Nilidanganywa kusoma PGM nitakuwa rubani, leo hii mpishi kwa Mhindi

Nilidanganywa kusoma PGM nitakuwa rubani, leo hii mpishi kwa Mhindi

Hahaaa mkuuu...
Ume diverge sanaaaa...
Mpk kwenye upishiiiiii....?
Tena miaka hiooo....?
Ulizunguka round about nn.......?
Tulikua tunasema ku intergrate zero.

Kua mkweli mkuu.....
Ulitagaa?
Hahahahaah ni.
Kwa waliosoma miaka hiyo uliotaja, bado fursa za ajira zilikuwa ni nyingi. Mimi mwenyewe nimemaliza miaka michache mbele ya hapo, lakini nilizitema nafasi za kazi zaidi ya sita nilizopata ndani ya mwaka mmoja, zenye mshahara wa sh. 450,000/= za wakati huo 2004, nikachagua moja. Kwa hiyo kama unapika kwa mhindi kwa ujira huo tena za wakati huu, nadhani tatizo lipo upande wako
 
Uliambiwa usome wewe ukacheza unafikiri nini? Lazima adhabu ya kutokusoma ikuandame. Ungalipata div one A physics, A maths ungeenda engineering tu. Angalia vyuo vya engineering vinavyohaha kutafuta wanafunzi. Rubani kwa taarifa yako ni dereva kama wa Passo ila yeye Passo yake inaruka angani.
Hivi kuna watu wa PCM, PCB au PGM wanaocheza shule?
Acha masikhara mzeeeee, jamaa matokeo yalimkataa tuu!!!!!!!!!!
 
Hahaaa mkuuu...
Ume diverge sanaaaa...
Mpk kwenye upishiiiiii....?
Tena miaka hiooo....?
Ulizunguka round about nn.......?
Tulikua tunasema ku intergrate zero.

Kua mkweli mkuu.....
Ulitagaa?
Au Ku differentiate constant number
 
Kwa waliosoma miaka hiyo uliotaja, bado fursa za ajira zilikuwa ni nyingi. Mimi mwenyewe nimemaliza miaka michache mbele ya hapo, lakini nilizitema nafasi za kazi zaidi ya sita nilizopata ndani ya mwaka mmoja, zenye mshahara wa sh. 450,000/= za wakati huo 2004, nikachagua moja. Kwa hiyo kama unapika kwa mhindi kwa ujira huo tena za wakati huu, nadhani tatizo lipo upande wako
Hata waliofika six comb za Arts walichagua kazi
 
Uliambiwa usome wewe ukacheza unafikiri nini? Lazima adhabu ya kutokusoma ikuandame. Ungalipata div one A physics, A maths ungeenda engineering tu. Angalia vyuo vya engineering vinavyohaha kutafuta wanafunzi. Rubani kwa taarifa yako ni dereva kama wa Passo ila yeye Passo yake inaruka angani.
Hapa watu wa passo uliwainua sana ndugu. Ilitakiwa waungane kwa umoja wao kukushukuru

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unamcheka jamaa kwa kushindwa kutimiza ndoto take😀😀

Mimi pia nilitamani sana hiyo fani, nilipoona hakuna dalili ya kutoboa Urubani,
Mwisho wa siku niliamua kwenda kusoma PCM nikaambulia kuwa Civil Engineer tu🗼🚧 🏗
Vipi madaraja Hapo Nangurukuru
 
Ivisha NGUNGA mkuu.......huenda shuleni ulikuwa "table leader".........huna hata demu wa kukuoa? "Kupanga ni kuamua" IVISHA mkuu.................
 
Back
Top Bottom