Nilidanganywa kusoma PGM nitakuwa rubani, leo hii mpishi kwa Mhindi

Mmmh
 
Sijawahi muona mtu aliyetoka kimaisha kwa kufanya kazi kwa mhindi. Na ukitoka hapo unakua kama kuku la kisasa mpaka uambiwe kitu ufanye ndo unafanya sasa usipoambiwa unatulia tuli
[emoji28][emoji28][emoji119]
 
Hata mimi nilijua rubani ni msomi sana, kumbe hata form iv anaweza kusoma urubani,
 
Mwisho unaanza kuyarusha. Nimependa sana hayo maneno
 
BCS maana yake nini? Kirefu chake tafadhali
 
[emoji16][emoji16]
Sijawahi muona mtu aliyetoka kimaisha kwa kufanya kazi kwa mhindi. Na ukitoka hapo unakua kama kuku la kisasa mpaka uambiwe kitu ufanye ndo unafanya sasa usipoambiwa unatulia tuli
 
Ndege za sku hizi naskia ni kama kuendesha IST unabonyeza tu inaenda yenyewe
Miaka ya zaman katika washkaj kwao wakishua mzee wake alikua gvt flight amesoma soma st mary wala hakua na maa akiliiii alivomaliz akapelekwa sauz.sasa hiv ruban .
 
Ndege za sku hizi naskia ni kama kuendesha IST unabonyeza tu inaenda yenyewe
Miaka ya zaman katika washkaj kwao wakishua mzee wake alikua gvt flight amesoma soma st mary wala hakua na maa akiliiii alivomaliz akapelekwa sauz.sasa hiv ruban .
 
Ndege za sku hizi naskia ni kama kuendesha IST unabonyeza tu inaenda yenyewe
Miaka ya zaman katika washkaj kwao wakishua mzee wake alikua gvt flight amesoma soma st mary wala hakua na maa akiliiii alivomaliz akapelekwa sauz.sasa hiv ruban .
Babu sambeki mwenyewe alikuwa anarusha ndege na hiyo ilimuua
Nahisi kila kitu kuamua tu hakuna kinachoshindikana chini ya jua

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…