Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza uchunguz mkuuDate March 17, 2021
Very sadSiku hizi hata posa unaweza kupeleka kwa simu tu
Mbona ule uzi wako mwingine ulisema una 40+Miaka 35 sio mzee bana
Ulidanyanya umri sawa kwa hio ndoa ina umri hadi mamkwe akushangae?Tatizo sio umri tatizo nilidanganya umri
Miaka 35 sio mzee bana
Niko hapa kona baa nasubiri jibuWakuu mwanaume inabidi umzidi miaka mingapi mke wako ? Mwenye uelewa atuelekeze !!
Anajieleea sana,hata mama yangu aliolewa na umri huo ba leo ana wajukuu na hakuwahi kuachikaDah mkuu ila kwa ushauri wangu kama wewe una 35 ina maana binti ana 20. Kumuoa binti wa umri huo ni sawa na kujivika mabomu na kuishi kwa matumaini kwamba hayatalipuka. Unless awe ni binti anaejielewa sana.
Ndio lakini Kuna mazingira mengine Kuna namna tuna yatengeneza sisi wenyeweKugongewa hakuna formula
Ndio sio miaka 10 Sasa I'm talking with experience Ambayo nimejionaWanawake huwa tuna maumbo mabaya mwanamke wa miaka 30 huwezi fananisha na mwanaume wa miaka 30.
Zamani walikuwa wazee wanapishana na wake zao zaid ya miaka 10 na ndoa zinadumu kama uko kwenye 30' tafuta bint wa miaka 20 aliyetulia oa utanishukuru mkuu.
Acha woga mimi nimezaa nae watoto wawili na kwao hata sijafika na mama mkwe na baba mkwe tunaongea fresh, na binti yao naishi naye hadi leo. Tulikutana Dar na wazazi wapo KilimanjaroUnaweza kuwe mkwe wake hata kama umemzidi mtoto wake miaka 20. Babu yangu wake zake wengine walikuwa ni wadogo kuliko mtoto wake wa kwanza
Kijana kabisa kanipita miaja sita tuMama mkwe ni kijana au ni mzee? Naona ni kama mmeanza mapema
Dunia imebadilika sanaAcha woga mimi nimezaa nae watoto wawili na kwao hata sijafuka na mama mkwe na baba mkwe tunaingea fresh, na binti yao naishi naye hadi leo. Tulikutana Dar na wazazi wapo Kilimanjaro
Hakuna guarantee bwana mim mzee wangu kiheshima yupo mkoa mwaka juz koa mwanmke kamzidi miaka 35 na wamezaa watoto mzee ana miaka karibu 75 Kifupi vijana wa Sasa tupo na mashida mengi sana asee siku moja nilimulza mzee vip huogopi kupolwa Mali na vijana jibu alilo nipa labda wanibie wazee wezangu sababu wao wanambinu nyingi sana vijana kama nyiny hamuwez kabsa akaongeza ukitaka kuoa wake wengi na wasikupe shida njoo nikufundishe baba zako tulikua tunafanyeje maana mzee hadi alipo fika ana wake karibu sita na wote wanamogopa balaaa na kumueshimuWakuu mwanaume inabidi umzidi miaka mingapi mke wako ? Mwenye uelewa atuelekeze !!
Dah huyo ndio legendaryHakuna guarantee bwana mim mzee wangu kiheshima yupo mkoa mwaka juz koa mwanmke kamzidi miaka 35 na wamezaa watoto mzee ana miaka karibu 75 Kifupi vijana wa Sasa tupo na mashida mengi sana asee siku moja nilimulza mzee vip huogopi kupolwa Mali na vijana jibu alilo nipa labda wanibie wazee wezangu sababu wao wanambinu nyingi sana vijana kama nyiny hamuwez kabsa akaongeza ukitaka kuoa wake wengi na wasikupe shida njoo nikufundishe baba zako tulikua tunafanyeje maana mzee hadi alipo fika ana wake karibu sita na wote wanamogopa balaaa na kumueshimu