaka ukome .. mwanamke pishana nae miaka 5 au 7 tu ,
Tatizo sio umri tatizo nilidanganya umriKwani ndoa ina umri mkuu?
Kawaida sana hiyo siku hizi,ndio maana binti akipata mimba wanaume huwa wanawachenjia wake zao maana wanajua siri za mabinti zaoKwahiyo ukaongea na mama mkwe kwenye simu na hata posa hujatoa wala ukwen hujakanyaga!?
Wazaz siku hiz tunachochea watoto kujiuza balaaa.
Bado Ile aliyosema anatumia ARV 🤣🤣🤣Una storee nyingi sana....
Wazaz wa sikuhiz wakiona mtoto wao kapeleka bwana tu nyumban.. hata kama bwana hana nia ya kuoa.. watamloga bwana hadi mawazo ya kuoa yamjie na apeleke posa na aoe fasta.... Wanaume tumekua adimu sana aiseeKwahiyo ukaongea na mama mkwe kwenye simu na hata posa hujatoa wala ukwen hujakanyaga!?
Wazaz siku hiz tunachochea watoto kujiuza balaaa.
Date March 17, 2021Kwahiyo ukaongea na mama mkwe kwenye simu na hata posa hujatoa wala ukwen hujakanyaga!?
Wazaz siku hiz tunachochea watoto kujiuza balaaa.
Wako wapi hao wawili ukitoa kapuyaNgombe hazeeki maini wewe,
Mrema,mengi na kapuya wamevuta pissi mbichi kabisa. Labda usiwe na hela
Huyo sio mimi aisee mi niko mzima kabisaaaBado Ile aliyosema anatumia ARV 🤣🤣🤣
Siku hizi hata posa unaweza kupeleka kwa simu tuKwahiyo ukaongea na mama mkwe kwenye simu na hata posa hujatoa wala ukwen hujakanyaga!?
Wazaz siku hiz tunachochea watoto kujiuza balaaa.
Miaka 35 sio mzee banaAzeeke mara ngapi tena?
❤️itHuyo sio mimi aisee mi niko mzima kabisaaa
Kumbuka nilishadanganyaKwani kuna takiwaga kupeleka cheti cha kuzaliwa ili kuonyesha miaka yako wakati wa taratibu za kufunga ndoa??
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app