Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lini nimesema natumia arv😲😲😲 alafu mjue sipendi haya mambo ya kusingiziana🤣🤣🤣🤣🤣Huyo ni mzabzab
Tutafukua kaburi mzeeLini nimesema natumia arv😲😲😲 alafu mjue sipendi haya mambo ya kusingiziana🤣🤣🤣🤣🤣
Hujaelewa point,mama mkwe nimemdanganya umri halisi maana hatujawahi kuonana.lengo asinione kibabu,sasa siku tukionana tu atajua mi nilimdanganya,shida iko hapoKwani na kwenye mapenzi mnadaiana vyeti vya kuzaliwa?
Leta ushaidi....sitaki porojo. Mambo ya kuwaombea wengine mabya sio poa jamani...mbona mnakuwa na roho mbaya waafricaTutafukua kaburi mzee
Ahaaaa,utakosa pisi za jf bure kisa kumeza njuguLeta ushaidi....sitaki porojo. Mambo ya kuwaombea wengine mabya sio poa jamani...mbona mnakuwa na roho mbaya waafrica
Wee pisi za jf siwezi kuzipata maana kila demu wa jf amesoma🤣🤣🤣🤣Ahaaaa,utakosa pisi za jf bure kisa kumeza njugu
Nilikutana na huyu binti wa mwaka jana akiwa mmbichi kabisa, kutokana na muonekano wangu hakuwahi kuniuliza umri. ila nimempita miaka 15.
Kuna siku akanipa simu niongee na mama yake, mama mtu akaanza kuniuliza maswali mengi sana nikayapangua, alivyouliza umri nikapunguza miaka kumi.
Sasa naona penzi limenoga kwa bintiye nataka kuweka ndani mzigo na najua kila kitu kitajulikana. Uongo wangu utakuwa bayana.
Mama mkwe atanichukuliaje sijui akigundua nakaribiana nae umri.
Mkuu umeshaanza kupigwa tutorial na mzee wako?? Dah mimi binafsi ningekua nshaanza honestly siridhiki na mke mmoja japo najitahid kuwa mwaminifu 😁Hakuna guarantee bwana mim mzee wangu kiheshima yupo mkoa mwaka juz koa mwanmke kamzidi miaka 35 na wamezaa watoto mzee ana miaka karibu 75 Kifupi vijana wa Sasa tupo na mashida mengi sana asee siku moja nilimulza mzee vip huogopi kupolwa Mali na vijana jibu alilo nipa labda wanibie wazee wezangu sababu wao wanambinu nyingi sana vijana kama nyiny hamuwez kabsa akaongeza ukitaka kuoa wake wengi na wasikupe shida njoo nikufundishe baba zako tulikua tunafanyeje maana mzee hadi alipo fika ana wake karibu sita na wote wanamogopa balaaa na kumueshimu
Kuiondoa ccm madarakani bado sanaNilikutana na huyu binti wa mwaka jana akiwa mmbichi kabisa, kutokana na muonekano wangu hakuwahi kuniuliza umri. ila nimempita miaka 15.
Kuna siku akanipa simu niongee na mama yake, mama mtu akaanza kuniuliza maswali mengi sana nikayapangua, alivyouliza umri nikapunguza miaka kumi.
Sasa naona penzi limenoga kwa bintiye nataka kuweka ndani mzigo na najua kila kitu kitajulikana. Uongo wangu utakuwa bayana.
Mama mkwe atanichukuliaje sijui akigundua nakaribiana nae umri.
Acha uoga MzeeSiwezi kuoa mwanamke ambaye numempita miaka 15 aisee
Hapo ukizeeka mwenzio ndio kwanza damu itakuwa inamchemka minyege kama yote lazima ugongewe mpaka ukome .. mwanamke pishana nae miaka 5 au 7 tu ,
Wakwe wa siku hizi hapana, mimi nilipewa kuongea na mkwe na nikamuomba amruhusu mrembo aje mkoa kunisalimia...kesho yake binti akatinga🤣Kwahiyo ukaongea na mama mkwe kwenye simu na hata posa hujatoa wala ukwen hujakanyaga!?
Wazaz siku hiz tunachochea watoto kujiuza balaaa.
Hujui isemalo, wanawakee wakizaa umri miili yao hubadilika harakaSiwezi kuoa mwanamke ambaye numempita miaka 15 aisee
Hapo ukizeeka mwenzio ndio kwanza damu itakuwa inamchemka minyege kama yote lazima ugongewe mpaka ukome .. mwanamke pishana nae miaka 5 au 7 tu ,
Sizani ila inawezekana pia maana wanakwambia ukubwa dawaAnawalogaaa
E bwana eeh!!!! Kiu ya ndoa ime despair mpaka wazazi sio waolewaji tu.They are both too much desparateWakwe wa siku hizi hapana, mimi nilipewa kuongea na mkwe na nikamuomba amruhusu aje mkoa kunisalimia...kesho yake binti akatinga🤣