Nilidhani wanaokimbia madeni wanafanya kusudi

Nilidhani wanaokimbia madeni wanafanya kusudi

Ukipitia kipindi cha kudaiwa inafika muda na wewe ukiwa wadai watu unawaelewa.
Hapa kati nimekuwa nikisamehe madeni maana kuna muda unamwona mtu si kwamba hataki kulipa ila uwezo hana.
Kuna kipindi nlikuwa nadaiwa na sina ela ya kulipa mwisho nikapoteza marafiki na kuitwa tapeli kumbe sikuwa hata na mia mbovu.
Sahihi mkuu umenigusa sana uliposema kwamba kama ulipitia kipindi cha kudaiea inafikia muda na wewe ukiwadai watu unakuwa muelewa.

yani madeni yalinifanya nizidi kuwa muelewa kwa wengine,nikimuona mtu kajiua kwa madeni sishangai maana sometimes madeni yanafika kwenye koo.

Unashangaa mtu anakuwa mbabaifu halipi anachenga nyingi ila nikikumbuka na mimi nilivyokuwaga mpiga chenga bila kutamani kuwa mtu wa aina hiyo bas najikuta nachoka saana na kuwa mvumilivu.

Kuna wakati nilibadili mpaka laini ya simu ili wanaonidai wasinipate hewani na sio kwamba sitaki kuwalipa ila sasa sikuwa na hela ya kuwalipa na nimechoka kuwapa ahadi na kuwakera.

Leo hii ninayemdai akinizimis simu sishangai maana najua fika angekuws nayo angenilipa freshi tu,ila najus hana ndiio maana anapiga chenga nyingi.

Mtu akinijia na shida na akstaka kunikopa huwa nakumbuka mateso ya kudaiwa.


Alafu kuna wakati watu ambao unawaheshimu kabisa na haukutarajia kupoteza uaminifu kwao ndio unsjikuta unawapiga chenga kali huku nafsi inakusuta ila ndio maisha na wao wanakuvumilia ila huwa wanaelewa.

Kwenye haya maisha kuna nyakati lazima uwe mbabaishaji,lazims uwe mtu wa kona nyingi,lazima wanaokudai wasikuelewe vizuri,wakuone hautaki kuwalipa na wengine watajiuliza kwani hela anapeleka wapi ?

Hizo nyakati unakuwa hivyo ni mwili na hulka yako inajilinda ili ipite salama kwenye mazngira hayo.

KUna nyakati nakumbuka nilishamkwepaga sana konda ili nisilipe nauli na nilikuwa nafanikiwa then nauli hiyo naitumia kwa mambo ya msingi kama nyanya,yote ni madeni hayo ila moyoni nilijua kwamba hii sio tabia yangu😀😀😀
 
KUna nyakati nakumbuka nilishamkwepaga sana konda ili nisilipe nauli na nilikuwa nafanikiwa then nauli hiyo naitumia kwa mambo ya msingi kama nyanya,yote ni madeni hayo ila moyoni nilijua kwamba hii sio tabia yangu😀😀😀
😂😂😂 Ni vile Mungu anakua upande wako.
Mara kibao tu konda hajanidai nauli kipindi niko apeche alolo na unaomba konda akupite na kweli mwamba anakua kama hajakuona vile.

Life la msoto jau sana.
 
Sahihi mkuu umenigusa sana uliposema kwamba kama ulipitia kipindi cha kudaiea inafikia muda na wewe ukiwadai watu unakuwa muelewa.

yani madeni yalinifanya nizidi kuwa muelewa kwa wengine,nikimuona mtu kajiua kwa madeni sishangai maana sometimes madeni yanafika kwenye koo.

Unashangaa mtu anakuwa mbabaifu halipi anachenga nyingi ila nikikumbuka na mimi nilivyokuwaga mpiga chenga bila kutamani kuwa mtu wa aina hiyo bas najikuta nachoka saana na kuwa mvumilivu.

Kuna wakati nilibadili mpaka laini ya simu ili wanaonidai wasinipate hewani na sio kwamba sitaki kuwalipa ila sasa sikuwa na hela ya kuwalipa na nimechoka kuwapa ahadi na kuwakera.

Leo hii ninayemdai akinizimis simu sishangai maana najua fika angekuws nayo angenilipa freshi tu,ila najus hana ndiio maana anapiga chenga nyingi.

Mtu akinijia na shida na akstaka kunikopa huwa nakumbuka mateso ya kudaiwa.


Alafu kuna wakati watu ambao unawaheshimu kabisa na haukutarajia kupoteza uaminifu kwao ndio unsjikuta unawapiga chenga kali huku nafsi inakusuta ila ndio maisha na wao wanakuvumilia ila huwa wanaelewa.

Kwenye haya maisha kuna nyakati lazima uwe mbabaishaji,lazims uwe mtu wa kona nyingi,lazima wanaokudai wasikuelewe vizuri,wakuone hautaki kuwalipa na wengine watajiuliza kwani hela anapeleka wapi ?

Hizo nyakati unakuwa hivyo ni mwili na hulka yako inajilinda ili ipite salama kwenye mazngira hayo.

