Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati nasoma A-level, Mkwawa High School (1999-2001) ulipita uvumi kuwa tunasoma PGM tunaandaliwa kuwa marubani lakini leo hii ninafanya kibarua kama mpishi kwa Mhindi Masaki.
Aisee elimu hii ovyo sana.
Hivi kwanini huwa husomi umetulia mtoto wa kisukuma? Unakurupuka tu! Nasema mwanafunzi akiwa serious na masomo hawezi kukosa kutimiza ndoto zake. Hakuna visingizio. Magenius wataonekana NECTA si vijiweni
Hata Tanzania Ones wapo mtaani wanasakata rhumba tuu, wala usiwaze.
Kinachomata ni pesa na sio kazi, wengi walio kwenye ajira rasmi hawana tofauti na wajasiriamali mkuu.
Kwanza ushasema ulisoma Mkwawa,mpaka hapo udhaifu tumeshauona,Ng'ombe wa maskini hazai ulitakiwa malengo yako kidogo uwe sehemu salama ungelisoma shule za Private,
Nenda kasome uone moto wake ndo utaelewa, msipende kutoa ufafanuzi kwa kitu hamkijui.Uliambiwa usome wewe ukacheza unafikiri nini? Lazima adhabu ya kutokusoma ikuandame. Ungalipata div one A physics, A maths ungeenda engineering tu. Angalia vyuo vya engineering vinavyohaha kutafuta wanafunzi. Rubani kwa taarifa yako ni dereva kama wa Passo ila yeye Passo yake inaruka angani.
Una uhakika?Nenda kasome uone moto wake ndo utaelewa, msipende kutoa ufafanuzi kwa kitu hamkijui.
Kwenye comment yangu nilikuwa nakueleza wewe au unabisha wewe sie Ke? Uache kujifanya mjuaji. Ila unisamehe kama nawe uliangukia puaSijakurupuka hata kidgo..umesema mkianza kutoa K!nikakuanbia unejuaje mtoa mada ni ke?acha kukariri ww!..
Aaah we unazingua, unaijua vzr mkwawa ya 1990 au ndo kilopwalopwa domo la choo?Kwanza ushasema ulisoma Mkwawa,mpaka hapo udhaifu tumeshauona,Ng'ombe wa maskini hazai ulitakiwa malengo yako kidogo uwe sehemu salama ungelisoma shule za Private,
Kwenye comment yangu nilikuwa nakueleza wewe au unabisha wewe sie Ke? Uache kujifanya mjuaji. Ila unisamehe kama nawe uliangukia pua
Mjinga huyo hajui hata historia ya shule husika.Mkwawa ilikua shule nzuri sana mkuu..vibaya sana!