Nilidanganywa kusoma PGM nitakuwa rubani, leo hii mpishi kwa Mhindi

Hahaaa mkuuu...
Ume diverge sanaaaa...
Mpk kwenye upishiiiiii....?
Tena miaka hiooo....?
Ulizunguka round about nn.......?
Tulikua tunasema ku intergrate zero.

Kua mkweli mkuu.....
Ulitagaa?
Hahahahaah ni.
 
Hivi kuna watu wa PCM, PCB au PGM wanaocheza shule?
Acha masikhara mzeeeee, jamaa matokeo yalimkataa tuu!!!!!!!!!!
 
Hahaaa mkuuu...
Ume diverge sanaaaa...
Mpk kwenye upishiiiiii....?
Tena miaka hiooo....?
Ulizunguka round about nn.......?
Tulikua tunasema ku intergrate zero.

Kua mkweli mkuu.....
Ulitagaa?
Au Ku differentiate constant number
 
Hata waliofika six comb za Arts walichagua kazi
 
Hapa watu wa passo uliwainua sana ndugu. Ilitakiwa waungane kwa umoja wao kukushukuru

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haaaaa uuu msemo upo mpk leo aisee kuna jamaa angu nae akaufata hakuna cha urubani wala nn
 
Captain Andrea
Unamcheka jamaa kwa kushindwa kutimiza ndoto take๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€

Mimi pia nilitamani sana hiyo fani, nilipoona hakuna dalili ya kutoboa Urubani,
Mwisho wa siku niliamua kwenda kusoma PCM nikaambulia kuwa Civil Engineer tu๐Ÿ—ผ๐Ÿšง ๐Ÿ—
 
Unamcheka jamaa kwa kushindwa kutimiza ndoto take๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€

Mimi pia nilitamani sana hiyo fani, nilipoona hakuna dalili ya kutoboa Urubani,
Mwisho wa siku niliamua kwenda kusoma PCM nikaambulia kuwa Civil Engineer tu๐Ÿ—ผ๐Ÿšง ๐Ÿ—
Vipi madaraja Hapo Nangurukuru
 
Ivisha NGUNGA mkuu.......huenda shuleni ulikuwa "table leader".........huna hata demu wa kukuoa? "Kupanga ni kuamua" IVISHA mkuu.................
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