Nilidanganywa kumbe chuo hamna mademu

Nilidanganywa kumbe chuo hamna mademu

Soma kwanza officeni wapi wakutosha wana taka GPA nzuli na mshahala nzuli dogo
 
Aisee nilivyokuwa nasoma sekondari nilidanganywa ukifika chuo lazima upate demu kwa njia yoyote ile tena mademu wanakushobokea wenyewe na wanakutongoza wenyewe

Kulaleki kumbe walikuwa wananidanganya bana chuo hamna cha demu wala nini lazima uhaso kama vile sekondari tu yani mademu hakuna kabisa kama nilivyodhania

Nilijua nikifika chuo nitapata demu wa burebure kumbe hamna kitu kulaaaaaleki daah hapa nilipo nawaza ile kishenzi

Madogo wa seko ambao mpo humu msidanganywe chuo hamna mademu kabisa mademu wapo mtaani basi
Mkuu nikajua unasema ulidanganywa chuo kuna boom, kumbe hakuna cha boom wala nini
 
Katika miaka mitatu niliokaa xhuo xikuwah kuwa na demu... unajua kwann? Mademu walio wengi wamekaa kimbuzi mbuzi yaan...
Hivi pamoja na kuwa na hiyo shahada bado unaandika ovyo namna hii kweli daa naisikitikia nchi yangu Tanzania ni nani aliyeturoga
 
Hivi pamoja na kuwa na hiyo shahada bado unaandika ovyo namna hii kweli daa naisikitikia nchi yangu Tanzania ni nani aliyeturoga
Hahahahahahahaa unazinguaaa xana broo sikusoma hgl wala hkl ... in fact nmesoma PCB then Bsc agronomy sokoine university of agriculture.
 
Aisee nilivyokuwa nasoma sekondari nilidanganywa ukifika chuo lazima upate demu kwa njia yoyote ile tena mademu wanakushobokea wenyewe na wanakutongoza wenyewe

Kulaleki kumbe walikuwa wananidanganya bana chuo hamna cha demu wala nini lazima uhaso kama vile sekondari tu yani mademu hakuna kabisa kama nilivyodhania

Nilijua nikifika chuo nitapata demu wa burebure kumbe hamna kitu kulaaaaaleki daah hapa nilipo nawaza ile kishenzi

Madogo wa seko ambao mpo humu msidanganywe chuo hamna mademu kabisa mademu wapo mtaani basi

Visababishi vya kukosa mademu wakali wa chuo viko viwili tu vikubwa:-

1: Kutokuwa na akili darasani(Kilaza)
2: Kutokuwa na mpunga(Feza).

Kama huna vyote hivyo viwili, utachukua muda kuwapata
 
Aisee nilivyokuwa nasoma sekondari nilidanganywa ukifika chuo lazima upate demu kwa njia yoyote ile tena mademu wanakushobokea wenyewe na wanakutongoza wenyewe

Kulaleki kumbe walikuwa wananidanganya bana chuo hamna cha demu wala nini lazima uhaso kama vile sekondari tu yani mademu hakuna kabisa kama nilivyodhania

Nilijua nikifika chuo nitapata demu wa burebure kumbe hamna kitu kulaaaaaleki daah hapa nilipo nawaza ile kishenzi

Madogo wa seko ambao mpo humu msidanganywe chuo hamna mademu kabisa mademu wapo mtaani basi
Upo chuo bado unaspell hivi daaah ukitoka Chuo nawe uanze Lalamika Ajira...wewe kichwa Maji kabisaa chuo umeenda kimakosa
 
Hebu watoe out kama wawili uende nao mliman city if upo UDSM....kale nao ice cream wikiend moja wikiend nyngine muvi alaf uwagonge kiepe yai na kuku robo kama siku 3 uje hapa ulete mrejesho
Naona umempa njia ya mkato ashindwe sasa inaonekana Hawez kutongoza hapa akishindwa sasa awe anapiga tu punyeto kujiridhisha
 
Hahaha mademu wote wale waliojazana chuo umekosa kwel?mbona mademu kibao tena wa kubadilibadili utakavyo
 
We ndo yule ulielalamikiwa unasumbua pm ya dada wa watu ....umepanik eee
 
Aisee nilivyokuwa nasoma sekondari nilidanganywa ukifika chuo lazima upate demu kwa njia yoyote ile tena mademu wanakushobokea wenyewe na wanakutongoza wenyewe

Kulaleki kumbe walikuwa wananidanganya bana chuo hamna cha demu wala nini lazima uhaso kama vile sekondari tu yani mademu hakuna kabisa kama nilivyodhania

Nilijua nikifika chuo nitapata demu wa burebure kumbe hamna kitu kulaaaaaleki daah hapa nilipo nawaza ile kishenzi

Madogo wa seko ambao mpo humu msidanganywe chuo hamna mademu kabisa mademu wapo mtaani basi
Kama walivyoshauri wengine Jitofautishe na wao Kwa A's. ukiwa kilaza, ukila kwenye foleni ya 1500/= hutakuwa na jipya wengi wanatafuta protection and assuarence
 
Aisee nilivyokuwa nasoma sekondari nilidanganywa ukifika chuo lazima upate demu kwa njia yoyote ile tena mademu wanakushobokea wenyewe na wanakutongoza wenyewe

Kulaleki kumbe walikuwa wananidanganya bana chuo hamna cha demu wala nini lazima uhaso kama vile sekondari tu yani mademu hakuna kabisa kama nilivyodhania

Nilijua nikifika chuo nitapata demu wa burebure kumbe hamna kitu kulaaaaaleki daah hapa nilipo nawaza ile kishenzi

Madogo wa seko ambao mpo humu msidanganywe chuo hamna mademu kabisa mademu wapo mtaani basi
Daaahhh inalekea we bwana mdogo ni calabash tu hamna kitu... Debe tupu[emoji53][emoji53][emoji53]
 
Back
Top Bottom