KUna nyakati nakumbuka nilishamkwepaga sana konda ili nisilipe nauli na nilikuwa nafanikiwa then nauli hiyo naitumia kwa mambo ya msingi kama nyanya,yote ni madeni hayo ila moyoni nilijua kwamba hii sio tabia yangu😀😀😀
Very true mkuu. Kubadili namba ilikuwa kawaida. Nilipoteza rafiki wengi sana nilikuwa napitia kipindi kigumu cha maisha. Watu wanatangaziana kuwa fulani kawa tapeli. Haki haya maisha haya yakiamua kukuchapa unachapika hasa.
Mimi kipindi hicho kilinifunza kuwaelewa watu. Japo kuna wengine hawalipi makusudi. Kuna mtu namdai pesa ya mabati, mwezi wa tatu hajanilipa ila anajenga jirani na ninapojenga naona anaendelea na ujenzi lakini pesa yangu halipi.
 
Ukiishiwa rafiki na ndugu wanakutenga, hiyo hali naipitia mimi saizi.nimekimbiwa hadi na mwanamke kwakua nimefilisika
Mimi mwenyewe zama hizo mwanamke alinikimbia na visa juu. Yani hakuna picha niliacha ona nilijikuta hadi sina pesa ya kwenda saluni nataka kunyoa nywele kwa kutumia kile kidude cha girette cha kunyolea ndevu.
 
Very true mkuu. Kubadili namba ilikuwa kawaida. Nilipoteza rafiki wengi sana nilikuwa napitia kipindi kigumu cha maisha. Watu wanatangaziana kuwa fulani kawa tapeli. Haki haya maisha haya yakiamua kukuchapa unachapika hasa.
Mimi kipindi hicho kilinifunza kuwaelewa watu. Japo kuna wengine hawalipi makusudi. Kuna mtu namdai pesa ya mabati, mwezi wa tatu hajanilipa ila anajenga jirani na ninapojenga naona anaendelea na ujenzi lakini pesa yangu halipi.
Sahihi mkuu,msafara wa mamba kenge hakosi,wapo ambao makusudi hawalipagi ila hata huyo jamaa yako naamini kuna kitu kinamsukuma aslipe.

Kama ni muwazi ukimuendea anaweza kukupa uhalisia wa mambo yalivuo na atakuelezea kwa nini hakulipi.

Huwenda anapitia hali ambayo ni lazima amalize kujenga kwake kwanza ili amani ipatikane vizuri.

But naamini wapo watu hawalipi madeni kwa makusudi ila kumbuka hata wewe kuna nyakati ulikuwa unaweza kumlipa mtu na hela unayo ila kuna kauzembe unafanya ile pesa inaondoka na mtu haujamlipa.

Mimi siyo huyo unayemdai mabati mkuu maana kana kwamba namtetea ila hapana😀😀😀
 
Mimi mwenyewe zama hizo mwanamke alinikimbia na visa juu. Yani hakuna picha niliacha ona nilijikuta hadi sina pesa ya kwenda saluni nataka kunyoa nywele kwa kutumia kile kidude cha girette cha kunyolea ndevu.
Mimi nshajinyoa mwenyewe kwenye kioo mara kibao sana maana nikiwaza kutoa buku 2 wakati buku mbili nilikuwa naweza kutumia siku 4.

Nilikuwa mwendo wa kujinyoa mwenyewe tu upata 😀😀
 
Sahihi mkuu,msafara wa mamba kenge hakosi,wapo ambao makusudi hawalipagi ila hata huyo jamaa yako naamini kuna kitu kinamsukuma aslipe.

Kama ni muwazi ukimuendea anaweza kukupa uhalisia wa mambo yalivuo na atakuelezea kwa nini hakulipi.

Huwenda anapitia hali ambayo ni lazima amalize kujenga kwake kwanza ili amani ipatikane vizuri.

But naamini wapo watu hawalipi madeni kwa makusudi ila kumbuka hata wewe kuna nyakati ulikuwa unaweza kumlipa mtu na hela unayo ila kuna kauzembe unafanya ile pesa inaondoka na mtu haujamlipa.

Mimi siyo huyo unayemdai mabati mkuu maana kana kwamba namtetea ila hapana😀😀😀
Mkuu jamaa anaishi hapo hapo kitambo ila tu anapanua nyumba yake kwa kumalizia tu. Mkuu mimi ni wale watu ambao kudai hatujui... Nikikupatia kitu usipolipa nikakudai mara kama 3, kama naona huyu hana uwezo wa kulipa nitakwambia nimekusamehe, kama naona una uwezo wa kulipa ila hutaki kulipa basi nakuacha wala sitokudai tena ila ukae ujue siku ukiwa na shida utaona aibu mwenyewe kuniomba na hata ukiniambia nitakwambia sina.
 
yaani mkopo hulipwa na Mkopo Mtu akikudai unakopa kule unalipa huku Alisikika Mlevi mmoja hivi huko Duniani
 
Zamani nilikuwa najua watu wanao kimbia madeni wanafanya kusudi

🙌🙌🙌
Bora kama sasa umejua.Kwani wakati huo hukuwahi kuambiwa kua uyaone mwanangu?Kama uliwahi unafikiri ulikuwa unaambiwa uyaone manyani,maharamia ama maisha?
 
Nadaiwa milioni 50 jumla yote.hapa nilipo naongea na benki zinazonidai na watu binafsi wanaonidai nione jinsi ya kuwalipa japo biashara zangu zote zimefilisika.
Tunatakiwa kuwa wavumilivu tunapodaiwa na wenye mali,tuvumilie matusi na kauli za unyanyapaa kutoka kwa ndugu na marafiki.
Mnaotudai hakika tunatamani kuwalipa lakini tumefilisika
Pole kaka.....Naamini utakipita hiki kipindi....never loose hope
 
Back
Top Bottom