Nilienda ku meet na mwana JF, kumbe ni pink panther

Nilienda ku meet na mwana JF, kumbe ni pink panther

bobby dolat

Hahahaaa bia unalalamika? Vip ingekuwa whisky. Huyo uliokutana nae cha mtoto...
Mkuu Rene Jr. Njoo mwadisie mwenzako huku
 
Last edited by a moderator:
Ahahahaaaa una utata na wanawake wa jf wewe, ila imekaa vizuri post yako, wataanza kuchukua image.
 
Si ungekula hata 0713 kupunguza machungu?au ulikuwa unaweza ku threadika hapa
 
Hahahaaa bia unalalamika? Vip ingekuwa whisky. Huyo uliokutana nae cha mtoto...
Mkuu Rene Jr. Njoo mwadisie mwenzako huku
Hahaaa..hajijuwi tu kama ana bahati huyu, mwanamke anakunywa beer?!!...kwani beer shngapi?!! Watu wengine wana bahati sana, wengine tuna hasara tu...hasaraaaaaa, majutooooo! Mwanamke ukimwangalia mtoto mzuri Mashallah unasema hii bahati iliyoje, katoto innocent kapole...katoto kanavutia utajua kanaagiza juice ya embe, au basi hata castle lite, ikizidi sana hata Savannah basi...thubutuuuu...waitress anauliza katoto kanaropoka bila aibu.."nletee MACKMYRA"...yallah, hizi makitu si wanauza laki tatu na kitu hizi...mweeeh! Lakini mwanaume nikajipa moyo...

aah, si mbaya sana, haka katoto kameshajiroga, hii hakamalizi kanachakaa saaasa hivi kanachakaa kanaomba po! kanafikiri kananikomoa bora kangeagiza Margarita au Daiquri kananyonya taratibu knadai eti kanapenda kavu zisizochanganywa! Mtoto anakunywa kavukavu na jicho jeupeee.....dah, hasara tupu, tena aibu mwanaume unalewa dem bado anadai, card zote anazo yeye duh!

Lakini nashukuru Mungu sikukutana na changu, pamoja na kumpa cards zote ashikilie na passwords anazo lakini mwisho wa siku nilipozinduka nikajikuta nimelala kitandani saafi, sijapoteza hata soks, chenji mfukoni ziko fresh, card ziko salama...ubavuni mwangu kalala mtoto mwanana ndani ya nightie tu akinitabasamulia....hata hangover skuiskia! I LOVE YOU AHMADA WANGU, aka PAMPURA....aka BI MKORA...aka KAMISS KANGU, aka KIUNO FENI MBOVU! Unantia hasara lakini sina ujanja juu yakoooo, unanifundisha tabia mbaya lakini nakupenda tuuu! idumu JF!
 
bobby dolat

Halo mbona waniogopesha? Inabidi sasa nipunguze spidi zangu, hasa huko PM!
 
Last edited by a moderator:
Hahaaa..hajijuwi tu kama ana bahati huyu, mwanamke anakunywa beer?!!...kwani beer shngapi?!! Watu wengine wana bahati sana, wengine tuna hasara tu...hasaraaaaaa, majutooooo! Mwanamke ukimwangalia mtoto mzuri Mashallah unasema hii bahati iliyoje, katoto innocent kapole...katoto kanavutia utajua kanaagiza juice ya embe, au basi hata castle lite, ikizidi sana hata Savannah basi...thubutuuuu...waitress anauliza katoto kanaropoka bila aibu.."nletee MACKMYRA"...yallah, hizi makitu si wanauza laki tatu na kitu hizi...mweeeh!

Lakini mwanaume nikajipa moyo...aah, si mbaya sana, haka katoto kameshajiroga, hii hakamalizi kanachakaa saaasa hivi kanachakaa kanaomba po! kanafikiri kananikomoa bora kangeagiza Margarita au Daiquri kananyonya taratibu knadai eti kanapenda kavu zisizochanganywa! Mtoto anakunywa kavukavu na jicho jeupeee.....dah, hasara tupu, tena aibu mwanaume unalewa dem bado anadai, card zote anazo yeye duh!

