Kaka yangu 1979, enzi hizo Mazengo PGM alihakikishiwa kabisa urubani, akaishia vipimo na mizani, na akili za kufa mtu kichwani. Mufindi Paper Mill (Mgololo) akaishia ukarani hadi kifo chake
UK kuna mpishi mmoja anaitwa Jimmy Oliver mshahara wake hata rubani mkuu wa ATC haoni ndani. Kwa hiyo hauko pabaya unaweza toka kimaishaIkiwezekana vyeti ulivyonavyo vichane chane, hapo ulipo kwa kanjibai kaa kwa malengo, soma sana mapishi ya vyakula mbalimbali, vijaribu kupika hadi uweze kupika, lenga mbali zaidi kua someone kwenye upande wa mapishi ya vyakula vya kimataifa vinavyopikwa kwenye hoteli za kuanzia nyota tano, ikiwezekana uwe na dream ya kufungua hotel yako,
Nikipata muda ntakuja kuweka stori ya maisha ya mpishi maarufu nusr wa dubai
kama ulikua hutaki A kwanini uliendelea kusoma?Ss mkuu wote tungepata hizo A pasingetosha mjini hapa
SawaJilaumu mwenyewe.
Sawa
Ndoto yangu ni kurusha mzinga wa Pipa angani masaa 10 non-stopKuna watu wanafanya kazi yako, wanalipwa kwa millions. Acha kujibebesha mzigo, omba na kuwa positive ujiongeze kwenye unachofanya au kungine.
Ndoto yangu ni kurusha mzinga wa Pipa angani masaa 10 non-stop
Hela ya mhindi haikai nduguUna hela?
Ndoto yangu ni kurusha mzinga wa Pipa angani masaa 10 non-stop
Six ulipataje ?Wakati nasoma A-level, Mkwawa High School (1999-2001) ulipita uvumi kuwa tunaosoma PGM tunaandaliwa kuwa marubani lakini leo hii ninafanya kibarua kama mpishi kwa Mhindi Masaki.
Aisee elimu hii ovyo sana.
Div 2 point 12...DDDSix ulipataje ?
Wakati nasoma A-level, Mkwawa High School (1999-2001) ulipita uvumi kuwa tunaosoma PGM tunaandaliwa kuwa marubani lakini leo hii ninafanya kibarua kama mpishi kwa Mhindi Masaki.
Aisee elimu hii ovyo sana.
Ukaenda somea nini ?Div 2 point 12...DDD
Wakati nasoma A-level, Mkwawa High School (1999-2001) ulipita uvumi kuwa tunaosoma PGM tunaandaliwa kuwa marubani lakini leo hii ninafanya kibarua kama mpishi kwa Mhindi Masaki.
Aisee elimu hii ovyo sana.