and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
Agriculture Engineering unasomeka pande zipi kwa sasa?Na pgm yangu niliishia kusoma agriculture engineering sua pamoja na wani yangu Kali hakuna cha urubani wala mavi yake urubani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Agriculture Engineering unasomeka pande zipi kwa sasa?Na pgm yangu niliishia kusoma agriculture engineering sua pamoja na wani yangu Kali hakuna cha urubani wala mavi yake urubani
MPE MWONGOZO MKUU!!!Sasa nimeamini una shida sehemu ww sio bure!pole...
MKUU,
hakuna anayekupangia uishi vipiKufikiri wewe ni mshambuliaji haimaanishi ndio umezaliwa hivyo
Huwezi kusema umezaliwa mshambuliaji eti kwa kuwa unapenda kuwa mshambuliaji
Mwisho wa siku kuna anayepanga wewe uwe nani
Wewe unafikiri umezaliwa mshambuliaji lakini mpangaji amepanga uwe kipa
Wakati nasoma A-level, Mkwawa High School (1999-2001) ulipita uvumi kuwa tunaosoma PGM tunaandaliwa kuwa marubani lakini leo hii ninafanya kibarua kama mpishi kwa Mhindi Masaki. Kwa mshahara wa 250,000/= kwa mwezi
Aisee elimu hii ovyo sana.
Wakati nasoma A-level, Mkwawa High School (1999-2001) ulipita uvumi kuwa tunaosoma PGM tunaandaliwa kuwa marubani lakini leo hii ninafanya kibarua kama mpishi kwa Mhindi Masaki. Kwa mshahara wa 250,000/= kwa mwezi
Aisee elimu hii ovyo sana.
Kwa miaka hiyo ulikosaje kazi,nimejiuliza.Hahaaa mkuuu...
Ume diverge sanaaaa...
Mpk kwenye upishiiiiii....?
Tena miaka hiooo....?
Ulizunguka round about nn.......?
Tulikua tunasema ku intergrate zero.
Kua mkweli mkuu.....
Ulitagaa?
Wamekuitika. Fanta ni Dr pale Muce.Makwaya anakupa haibw mpishi kama badala ya kwenda prepo ulikuwa unaenda makanyagio au ruaha club disko au uwanjani kule chini kuinamisha mademu au kusimama kwenye korido za juu gizani kula mate watoto wa watu utakuwaje rubani? ukimuona mwalimu Mgimwa..Masatu..Tende waambie nawasalimia
Kwa hiyo Mkwawa haikua salama?Kwanza ushasema ulisoma Mkwawa,mpaka hapo udhaifu tumeshauona,Ng'ombe wa maskini hazai ulitakiwa malengo yako kidogo uwe sehemu salama ungelisoma shule za Private,
Hii nguna imenikumbusha mbali sana.Aiseee!!!!View attachment 1274584
Nimesoma pale sikujua CLUB.uliza kwa sasa najua Club ngapiAtakua alikua anaenda viva uyu
Sisi wakati tunasoma PCM tuliambiwa tunaandaliwa kuwa WAHANDISI na wengi vichwa vilivimba sana na kuweka nia hiyo.Wakati nasoma A-level, Mkwawa High School (1999-2001) ulipita uvumi kuwa tunaosoma PGM tunaandaliwa kuwa marubani
Ha ha ha. Pande za Bonde la Mpunga KyelaAgriculture Engineering unasomeka pande zipi kwa sasa?