Mbona equations zote equal to Zero??Wakati nasoma A-level, Mkwawa High School (1999-2001) ulipita uvumi kuwa tunaosoma PGM tunaandaliwa kuwa marubani lakini leo hii ninafanya kibarua kama mpishi kwa Mhindi Masaki. Kwa mshahara wa 250,000/= kwa mwezi
Aisee elimu hii ovyo sana.
View attachment 1274044View attachment 1551198
Ila kweli sometimesAliambiwa asome PGM ila sasa anaosha Vyombo vya mhindi. Hivyo hakufaulu na sababu kubwa ya kutofaulu Masomo hasa ya sayansi, acha kujitetea ni kutokuwa serious. Kwa hili hakuna siasa wala mambo ya kuzunguka. Hata angepata D ya physics na D ya mahesabu anachukuliwa. Mara nyingi kwenu K akianza kulika kabla ya kumaliza shule ndiyo holla
Urubani sio fani ya kusomea maskini.....ni 1/100Hata mm nakumbuka nilikua naambiwa PGM ni urubani au uhandisi...lakini ishi ndoto zako, ng'ang'ana ufike ndoto zako!
HongerΓ₯ anko,Wakati nasoma A-level, Mkwawa High School (1999-2001) ulipita uvumi kuwa tunaosoma PGM tunaandaliwa kuwa marubani lakini leo hii ninafanya kibarua kama mpishi kwa Mhindi Masaki. Kwa mshahara wa 250,000/= kwa mwezi
Aisee elimu hii ovyo sana.
View attachment 1274044View attachment 1551198
Kwahiyo ulienda shule kufeli?Ss mkuu wote tungepata hizo A pasingetosha mjini hapa
Mentality ya kuajiriwa imekudumaza. Ungeuza genge kwa mwezi unapata zaidi ya hiyo 250k. Haya ukiendesha bodaboda tu utapata zaidi.Wakati nasoma A-level, Mkwawa High School (1999-2001) ulipita uvumi kuwa tunaosoma PGM tunaandaliwa kuwa marubani lakini leo hii ninafanya kibarua kama mpishi kwa Mhindi Masaki. Kwa mshahara wa 250,000/= kwa mwezi
Aisee elimu hii ovyo sana.
View attachment 1274044View attachment 1551198
Una akili sana we jamaa. Huyu inaonekana anapenda upishi, ndio maana katulia tu na mshahara huo mdogo. Maana yake akomae ajifunze zaidi upishi kwa sababu nafsi yake inafurahia kuwemo humo. Atakujajikuta mpishi kilimanjaro hotel mshahara milioni 3.Lakini mbona una chance nzuri sana..jiendeleze upishi uwe chef mzuri..uje ufungue hotel ya mapishi ya kihindi
Ila JamiiForums ni raha sana βΊοΈβΊοΈβΊοΈRubani kwa taarifa yako ni dereva kama wa Passo ila yeye Passo yake inaruka angani.
Mkuu ni 45MShule ya Urubani bei gan?
Chuo gani?Mkuu ni 45M
Chuo kipo ethiopia mkuu...Chuo gani?
TEKU hawana hiyo kozi?Chuo kipo ethiopia mkuu...
TEKU tanzania tuu hamna π€£π€£π€£π€£ππππTEKU hawana hiyo kozi?
Tena kule wanahitaji cheti chako cha form four tuu hmna mambo ya pgm wala nini...Chuo kipo ethiopia mkuu...
Tena kule wanahitaji cheti chako cha form four tuu hmna mambo ya pgm wala niniChuo kipo ethiopia mkuu...
Aisee sikujua hata Ngumbaru anasoma urubaniTena kule wanahitaji cheti chako cha form four tuu hmna mambo ya pgm wala nini...