Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole kwahiyo hapa unapigizana kelele na mtoa mada au kilaza mie?Ulikuwa unamjibu yule sio mm!.sio ujuaji tunasahihishana ...sikuangukia pua mm sio kilaza
Unaonekana una stress!bye!Pole kwahiyo hapa unapigizana kelele na mtoa mada au kilaza mie?
Acha uwongo mkuuUliambiwa usome wewe ukacheza unafikiri nini? Lazima adhabu ya kutokusoma ikuandame. Ungalipata div one A physics, A maths ungeenda engineering tu. Angalia vyuo vya engineering vinavyohaha kutafuta wanafunzi. Rubani kwa taarifa yako ni dereva kama wa Passo ila yeye Passo yake inaruka angani.
Oh sikujua kuwa upo na stress!Unaonekana una stress!bye!
😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏Oh sikujua kuwa upo na stress!
mwenyewe kdg nimeshangaaa...Mkwawa ilikua shule nzuri sana mkuu..vibaya sana!
Hii dp haikutambulishi vema ManengeloHata mm nakumbuka nilikua naambiwa pgm ni urubani au uhandisi!..lakini ishi ndoto zako!ng'ang'ana ufike ndoto zako!
IpotezeeHii dp haikutambulishi vema Manengelo
Siwezi kupotezea jina. Ingekuwa ni dp pekee ningepotezea. Naomba dp yako ya zamani inboxIpotezee
100%Una uhakika?
Tena unaanzia bench🤣🤣🤣Hahaha unaweza zaliwa mshambuliaji ila maisha yakakuchezesha kama kipa
Bora ungesema aeronautical engineer kuliko kusema rubani. Rubani hata mtu wa arts akiwa na pesa anapata.Wakati nasoma A-level, Mkwawa High School (1999-2001) ulipita uvumi kuwa tunasoma PGM tunaandaliwa kuwa marubani lakini leo hii ninafanya kibarua kama mpishi kwa Mhindi Masaki.
Aisee elimu hii ovyo sana.
Kwa taarifa yako hapo probability ni 0100%
Hongera sana mkuu kwa kufanya kazi masaki.Wakati nasoma A-level, Mkwawa High School (1999-2001) ulipita uvumi kuwa tunasoma PGM tunaandaliwa kuwa marubani lakini leo hii ninafanya kibarua kama mpishi kwa Mhindi Masaki.
Aisee elimu hii ovyo sana.
Atakua alikua anaenda viva uyubw mpishi kama badala ya kwenda prepo ulikuwa unaenda makanyagio au ruaha club disko au uwanjani kule chini kuinamisha mademu au kusimama kwenye korido za juu gizani kula mate watoto wa watu utakuwaje rubani? ukimuona mwalimu Mgimwa..Masatu..Tende waambie nawasalimia