Nilienda ku meet na mwana JF, kumbe ni pink panther

bora wewe umemwambia haoni haibu kumcheat mkewe AKOME tena bora ameliwa hela zake anafikiri kumcheat mke mchezo hajui kuwa kuna maumivu yake NASEMA AKOME NA AMEKOMESHWA NA BADO naomuomba huyo aendelee kumkosmesha mpaka aende kuzima kwa dhambi yake ya uzinzi kama hajaitubia na kumrudia Mungu wake
Unaonekana mkuu wewe ni mzinzi sana una mke lakini bado macho waluwalu
 
Ahhhahaaaa!!ndiyo maana mi sitaki kumpa mtu namba yangu hata ya simu ya mezani aisee sikupi!!!wacha tuendelee kuchat humuhumu jamvini!maskini.mama wa watu kadhalilika!

Hahaha unaogopa kuja kuadhirika humu noma sana. Haha mambo gani haya
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…