Nilidhani wanaokimbia madeni wanafanya kusudi

Nilidhani wanaokimbia madeni wanafanya kusudi

Zamani nilikuwa najua watu wanao kimbia madeni wanafanya kusudi

🙌🙌🙌
Ukipitia kipindi cha kudaiwa inafika muda na wewe ukiwa wadai watu unawaelewa.
Hapa kati nimekuwa nikisamehe madeni maana kuna muda unamwona mtu si kwamba hataki kulipa ila uwezo hana.
Kuna kipindi nlikuwa nadaiwa na sina ela ya kulipa mwisho nikapoteza marafiki na kuitwa tapeli kumbe sikuwa hata na mia mbovu.
 
Nadaiwa milioni 50 jumla yote.hapa nilipo naongea na benki zinazonidai na watu binafsi wanaonidai nione jinsi ya kuwalipa japo biashara zangu zote zimefilisika.
Tunatakiwa kuwa wavumilivu tunapodaiwa na wenye mali,tuvumilie matusi na kauli za unyanyapaa kutoka kwa ndugu na marafiki.
Mnaotudai hakika tunatamani kuwalipa lakini tumefilisika
 
Ukipitia kipindi cha kudaiwa inafika muda na wewe ukiwa wadai watu unawaelewa.
Hapa kati nimekuwa nikisamehe madeni maana kuna muda unamwona mtu si kwamba hataki kulipa ila uwezo hana.
Kuna kipindi nlikuwa nadaiwa na sina ela ya kulipa mwisho nikapoteza marafiki na kuitwa tapeli kumbe sikuwa hata na mia mbovu.
Ukiishiwa rafiki na ndugu wanakutenga, hiyo hali naipitia mimi saizi.nimekimbiwa hadi na mwanamke kwakua nimefilisika
 
ccm watakulipia xhang yuuu
F4CrAgNWoAAQJ8d.jpg
 
Nadaiwa milioni 50 jumla yote.hapa nilipo naongea na benki zinazonidai na watu binafsi wanaonidai nione jinsi ya kuwalipa japo biashara zangu zote zimefilisika.
Tunatakiwa kuwa wavumilivu tunapodaiwa na wenye mali,tuvumilie matusi na kauli za unyanyapaa kutoka kwa ndugu na marafiki.
Mnaotudai hakika tunatamani kuwalipa lakini tumefilisika
Pole mkuu 50M 👀👀🤔
 
Back
Top Bottom