Antennah
JF-Expert Member
- Oct 14, 2015
- 6,754
- 8,750
Hii comment nimecheka mpaka kichwa kimeumaaBaba yako alipokuwa anajifungia ndani na kukwambia uwaambie watu hayupo ulimuona mzee msanii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii comment nimecheka mpaka kichwa kimeumaaBaba yako alipokuwa anajifungia ndani na kukwambia uwaambie watu hayupo ulimuona mzee msanii.
Wewe Ni mimiMkuu jamaa anaishi hapo hapo kitambo ila tu anapanua nyumba yake kwa kumalizia tu. Mkuu mimi ni wale watu ambao kudai hatujui... Nikikupatia kitu usipolipa nikakudai mara kama 3, kama naona huyu hana uwezo wa kulipa nitakwambia nimekusamehe, kama naona una uwezo wa kulipa ila hutaki kulipa basi nakuacha wala sitokudai tena ila ukae ujue siku ukiwa na shida utaona aibu mwenyewe kuniomba na hata ukiniambia nitakwambia sina.
Mkuu na wewe kipaji cha kudai huna?Wewe Ni mimi
Hii dunia Ina Maumivu na WATU HAWANA HURUMA nazungumza haya nimetembea na elbow crutches nimebaguliwa nimenyanyapaliwa Ila for this nimekua strong than normal psychological being...Kuna mtu nilikuwa namdai, amenizungusha hadi nikawa namuona boonge la tapeli. Kumbe mambo yamemwendea mrama vibayaaa mbaya. Mwenye nyumba tu anamdai kodi ya zaidi ya mwaka, mara mke akajifungua tena kwa kisu. Hajakaa sawa si akapata ajali ya boda boda, akavunjika miguu yote miwili, akawekewa vyuma🙆
Na shughuli zake ni mpkaa atoke akahangaike, mke ni mama wa nyumbani tu.
Kuna wakati mambo yanakuendea mrama hadi unahisi duninai uliletwa kuhangaika ili uwe wa mfano.
Sina mkuu nikikukopesha jua ukilipa umelipa usipo lipa ni sadaka..Mkuu na wewe kipaji cha kudai huna?
Pole sana mkuu, hakika dunia haina huruma aisee.Hii dunia Ina Maumivu na WATU HAWANA HURUMA nazungumza haya nimetembea na elbow crutches nimebaguliwa nimenyanyapaliwa Ila for this nimekua strong than normal psychological being...
Hio tunaita kuhamisha deniyaani mkopo hulipwa na Mkopo Mtu akikudai unakopa kule unalipa huku Alisikika Mlevi mmoja hivi huko Duniani
Najua with time na kwa uwezo wa mungu ntakua sawa nitarud kua Kama zamani nimejifunza mengi....Pole sana mkuu, hakika dunia haina huruma aisee.
Mimi huwa sikopeshi hela ambayo itaniumaSina mkuu nikikukopesha jua ukilipa umelipa usipo lipa ni sadaka..
Sipendeleagi usumbufu
Kwel mkuu sisi ndio tunaishi principal za YESU..Mimi huwa sikopeshi hela ambayo itaniuma
Nikikupa afu 5 afu 10 usipolipa fresh naona sadaka unajua haya maisha ukiwa huna ndo unaelewa kuna muda unaishi huna hata mbuni mfukoni.. kwahiyo unaelewa tu juu kwa juu ila kudai aisee siwwezi
Labda mkuuKwel mkuu sisi ndio tunaishi principal za YESU..
KOPESHA BILA KUTAZAMIWAA KULIPWA
Ndio hivyo BossHio tunaita kuhamisha deni
😅Zamani nilikuwa najua watu wanao kimbia madeni wanafanya kusudi
🙌🙌🙌
Raha kudaiwa?au inakufundisha jamboHii page raha sana