Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Changamoto ni ada ya mafunzo tu, elimu ya kidato cha nne ingekutosha kusoma hiyo fani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilisoma hapo enzi za utawala wa awamu ya kwanza wa nchi hii enzi hizo ni wewe mwenyewe utakavyo pasua paper unakwenda chuo kikuuPole sana. Nadhani umaskini ndio ulizima ndoto zako. Kusoma na kuhitimu kozi ya urubani ada si chini ya shilingi milioni 150. Sipati picha wakati unasoma 'A' level jinsi ulivyokuwa unajimwambafai (rubani mtarajiwa) mbele ya wadada wa Maghembe East kumbe ni mpishi mtarajiwa. Life is not fair wallah!
Umenikumbusha life ya Mkwawa: Mama Uswege, Makongoro West/East, Lumumba West/East, Shabani Robert West/East.
Heh!Uliambiwa usome wewe ukacheza unafikiri nini? Lazima adhabu ya kutokusoma ikuandame. Ungalipata div one A physics, A maths ungeenda engineering tu. Angalia vyuo vya engineering vinavyohaha kutafuta wanafunzi. Rubani kwa taarifa yako ni dereva kama wa Passo ila yeye Passo yake inaruka angani.
Very fun!Mbona umepata moja ya kazi maridadi kabisa duniani yaani wewe huwezi kulala njaa hata usipolipwa mshahara. Hizo Ndege utaendesha kwenye playstation sio mbaya mkuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakati nasoma A-level, Mkwawa High School (1999-2001) ulipita uvumi kuwa tunaosoma PGM tunaandaliwa kuwa marubani lakini leo hii ninafanya kibarua kama mpishi kwa Mhindi Masaki. Kwa mshahara wa 250,000/= kwa mwezi
Aisee elimu hii ovyo sana.
View attachment 1274044
Duu, wewe ni muhenga kumbe!Nilisoma hapo enzi za utawala wa awamu ya kwanza wa nchi hii enzi hizo ni wewe mwenyewe utakavyo pasua paper unakwenda chuo kikuu
Ipo siku? Raia aliyekuwa advance 1999 ukimwambia ipo siku labda kaburiniKama ulifaulu vizuri, kuna siku utaacha urubani wa jiko na kuwa rubani wa ndege. Usikate tamaa, wengi waliofanikiwa kitaaluma wamepitia mambo mengi.
Sound EngineeringMbona kuna hadi div three wanasomea engineering?
Kufa kufaanaMaisha magumu asee. Ila nakomaa hapa hapa kwa muhindi huenda naweza kupata urithi akifa