Beesmom
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 17,202
- 28,732
Kweli,tunavyompendaTutafukua kaburi mzee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli,tunavyompendaTutafukua kaburi mzee
kwanini udanganye? akigundua inabidi uombe msamaha sasaNia ipo ila nimeshamdanganya
Hahaaa noma sanaMkuu umeshaanza kupigwa tutorial na mzee wako?? Dah mimi binafsi ningekua nshaanza honestly siridhiki na mke mmoja japo najitahid kuwa mwaminifu [emoji16]
Inaogopesha sana mkuu, ilianza kama utani binti aliniambia kuwa mamake mgonjwa sana.E bwana eeh!!!! Kiu ya ndoa ime despair mpaka wazazi sio waolewaji tu.They are both too much desparate
Nilikutana na huyu binti wa mwaka jana akiwa mmbichi kabisa, kutokana na muonekano wangu hakuwahi kuniuliza umri. ila nimempita miaka 15.
Kuna siku akanipa simu niongee na mama yake, mama mtu akaanza kuniuliza maswali mengi sana nikayapangua, alivyouliza umri nikapunguza miaka kumi.
Sasa naona penzi limenoga kwa bintiye nataka kuweka ndani mzigo na najua kila kitu kitajulikana. Uongo wangu utakuwa bayana.
Mama mkwe atanichukuliaje sijui akigundua nakaribiana nae umri.
Ni kweli kabisa wamama wa siku hizi hawana noma kabisa kwa mabinti zao,zamani nikidhani ni tabia ya wazaramo kumbe hata makabila mengine wanayo hiyo tabiaInaogopesha sana mkuu, ilianza kama utani binti aliniambia kuwa mamake mgonjwa sana.
Nikapanga kwenda kumsalimia.
Nami sikwenda kizembe nilijaza mazaga kibao kwenye gari.
Nilipofika kumsalimia mamkwe nilishangaa anaongea nami kama vile nimemposa binti yake.
Niliulizwa wewe ndiye Glenn?
Nakusikiaga sana wakikuongelea flani na dada yake....nikashtuka.
Sijakaa sawa naambiwa karibu sana mwanangu uwe sehemu ya familia yangu😂😂.
Kubwa zaidi mkwe akasema watoto mkipendana mimi ninafurahi na wenzako wote waliooa hapa nahesabu ni watoto wangu tu🤣🤣🤣
Nilichoka.
Wakati sijaposa binti yake alikuwa ni rafiki tu tena ule wa mwanzo mwanzo hata sijamfunua.
Wazazi wana hamu sana binti zao waolewe
Sometimes bila uongo mambo hayaendikwanini udanganye? akigundua inabidi uombe msamaha sasa
Sema nao sio wajinga, wanaangalia kijana mwenye mwelekeo aah unapewa binti tena mapema tu.Ni kweli kabisa wamama wa siku hizi hawana noma kabisa kwa mabinti zao,zamani nikidhani ni tabia ya wazaramo kumbe hata makabila mengine wanayo hiyo tabia
KabisaaSema nao sio wajinga, wanaangalia kijana mwenye mwelekeo aah unapewa binti tena mapema tu.
Binti anamsaidia mwanae kuhamasisha ndoa🤣🤣🤣
Hivi uwe na mamkwe kama;
Beesmom au
Evelyn Salt si mnaonge kishkaji tu tena anakwambia nyie harakisheni niachieni baba yenu nitamfix utatoa mahari kiduchu tu?🤣🤣🤣
🤣🤣🤣My first born ana 7yrs old...namsikilizia TU😜Sema nao sio wajinga, wanaangalia kijana mwenye mwelekeo aah unapewa binti tena mapema tu.
Binti anamsaidia mwanae kuhamasisha ndoa🤣🤣🤣
Hivi uwe na mamkwe kama;
Beesmom au
Evelyn Salt si mnaonge kishkaji tu tena anakwambia nyie harakisheni niachieni baba yenu nitamfix utatoa mahari kiduchu tu?🤣🤣🤣
Hata ukizeeka tabia itakuwa hii hii🤣🤣🤣My first born ana 7yrs old...namsikilizia TU😜
🤣🤣🤣🤣Afu mi ni mtu kweli ila bas TU coz u don't know me well.😜😉Hata ukizeeka tabia itakuwa hii hii
🤣🤣🤣My first born ana 7yrs old...namsikilizia TU😜
Nitunzie aolewe na jembe langu tudumishe undugu🤣🤣🤣My first born ana 7yrs old...namsikilizia TU😜
Ni kidume piaNitunzie aolewe na jembe langu tudumishe undugu
Eeh kumbee[emoji1787][emoji1787]Hata huyu usimuamini,chunguza post yake aliyosema "ukifika miaka 40 hujaukwaa mshukuru Mungu"
Hahahahaha [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Lini nimesema natumia arv[emoji44][emoji44][emoji44] alafu mjue sipendi haya mambo ya kusingiziana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
HahahahhahhaWee pisi za jf siwezi kuzipata maana kila demu wa jf amesoma[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wee falla leo una kana? Mbona huwa unajitutumua leo kimekusibu nini?🤣Lini nimesema natumia arv😲😲😲 alafu mjue sipendi haya mambo ya kusingiziana🤣🤣🤣🤣🤣
Leta ushahidi wapi nilisema🤣🤣🤣🤣Wee falla leo una kana? Mbona huwa unajitutumua leo kimekusibu nini?🤣