Nilidondoshaga wallet bar. Sijui barmaid au mwanamke gani akaiokota, alichofanya Mungu anajua

Nilidondoshaga wallet bar. Sijui barmaid au mwanamke gani akaiokota, alichofanya Mungu anajua

dorge

Senior Member
Joined
Feb 7, 2025
Posts
118
Reaction score
186
Bar fulani pale Kinyerezi nilipita kupata moja moto

Baada ya kumaliza wallah sijalewa kivile, ilikuwa mifuko ya nyuma ya jeans yangu imelegea ikadondoka pale kwenye tent la tasker kuna kigiza.

Nikasepa, akapita nayo huyo aidha barmaid au mwanamke kwa sababu iliokotwa kwenye dust bin chooni kwa kwa wanawake.

Huyu dada aliyeitoa kwenye lile bin la toilet akaichukua akachukua kitambulisho cha NMB wakasearch namba ya simu pale benk akanipigia dah ...

Dada wa benk: wewe ndio 'dorge'
Mimi: ni mimi dada nani mwenzangu?
Dada wa benk: ...nimeokota wallet yako ( )
Mimi: Wapi?


Yaani nilichoka kabisa.
Kwanza nikahisi ni tapeli, nilivuta punzi nyingi na kuitoa.

Mimi: Dada nikukute wapi?
Dada: .........

Akanielekeza....nikaenda kuipokea.

Mimi nilijitambulisha nikamdanganya maana nilikuwa na aibu za kiume.
Dada akaniambia anafanya kazi benk lkn nahisi alinidanganya kwa sababu namuonaga amevaa kipolisipolisi. Kwa harakaharaka nimehisi barmaid wengine walevi wana roho mbaya sana. Kama amechukua pesa why aitupe kwa dustbin. Utagundua roho mbaya ya huyu barmaid inamfanya aendelee kuishi bar na kuishia kushikwa mataco. Huyu dada wa benk au polisi sijui alivyo kiuchumi unaona kabisa wema unalipa.

Dada nakushukuru sana hadi leo.

Mytake. Huyu dada ana gari kali sana. Wema wake Mwenyezi Mungu anamuongoza. Jamani tujitahidi kutenda wema
 
unnamed+(42).jpg
 
Bar flan pale Kinyerezi nilipita kupata moja moto

Baada ya kumaliza wallah sijalewa kivule..ilikuwa mifuko ya nyuma ya jeans yangu imelegea ikadondoka pale kwenye tent la tasker kuna kigiza.

Nikasepa...akapita nayo huyo aidha bar maid au mwanamke kwa sababu iliokotwa kwenye dust bin chooni kwa kwa wanawake.

Huyu dada aliyeitoa kwenye lile bin la toilet akaichukua akachukua kitambulisho cha nmb wakasearch namba ya simu pale benk...akanipigia dah ...

Dada wa benk: wewe ndio 'dorge'
Mimi: ni mimi dada nani mwenzangu?
Dada wa benk: ...numeokota wallet yako ( )
Mimi: Wapi????


Yaani nilichoka kabisa.
Kwanza nikahisi ni tapeli...nilivuta punzi nyingi na kuitoa.

Mama: Dada nikukute wapi?
Dada: .........

Akanielekeza....nikaenda kuipokea.

Mimi....nilijitambulisha..nikamdanganya maana nilikuwa na aibu za kiume.
Dada..akaniambia anafanya kaz benk ..lkn nahisi alinidanganya kwa sabab namuonaga amevaa kipolisipolisi. Kwa harakaharaka nimehisi bar maid wengine walev wanaroho mbaya sana. Kama amechukua pesa why aitupe kwa dustbin. Utagundua roho mbaya ya huyu bar maid inamfanya aendelee kuishi bar na kuishia kushikwa mataco. Huyu dada wa benk au polisi sijui alivyo kiuchumi unaona kabisa wema unalipa.

Dada nakushukuru sana hadi leo.

Mytake. Huyu dada anagari kali sana. Wema wake Mwenyezi Mungu anamuongoza. Jamani tujitahidi kutenda wema
Daaah Sasa mara mungu anajua, mara ni mwemaa mbona hatukuelewi mkuu
 
Bar flan pale Kinyerezi nilipita kupata moja moto

Baada ya kumaliza wallah sijalewa kivule..ilikuwa mifuko ya nyuma ya jeans yangu imelegea ikadondoka pale kwenye tent la tasker kuna kigiza.

Nikasepa...akapita nayo huyo aidha bar maid au mwanamke kwa sababu iliokotwa kwenye dust bin chooni kwa kwa wanawake.

Huyu dada aliyeitoa kwenye lile bin la toilet akaichukua akachukua kitambulisho cha nmb wakasearch namba ya simu pale benk...akanipigia dah ...

Dada wa benk: wewe ndio 'dorge'
Mimi: ni mimi dada nani mwenzangu?
Dada wa benk: ...numeokota wallet yako ( )
Mimi: Wapi????


Yaani nilichoka kabisa.
Kwanza nikahisi ni tapeli...nilivuta punzi nyingi na kuitoa.

Mama: Dada nikukute wapi?
Dada: .........

Akanielekeza....nikaenda kuipokea.

Mimi....nilijitambulisha..nikamdanganya maana nilikuwa na aibu za kiume.
Dada..akaniambia anafanya kaz benk ..lkn nahisi alinidanganya kwa sabab namuonaga amevaa kipolisipolisi. Kwa harakaharaka nimehisi bar maid wengine walev wanaroho mbaya sana. Kama amechukua pesa why aitupe kwa dustbin. Utagundua roho mbaya ya huyu bar maid inamfanya aendelee kuishi bar na kuishia kushikwa mataco. Huyu dada wa benk au polisi sijui alivyo kiuchumi unaona kabisa wema unalipa.

Dada nakushukuru sana hadi leo.

Mytake. Huyu dada anagari kali sana. Wema wake Mwenyezi Mungu anamuongoza. Jamani tujitahidi kutenda wema
Waliokwisha soma huu uzi na wakatoka kapa kama mimi waweke likes za kutosha hapa👇
 
Back
Top Bottom