Kwani ndoa ina umri mkuu?Mama mkwe atanichukuliaje sijui akigundua nakaribiana nae umri.
Kwenye eneo la posa na mahari hakunaga mambonya kuulizana umri.Nilikutana na huyu binti wa mwaka jana akiwa bintikbinti mmbichi kabisa,kukutokana na onekano wangu hakuwahi kuniuliza umri. ila nimempita miaka 15.
Kuna siku akanipa simu niongee na mama yake,mama mtu akaanza kuniuliza maswali mengi sana nikayapangua,alivyouliza umri nikapunguza miaka kumi.
Sasa naona penzi limenoga kwa bintiye nataka kuweka ndani mzigo na najua kila kitu kitajulikana.uongo wangu utakuwa bayana
Mama mkwe atanichukuliaje sijui akigundua nakaribiana nae umri.
Na hutokubaliwa labda uwe na mkwanja watakuvumiliaNilikutana na huyu binti wa mwaka jana akiwa bintikbinti mmbichi kabisa,kukutokana na onekano wangu hakuwahi kuniuliza umri. ila nimempita miaka 15.
Kuna siku akanipa simu niongee na mama yake,mama mtu akaanza kuniuliza maswali mengi sana nikayapangua,alivyouliza umri nikapunguza miaka kumi.
Sasa naona penzi limenoga kwa bintiye nataka kuweka ndani mzigo na najua kila kitu kitajulikana.uongo wangu utakuwa bayana
Mama mkwe atanichukuliaje sijui akigundua nakaribiana nae umri.
Wadanganye tenaNilikutana na huyu binti wa mwaka jana akiwa bintikbinti mmbichi kabisa,kukutokana na onekano wangu hakuwahi kuniuliza umri. ila nimempita miaka 15.
Kuna siku akanipa simu niongee na mama yake,mama mtu akaanza kuniuliza maswali mengi sana nikayapangua,alivyouliza umri nikapunguza miaka kumi.
Sasa naona penzi limenoga kwa bintiye nataka kuweka ndani mzigo na najua kila kitu kitajulikana.uongo wangu utakuwa bayana
Mama mkwe atanichukuliaje sijui akigundua nakaribiana nae umri.
Umri si namba tu lakini?Na hutokubaliwa labda uwe na mkwanja watakuvumilia
kikubwa binti anakupendaNilikutana na huyu binti wa mwaka jana akiwa bintikbinti mmbichi kabisa,kukutokana na onekano wangu hakuwahi kuniuliza umri. ila nimempita miaka 15.
Kuna siku akanipa simu niongee na mama yake,mama mtu akaanza kuniuliza maswali mengi sana nikayapangua,alivyouliza umri nikapunguza miaka kumi.
Sasa naona penzi limenoga kwa bintiye nataka kuweka ndani mzigo na najua kila kitu kitajulikana.uongo wangu utakuwa bayana
Mama mkwe atanichukuliaje sijui akigundua nakaribiana nae umri.
Ila ajiandae akizeeka Binti ataliwa na vijanaUmri si namba tu lakini?
Saivi hata vijana wenzie wanakula, kikubwa uhaiIla ajiandae akizeeka Binti ataliwa na vijana
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Nilikutana na huyu binti wa mwaka jana akiwa bintikbinti mmbichi kabisa,kukutokana na onekano wangu hakuwahi kuniuliza umri. ila nimempita miaka 15.
Kuna siku akanipa simu niongee na mama yake,mama mtu akaanza kuniuliza maswali mengi sana nikayapangua,alivyouliza umri nikapunguza miaka kumi.
Sasa naona penzi limenoga kwa bintiye nataka kuweka ndani mzigo na najua kila kitu kitajulikana.uongo wangu utakuwa bayana
Mama mkwe atanichukuliaje sijui akigundua nakaribiana nae umri.
π€£π€£π€£π€£π€£π΄π΄π΄Saivi hata vijana wenzie wanakula, kikubwa uhai
Ukweli ndio huoπ€£π€£π€£π€£π€£π΄π΄π΄