Nilidanganywa kusoma PGM nitakuwa rubani, leo hii mpishi kwa Mhindi

Nilidanganywa kusoma PGM nitakuwa rubani, leo hii mpishi kwa Mhindi

PCM, PGM, PCB, usipokaza msuli haswaaaah, ndoto zote zinayeyuka na kugeuka hadithi.
Ila usijari ishi ndan ya hali uliyopo. Komaa utafanikiwa tyuuh.
Kuna maisha pia nje ya ndoto zako.
 
Kusoma urubani hadi kuja kuaminika urushe ndege yenye abiria inakost hela nyingi sana.
Sidhani kama board ya mikopo wanaweza kutoa mkopo wa aina hiyo.
Lakini kama umefaulu PGM una chances zingine siyo lazima urubani.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hello my M
Njoo uone huku
MLEVi Mmoja
Screenshot_20210120-205708.jpg
 
Mpaka hapo wewe ni rubani wa ugali.

Endelea kurubanisha ugali na ubwabwa wako
 
Hold on!, ina maana 2007 ulitakiwa uwe ume graduate chuo kama ulisoma digrii. Hii miaka ajira zilikua nje nje kwa fani za sayansi ilikuwaje ukaangukia upishini mkuu?, au ulitoka na Upawa hapo Mkwawa?? Au ulikosa mentor?? Ila vipi uliendelea na shule kwelii??
 
Katika elimu kuna slow learner, medium na vipanga. Kila mtu lazima ajitume ili afanikiwe. Wengi huwa tunahangaika na MATOKEO bila kuangalia CHANZO. Kufeli kupo lakini ukiangalia chanzo ni kutojituma. Kuna masomo ya kusoma ukiwa na muziki pembeni na kuna masomo yanataka kujichimbia bila kelele. Inategemea wengi tupo slow learners lakini enzi zetu ilikuwa ni kusoma usiku kucha. Nashangaa kuona sasa hata youtube zipo zinafundisha, unaweza kupata e-books hata pdfdrive.com wanatoa vitabu bure mtu unakalia kuhangaika na ati Magufuli etc. Soma uangaze mbele. Watu wanadai hakuna kazi, lakini kazi zipo ila sasa lazima uwe umetusua kweli anza na form four, six, degree ya kwanza (GPA isiwe chini ya 4) na uhakikishe angalau una Masters ndipo utafute kazi.

Hapo kwenye GPA na kazi labda kama anatafuta serikalini ila kwenye watu wanataka production ipande unaweza kuwa na GPA kubwa na ukatolewa nje na mtu mwenye 2.0 ambaye ni productive.

Ila haimaanishi watu wasitafute hizo GPA kubwa ila wajue wanataka nini baadae. Kama wanaitaji kuwa wakufunzi basi wakomae nazo tena sana.

Pia GPA kubwa inategemea na chuo pia hapa ndio balaa lilipo, ukiwa na GPA kubwa kutoka SAUT, TUDARCo, TUMA na vyuo vingine vya private unaonekana kama vile ni 'GPA yakupewa' hata kama umeiangaikia mwenyewe.

So GPA kubwa sokoni ina nguvu kutokana na umesoma chuo gani hili usisahau washauri.
 
Minilisomea masomo ya biashara Sasa hivi nimjasiriamali nimepitaaa mulemuleeee
 
Wakati nasoma A-level, Mkwawa High School (1999-2001) ulipita uvumi kuwa tunaosoma PGM tunaandaliwa kuwa marubani lakini leo hii ninafanya kibarua kama mpishi kwa Mhindi Masaki. Kwa mshahara wa 250,000/= kwa mwezi

Aisee elimu hii ovyo sana.
View attachment 1274044View attachment 1551198
Darasani mlikuwa wangapi?

Chukulia intake tano tu. Watakuwa wamemaliza watu wangapi na kufaulu hiyo PGM?

Tanzania ilikuwa na ndegena marubani wangapi wakati huo?

Ungeweza kupata picha ungekuwa rubani wa ndege zipi?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah, kuna mtoto wa kaka akitaka kusogoa ndo anafanya hvyo.
Yaan huwa nacheka had baas
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom