- Thread starter
- #61
Mkianza kuiishi pamoja hakuna siri atajua tukwani unapeleka na cheti chako chakuzaliwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkianza kuiishi pamoja hakuna siri atajua tukwani unapeleka na cheti chako chakuzaliwa
Vijana wa sikuhizi sijui mna akili zikoje , mambo madogo madogo kama haya ya kuumiza kichwa kweli ?Nilikutana na huyu binti wa mwaka jana akiwa mmbichi kabisa, kutokana na muonekano wangu hakuwahi kuniuliza umri. ila nimempita miaka 15.
Kuna siku akanipa simu niongee na mama yake, mama mtu akaanza kuniuliza maswali mengi sana nikayapangua, alivyouliza umri nikapunguza miaka kumi.
Sasa naona penzi limenoga kwa bintiye nataka kuweka ndani mzigo na najua kila kitu kitajulikana. Uongo wangu utakuwa bayana.
Mama mkwe atanichukuliaje sijui akigundua nakaribiana nae umri.
Na huwa mwanaume akianza kuzeeka hawa wanawake huwa na viburi sana kwa waume zao sjui kwavile wanakuwa hawawachapi vizuri tena kwa bedi ndo maana wanatengeneza madharau,nina mifano halisi ya ndoa kama tatu hiviSiwezi kuoa mwanamke ambaye numempita miaka 15 aisee
Hapo ukizeeka mwenzio ndio kwanza damu itakuwa inamchemka minyege kama yote lazima ugongewe mpaka ukome .. mwanamke pishana nae miaka 5 au 7 tu ,
Haya sawaKijana kabisa kanipita miaja sita tu
Faa mchezo na mauno feniWako wapi hao wawili ukitoa kapuya
Ukiwa na hela Hamna atakaekumbuka mambo ya umri
Dah unanitishaKwahyo mkuu wew unamiak 35
Oa tuu ila muandalie mjane mirathi yasitokee augustino liatonga
Mama yake hatukuwahi kuonana na nilimdanganya kuwa nina miaka 25 sasa tukikutana live atajua nimempigaKwani una Muoa mama yake au Binti yake??
Huo umri kwa mama. Nini sasa...??
Me nilidhania kwako kuwa UTAWAHI KUZEEKA NA DEMU WASELA WAKUGEGENDEEE....
Kumbe mama mkwe haju ww upo kama Mzee Mwinyi!!??Nilikutana na huyu binti wa mwaka jana akiwa mmbichi kabisa, kutokana na muonekano wangu hakuwahi kuniuliza umri. ila nimempita miaka 15.
Kuna siku akanipa simu niongee na mama yake, mama mtu akaanza kuniuliza maswali mengi sana nikayapangua, alivyouliza umri nikapunguza miaka kumi.
Sasa naona penzi limenoga kwa bintiye nataka kuweka ndani mzigo na najua kila kitu kitajulikana. Uongo wangu utakuwa bayana.
Mama mkwe atanichukuliaje sijui akigundua nakaribiana nae umri.
Kumbe mama mkwe haju ww upo kama Mzee Mwinyi!!??
Mama mkwe ndio saizi yanguKumbe mama mkwe haju ww upo kama Mzee Mwinyi!!??
KabisaaaKwahiyo ukimuoa utaficha vitambulisho [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nia ipo ila nimeshamdanganyakwamba umeshaongea hadi na mama mtu alafu bado hukuwa na nia!!?
AnawalogaaaHakuna guarantee bwana mim mzee wangu kiheshima yupo mkoa mwaka juz koa mwanmke kamzidi miaka 35 na wamezaa watoto mzee ana miaka karibu 75 Kifupi vijana wa Sasa tupo na mashida mengi sana asee siku moja nilimulza mzee vip huogopi kupolwa Mali na vijana jibu alilo nipa labda wanibie wazee wezangu sababu wao wanambinu nyingi sana vijana kama nyiny hamuwez kabsa akaongeza ukitaka kuoa wake wengi na wasikupe shida njoo nikufundishe baba zako tulikua tunafanyeje maana mzee hadi alipo fika ana wake karibu sita na wote wanamogopa balaaa na kumueshimu
Kwani na kwenye mapenzi mnadaiana vyeti vya kuzaliwa?Nilikutana na huyu binti wa mwaka jana akiwa mmbichi kabisa, kutokana na muonekano wangu hakuwahi kuniuliza umri. ila nimempita miaka 15.
Kuna siku akanipa simu niongee na mama yake, mama mtu akaanza kuniuliza maswali mengi sana nikayapangua, alivyouliza umri nikapunguza miaka kumi.
Sasa naona penzi limenoga kwa bintiye nataka kuweka ndani mzigo na najua kila kitu kitajulikana. Uongo wangu utakuwa bayana.
Mama mkwe atanichukuliaje sijui akigundua nakaribiana nae umri.