Nilidanganywa kusoma PGM nitakuwa rubani, leo hii mpishi kwa Mhindi

Nilidanganywa kusoma PGM nitakuwa rubani, leo hii mpishi kwa Mhindi

Sasa plan A imegoma...unakaa tu hapo miaka inaenda unalalamika? Why try make it happen to plan b
Yeye hajanasa katika hatua hiyo. Amenasa katika ile hatua ya kutaka kukubaliana na uhalisia kuwa ndoto yake ya kuwa rubani ndio inakufa hivyo, wewe upo katika kumshauri aanze kubadili ndoto na wakati hajaachia ya kwanza..... This is too psychological kuelewa.
 
Matokeo yako ndio yaliyoku judge kufika hapo ulipo
Ni kudanganyana tu. Binafsi mimi ni mpenzi sana wa aviation nilipokuwa O level nilifikiri some day nitakuwa rubani. Nina rafiki yangu tumesoma naye hiyo O level, naye aliishia hapo na sasa ni rubani kamili. Amerusha ATCL, FASTJET n.k
 
Kuna jamaa alichaguliwa kusoma PGM lakini PCM ilikubali nilimshauri sana asome PCM lakini kwa hulka zake akakimbilia PGM haya, Mungu saidia akapata nafasi kwenda mujibu JKT, kabla matokeo ya kidato cha sita hayajatoka waliokuwa mafinga walipewa kipaumbele cha kujiunga na jeshi na yeye akiwemo lakini alikataa mwisho wa siku jeshi kakosa na aliambulia DIV 0 na PGM yake
 
Kuna jamaa alichaguliwa kusoma PGM lakini PCM ilikubali nilimshauri sana asome PCM lakini kwa hulka zake akakimbilia PGM haya, Mungu saidia akapata nafasi kwenda mujibu JKT, kabla matokeo ya kidato cha sita hayajatoka waliokuwa mafinga walipewa kipaumbele cha kujiunga na jeshi na yeye akiwemo lakini alikataa mwisho wa siku jeshi kakosa na aliambulia DIV 0 na PGM yake
Kumbe Tupo wengi. Mwambie akaribie fani ya mapishi (kulamba mchuzi) hainaga division
 
Point ni kuwa, ili uweze kuwa rubani unatakiwa uwe na uwezo wa kufanya maamuzi ya haraka, kisoma ramani na kufanya hesabu kwa haraka. Yote ni kwa kujiandaa zaidi na emergency situations kwa sababu ndege kwa kawaida zinasafiri angani tena kwa kasi. Idea ya kuwa waliosoma hayo ma PGM ndio watu bora kwa mahesabu na Geography. Hesabu za ndege ni za kujumlisha, kutoa, kuzidisha na kugawanya hamna intergation wala calculus!
 
Mbaazi ikikosa maua huwa inasingizia jua. PGM angeweza kusoma course nyingi sana kama ufaulu wake uko sawa. Kuwa rubani ni majaaliwa. Mhandisi je? Survey?? Architect?
 
Point ni kuwa, ili uweze kuwa rubani unatakiwa uwe na uwezo wa kufanya maamuzi ya haraka, kisoma ramani na kufanya hesabu kwa haraka. Yote ni kwa kujiandaa zaidi na emergency situations kwa sababu ndege kwa kawaida zinasafiri angani tena kwa kasi. Idea ya kuwa waliosoma hayo ma PGM ndio watu bora kwa mahesabu na Geography. Hesabu za ndege ni za kujumlisha, kutoa, kuzidisha na kugawanya hamna intergation wala calculus!
Siku hizi Kuna "Auto-pilot" hayo yote yanafanywa na Machine acha kushoboka
 
Wakati nasoma A-level, Mkwawa High School (1999-2001) ulipita uvumi kuwa tunaosoma PGM tunaandaliwa kuwa marubani lakini leo hii ninafanya kibarua kama mpishi kwa Mhindi Masaki. Kwa mshahara wa 250,000/= kwa mwezi

Aisee elimu hii ovyo sana.
View attachment 1274044
Itakuwa ulikuwa unashinda makanyagio kugida ulanzi,wenzako wote marubani.
 
Wakati nasoma A-level, Mkwawa High School (1999-2001) ulipita uvumi kuwa tunaosoma PGM tunaandaliwa kuwa marubani lakini leo hii ninafanya kibarua kama mpishi kwa Mhindi Masaki. Kwa mshahara wa 250,000/= kwa mwezi

Aisee elimu hii ovyo sana.
View attachment 1274044
Pole sana. Nadhani umaskini ndio ulizima ndoto zako. Kusoma na kuhitimu kozi ya urubani ada si chini ya shilingi milioni 150. Sipati picha wakati unasoma 'A' level jinsi ulivyokuwa unajimwambafai (rubani mtarajiwa) mbele ya wadada wa Maghembe East kumbe ni mpishi mtarajiwa. Life is not fair wallah!
Umenikumbusha life ya Mkwawa: Mama Uswege, Makongoro West/East, Lumumba West/East, Shabani Robert West/East.
 
Point ya muhimu kabisa ni kuwa na hela ya kwenda kusomea huo urubani. Mengine ni mbwembwe. Mchawi pesa tu
Point ni kuwa, ili uweze kuwa rubani unatakiwa uwe na uwezo wa kufanya maamuzi ya haraka, kisoma ramani na kufanya hesabu kwa haraka. Yote ni kwa kujiandaa zaidi na emergency situations kwa sababu ndege kwa kawaida zinasafiri angani tena kwa kasi. Idea ya kuwa waliosoma hayo ma PGM ndio watu bora kwa mahesabu na Geography. Hesabu za ndege ni za kujumlisha, kutoa, kuzidisha na kugawanya hamna intergation wala calculus!
 
Pole sana. Nadhani umaskini ndio ulizima ndoto zako. Kusoma na kuhitimu kozi ya urubani ada si chini ya shilingi milioni 150. Sipati picha wakati unasoma 'A' level jinsi ulivyokuwa unajimwambafai (rubani mtarajiwa) mbele ya wadada wa Maghembe East kumbe ni mpishi mtarajiwa. Life is not fair wallah!
Umenikumbusha life ya Mkwawa: Mama Uswege, Makongoro West/East, Lumumba West/East, Shabani Robert West/East.
1994/96
Sijui yuko wapi mzee Kaaya?
 
Point ya muhimu kabisa ni kuwa na hela ya kwenda kusomea huo urubani. Mengine ni mbwembwe. Mchawi pesa tu
Tuliahidiwa kupewa scholarship. Maana familia zetu za kibongobongo ungepata wap hela ya kusoma urubani nje ya nchi?
 
Back
Top Bottom