bobby dolat
Senior Member
- May 18, 2015
- 167
- 263
Jana nimeenda kuonana na mwanamke mmoja ambae tumekua marafiki kwa mwezi mmoja ndani ya JF, tulishapeana namba za simu siku nyingi na huwa tuna chat whatsaap. Sasa nikaingiwa na uroho wa kutaka kumgegeda maana tukiongea kwa simu huonesha mahaba katika kuchezea sauti yake.mara abane pua, na majina yetu yalishabadilika sasa tunaitana honey ingawa hatujaonana.
Mimi amekua akiona picha zangu whatsaap mara kwa kwa mara ila yeye hajawahi kuonesha picha. Sasa jana tukakubaliana tuonane jioni baada ya kazi wakati tukisubiri foleni iishe. Nikapaki City garden lakini sikushuka kwenye Gari, Mara naona Toyota Cienta nyeusi inapaki likashuka jimama moja mfano wa pink panther wa kwenye filamu ya Eddie Murphy, likashuka kwenye Gari huku likionekana kupiga simu na simu yangu ikaita nikapokea.
Likanimbia limefika nikasema poa, nikataka niondoe Gari nikimbie lakini nikasema sio vizuri nikamfuata pale tukaacha pale magari yetu tukatembea kwenda jojes nyuma ya NMB Bank house.Yaani kwa muonekano ni kama mama na mwanae nilisikia aibu ya aina yake. Halafu jimama lenyewe bahili kweli limekunywa bia 14 supu ya kuku, nyama ya mbuzi na ndizi za kuchoma mhudumu alipokuja kudai hela likajikausha likijifanya kuchati na simu nikalazimika kulipa ingawa mm nilikunywa bia tano tu na viroba vinne vya kujazilizia ulevi.
Sikutaka kula maana ugomvi wa mke wangu naujua iwapo nimekula nje.Tumeachana saa tatu usiku nikiwa na 500 tu mfukoni sina hamu nae na sitaki tena naomba wewe mama tulietoka Jana usinitafute tena. Mtu unakunywaje bia kumi na nne? Nimegundua kuwa kumbe ukiona demu wa JF anakushobokea ujue huyo ni mbaya hana mvuto kauawa sura. Ukiona post zake humu na jinsi anavyo pretend kama vile yupo juu kumbe ovyo.
Mimi amekua akiona picha zangu whatsaap mara kwa kwa mara ila yeye hajawahi kuonesha picha. Sasa jana tukakubaliana tuonane jioni baada ya kazi wakati tukisubiri foleni iishe. Nikapaki City garden lakini sikushuka kwenye Gari, Mara naona Toyota Cienta nyeusi inapaki likashuka jimama moja mfano wa pink panther wa kwenye filamu ya Eddie Murphy, likashuka kwenye Gari huku likionekana kupiga simu na simu yangu ikaita nikapokea.
Likanimbia limefika nikasema poa, nikataka niondoe Gari nikimbie lakini nikasema sio vizuri nikamfuata pale tukaacha pale magari yetu tukatembea kwenda jojes nyuma ya NMB Bank house.Yaani kwa muonekano ni kama mama na mwanae nilisikia aibu ya aina yake. Halafu jimama lenyewe bahili kweli limekunywa bia 14 supu ya kuku, nyama ya mbuzi na ndizi za kuchoma mhudumu alipokuja kudai hela likajikausha likijifanya kuchati na simu nikalazimika kulipa ingawa mm nilikunywa bia tano tu na viroba vinne vya kujazilizia ulevi.
Sikutaka kula maana ugomvi wa mke wangu naujua iwapo nimekula nje.Tumeachana saa tatu usiku nikiwa na 500 tu mfukoni sina hamu nae na sitaki tena naomba wewe mama tulietoka Jana usinitafute tena. Mtu unakunywaje bia kumi na nne? Nimegundua kuwa kumbe ukiona demu wa JF anakushobokea ujue huyo ni mbaya hana mvuto kauawa sura. Ukiona post zake humu na jinsi anavyo pretend kama vile yupo juu kumbe ovyo.