Lakini nashukuru Mungu sikukutana na changu, pamoja na kumpa cards zote ashikilie na passwords anazo lakini mwisho wa siku nilipozinduka nikajikuta nimelala kitandani saafi, sijapoteza hata soks, chenji mfukoni ziko fresh, card ziko salama...ubavuni mwangu kalala mtoto mwanana ndani ya nightie tu akinitabasamulia....hata hangover skuiskia! I LOVE YOU AHMADA WANGU, aka PAMPURA....aka BI MKORA...aka KAMISS KANGU, aka KIUNO FENI MBOVU! Unantia hasara lakini sina ujanja juu yakoooo, unanifundisha tabia mbaya lakini nakupenda tuuu! idumu JF!

Hahahaaaa mkuu wew si uliniambia niagizeee? Chochote ninachotaka hahahaaaaaa nilikuweza duu....kwanza mkuku mzima.
Ila mkuu japo ulizima mimi nikakutafutia makazi ulikuwa active kinoma hahahaaaaaaaa....

I mich you so much...nina kiu na kila kitu... VIPI NIJE?
Japo umenifundisha mambo mabaya NAKUPENDA SANA NA HELA YAKO TAMUUU
 
Kichwa chake cha chini kina fanya kasi kwa kasi ya machine kuliko cha juu
 
Hahahaaaa mkuu wew si uliniambia niagizeee? Chochote ninachotaka hahahaaaaaa nilikuweza duu....kwanza mkuku mzima.
Ila mkuu japo ulizima mimi nikakutafutia makazi ulikuwa active kinoma hahahaaaaaaaa....
I mich you so much...nina kiu na kila kitu... VIPI NIJE?
Japo umenifundisha mambo mabaya NAKUPENDA SANA NA HELA YAKO TAMUUU

Ukiwa pekeyako unaagizaga hiyo midudud au ndiyo kunikomoa! Mkuku wenyewe ukala kipapatio ukauacha kama ulivyo, ujue nilionea soo wale wadada waliokaa meza ya kushoto wananifahamu...wallah ningemtafuna mwenyewe huyo kyuku.

Kusema kweli nashukuru Mungu uwepo wako una faida na hasara, ila uropokaji punguza....kwani mpaka uandike mambo yote kwenye thread ujue hapa ni public! Pesa yake matumizi, ila usirogwe sku moja uniombe cash!
 
Ukiwa pekeyako unaagizaga hiyo midudud au ndiyo kunikomoa! Mkuku wenyewe ukala kipapatio ukauacha kama ulivyo, ujue nilionea soo wale wadada waliokaa meza ya kushoto wananifahamu...wallah ningemtafuna mwenyewe huyo kyuku. Kusema kweli nashukuru Mungu uwepo wako una faida na hasara, ila uropokaji punguza....kwani mpaka uandike mambo yote kwenye thread ujue hapa ni public! Pesa yake matumizi, ila usirogwe sku moja uniombe cash!

Nikiwa peke yangu najidai nimeokoka..... unazani mimi nina hela ya kujinunulia pombe za ghali ivyo na akati nataka kufanya shopping ya nguo USA...
Iyo ni kazi yako mkuu maana unapenda papuchi
 
Ahhhahaaaa!!ndiyo maana mi sitaki kumpa mtu namba yangu hata ya simu ya mezani aisee sikupi!!!wacha tuendelee kuchat humuhumu jamvini!maskini.mama wa watu kadhalilika!
 
Nikiwa peke yangu najidai nimeokoka..... unazani mimi nina hela ya kujinunulia pombe za ghali ivyo na akati nataka kufanya shopping ya nguo USA...
Iyo ni kazi yako mkuu maana unapenda papuchi

Yallah! Acha kufaidisha watu bana njoo kwa mobile!
 
Ahhhahaaaa!!ndiyo maana mi sitaki kumpa mtu namba yangu hata ya simu ya mezani aisee sikupi!!!wacha tuendelee kuchat humuhumu jamvini!maskini.mama wa watu kadhalilika!

na kweli huyu jamaa hajafanya ustaarabu kabsa, haikuwa muhim kumfngulia mtu thread!
 
na kweli huyu jamaa hajafanya ustaarabu kabsa, haikuwa muhim kumfngulia mtu thread!

Hahahaaa mkuu unazani ni kweli sasa..huyu kaja kutuvunja mbavu tuu.
Ingekuwa kweli asingedhubutu angechambwaaa
 
Back
Top Bottom