and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
Nataman mwanangu akasomee urubaniUkiingia google utaona, inategemea na nchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nataman mwanangu akasomee urubaniUkiingia google utaona, inategemea na nchi
MmmhKwahiyo unapika pilipili tu huko Mshukuru Muumba muweza wa yote hapo Fanya kama steping stone make hela nenda chuo kasomee urubani
Mimi nilisoma PCM nikasoma accounts nikakopa hela bank mil.80 na nikatembeza bakuli nikatafuta scholarship nikaenda Australia nika graduate FPCTL sasahivi ni rubani Etihad airways nalipwa dola 12 elfu p/m.Yani in mwendo wa paris, london, Frankfurt, Bangkok, Usikate tamaa.
Chagua nchi ambayo unataka aende kusomea, angalia gharamaNataman mwanangu akasomee urubani
Hapa hapa TZChagua nchi ambayo unataka aende kusomea, angalia gharama
Hawaweki gharama zao wazi (mtandao wao), mpaka uwatembelee ofisini; ila kuna gharamaHapa hapa TZ
[emoji28][emoji28][emoji119]Sijawahi muona mtu aliyetoka kimaisha kwa kufanya kazi kwa mhindi. Na ukitoka hapo unakua kama kuku la kisasa mpaka uambiwe kitu ufanye ndo unafanya sasa usipoambiwa unatulia tuli
Hata mimi nilijua rubani ni msomi sana, kumbe hata form iv anaweza kusoma urubani,Uliambiwa usome wewe ukacheza unafikiri nini? Lazima adhabu ya kutokusoma ikuandame. Ungalipata div one A physics, A maths ungeenda engineering tu. Angalia vyuo vya engineering vinavyohaha kutafuta wanafunzi. Rubani kwa taarifa yako ni dereva kama wa Passo ila yeye Passo yake inaruka angani.
Mwisho unaanza kuyarusha. Nimependa sana hayo manenoSiku hizi marubani ni waliosoma form four na kupata hata div four bila kujali kasoma nini kigezo uwe mtoto wa kishua, unaanza vikozi vidogo vidogo vya kuendesha chopa, unakwenda nairobi kidogo, unakwenda sauzi ukirudi unaanza vikampuni vidogo unapata uzoevu mwisho unaanza kuyarusha
Kifutu?[emoji23][emoji23]Hata ungefanikiwa kuwa rubsni ungeangusha ndege..kenge wewe.
Ufike A-level tena pgm ushindwe kujiendeleza?
Unatakiwa iletewe urubani kwenu?
Komaa wewe kifutu wewe
Siyo kupeta tu, unafanya nini na pgm yako?mwaka 2001 PGM umeishia kuwa mpishi sie PGM wa mwaka 2010 tunapeta na div two zetu haukuwa serious.
Kwa nini hukuomba vyuo vingine? Ulikata tamaa mapema mno!Div 2 ya 12...Physics (D), Geography (D), Adv. Maths. (D) nikaomba Electronics UDSM nikatoswa nikaenda Mererani sikutoboa nikaja Dar ndo nakomaa
BCS maana yake nini? Kirefu chake tafadhaliIla wasomi wengi wananipa raha, hasa hawa fresh graduate wa kipindi hiki cha STONE aka ngumi jiwe
Yaan unamkuta mfano kaja ofisini kuomba kazi, cv zake sasa eti kamaliza la saba anaomba kufagia na kunyeshea maua, hapo hapo full kujifanya mshamba hajui hata neno moja la kiingereza usije kumshtukia[emoji1787][emoji28]
Badae wenzake waliosoma nae wanamchoma kuwa huyo mbona B.C.S
Kiufupi sio rahisi kuwagundua hawa special case
Sijawahi muona mtu aliyetoka kimaisha kwa kufanya kazi kwa mhindi. Na ukitoka hapo unakua kama kuku la kisasa mpaka uambiwe kitu ufanye ndo unafanya sasa usipoambiwa unatulia tuli
Ndege za sku hizi naskia ni kama kuendesha IST unabonyeza tu inaenda yenyeweSiku hizi marubani ni waliosoma form four na kupata hata div four bila kujali kasoma nini kigezo uwe mtoto wa kishua, unaanza vikozi vidogo vidogo vya kuendesha chopa, unakwenda nairobi kidogo, unakwenda sauzi ukirudi unaanza vikampuni vidogo unapata uzoevu mwisho unaanza kuyarusha
Ndege za sku hizi naskia ni kama kuendesha IST unabonyeza tu inaenda yenyeweSiku hizi marubani ni waliosoma form four na kupata hata div four bila kujali kasoma nini kigezo uwe mtoto wa kishua, unaanza vikozi vidogo vidogo vya kuendesha chopa, unakwenda nairobi kidogo, unakwenda sauzi ukirudi unaanza vikampuni vidogo unapata uzoevu mwisho unaanza kuyarusha
Babu sambeki mwenyewe alikuwa anarusha ndege na hiyo ilimuuaNdege za sku hizi naskia ni kama kuendesha IST unabonyeza tu inaenda yenyewe
Miaka ya zaman katika washkaj kwao wakishua mzee wake alikua gvt flight amesoma soma st mary wala hakua na maa akiliiii alivomaliz akapelekwa sauz.sasa hiv ruban .