Hii si lazima iwe hivyo.Iwapo alisex na A, then B na ni siku za hatari, mimba ni ya A na hivyo basi yeye mwanamke ndiye anajua mimba ni ya A kwa sababu ndiye anajua kwamba A kamwaga ndani ila yeye B hajui hilo bali amepanda mbegu isiyo na manufaa.
Unakubali je fedheha km hiiHahaha
navuta subira then ntafanya maamuzi magumu maana siwezi kuteseka hivi aisee
Kiongozitambua kuwa ulikosea toka mwanzo kwa kuanza kuzini nae kisha ndo ukaja ukaoa so usitafute mchawi nani mm nakushauri umrudie MUNGU wako utubu hyo dhambi ila kama ni mkristo rejea kusoma katika kitabu cha WakorinthoKwema Wadau?
Naombeni ushauri wenu ndugu zangu,Nilikutana na Ex wangu ambaye aliniacha way back akaolewa but hakudumu ndoani alikaa 5 months only then after sometime akaolewa tena lakini hakudumu pia.Sababu ya ndoa zote kutodumu ilikuwa kutopata Mimba kiasi kwamba akasema hawezi kuolewa tena hadi abebe mimba,ajifungue ndio ataolewa.
Nilikutana nae Last Year kwenye mwezi wa Saba na tukarudisha mawasiliano na akaibuka Maghetoni nakumbuka ilikuwa tarehe 30/07/2023 akastay home kwangu kama three days akaondoka then after 2 days akarudi tena ikawa ndo kamchezo yaani anakuja week anaondoka then anarudi mwisho tukaanza kuishi pamoja.
Mwezi wa 9 hivi akanambia hajaona siku zake anahisi ana Mimba maana alivyokuja First Time alikuwa kwenye siku za hatari lakini hawezi kushangilia maana alishakutana na hizo mbanga mara nyingi lakini mwisho wa siku bila bila so tuvute subira hadi kitumbo kitoke ndo tukapime tuthibitishe kitu ambacho baadae tulikifanya na ikaonekana kweli mjamzito na kwa uwezo wake MUNGU akajifungua tarehe 19/04/2024.
She was so Happy kufanikiwa kupata mtoto na tukakubaliana tufanye kuhalalisha tu kwa ndoa simple tu maana yeye alishaolewa mara 2 so hataki tena mbwembwe.Kwahiyo Ijumaa ya tarehe 10/5/2024 tulifunga ndoa.Lakini kabla ya kufunga ndoa hiyo,asubuhi ya siku hiyo ya harusi/Ndoa nilichukua simu yake nitumie kumpigia mshenga wangu ili kupanga ratiba vizuri ya shughuli ndo nilipokutana na jambo ambalo limefanya niombe USHAURI HUU....
Nilikuta SMS anachati na jamaa anaomba Hela ya Matumizi akimwambia jamaa kuwa mtoto hana Pampers na pia Kodi yake alipopanga Imeisha.Tena anamuita mume wake kabisa "TUNAOWAAMINI NDO WANAOTUUMIZA" Kiukweli niliumia sana maana hata nilipomuuliza alianza kwa kukana kuwa hizo SMS za zamani lakini nilipombana zaidi akakiri kwamba jamaa ni Ex wake na alikuwa anamdanganya tu na wala jamaa hakutuma hela na pia wameishablokiana.Kiufupi ndoa tumefunga Fresh lakini mie sina IMANI wala AMANI kabisa yaani nawaza mengi hadi nahisi kuchanganyikiwa so guys please naomba ushauri wenu.....
WENU KATIKA MTIHANI MZITO
kiongozi pole sana kwa madhila hayo ila tambua kuwa ulishakosea toka mwanzo kwa kuzini nae kabla ya kumuoa lkn kosa la pili ni kwamba umemuoa mke wa mtu kama ni Mkristo ukisoma Marko 10:11-12 utapata kuelewa alichokisema Yesu kuhusu ndoa hivyo ushauri wangu kwako ni kwanza ufanye toba ya dhati na ujutie dhambi ya uzinzi uliyoifanya kwa MUNGU wako kisha anza maisha mapya kuwa na imani kuwa MUNGU unaemuomba atakupa majibu ya mashaka yako! Angalizo kuwa makini usije ukajikuta unafanya kosa lingine la kuamua kufanya kile ambacho shetani atakuchochoea kufanya! Rudi kwa MUNGU wako tu! Mkuu!Kwema Wadau?
Naombeni ushauri wenu ndugu zangu,Nilikutana na Ex wangu ambaye aliniacha way back akaolewa but hakudumu ndoani alikaa 5 months only then after sometime akaolewa tena lakini hakudumu pia.Sababu ya ndoa zote kutodumu ilikuwa kutopata Mimba kiasi kwamba akasema hawezi kuolewa tena hadi abebe mimba,ajifungue ndio ataolewa.
Nilikutana nae Last Year kwenye mwezi wa Saba na tukarudisha mawasiliano na akaibuka Maghetoni nakumbuka ilikuwa tarehe 30/07/2023 akastay home kwangu kama three days akaondoka then after 2 days akarudi tena ikawa ndo kamchezo yaani anakuja week anaondoka then anarudi mwisho tukaanza kuishi pamoja.
Mwezi wa 9 hivi akanambia hajaona siku zake anahisi ana Mimba maana alivyokuja First Time alikuwa kwenye siku za hatari lakini hawezi kushangilia maana alishakutana na hizo mbanga mara nyingi lakini mwisho wa siku bila bila so tuvute subira hadi kitumbo kitoke ndo tukapime tuthibitishe kitu ambacho baadae tulikifanya na ikaonekana kweli mjamzito na kwa uwezo wake MUNGU akajifungua tarehe 19/04/2024.
She was so Happy kufanikiwa kupata mtoto na tukakubaliana tufanye kuhalalisha tu kwa ndoa simple tu maana yeye alishaolewa mara 2 so hataki tena mbwembwe.Kwahiyo Ijumaa ya tarehe 10/5/2024 tulifunga ndoa.Lakini kabla ya kufunga ndoa hiyo,asubuhi ya siku hiyo ya harusi/Ndoa nilichukua simu yake nitumie kumpigia mshenga wangu ili kupanga ratiba vizuri ya shughuli ndo nilipokutana na jambo ambalo limefanya niombe USHAURI HUU....
Nilikuta SMS anachati na jamaa anaomba Hela ya Matumizi akimwambia jamaa kuwa mtoto hana Pampers na pia Kodi yake alipopanga Imeisha.Tena anamuita mume wake kabisa "TUNAOWAAMINI NDO WANAOTUUMIZA" Kiukweli niliumia sana maana hata nilipomuuliza alianza kwa kukana kuwa hizo SMS za zamani lakini nilipombana zaidi akakiri kwamba jamaa ni Ex wake na alikuwa anamdanganya tu na wala jamaa hakutuma hela na pia wameishablokiana.Kiufupi ndoa tumefunga Fresh lakini mie sina IMANI wala AMANI kabisa yaani nawaza mengi hadi nahisi kuchanganyikiwa so guys please naomba ushauri wenu.....
WENU KATIKA MTIHANI MZITO
Endelea kuwa baba huruma halafu wazee wanajipakulia mkeo. Ameshakuona wewe ni dhaifu akilia tu unasameheNilishindwa kuahirisha alinililia sana nisimdhalilishe mbele ya familia na ndugu zake
Bila shaka hii ni ''chai'' ya kuchangamsha kijiwe. Unajifanya wewe ulifanya mambo ya kibwege ili watu wengi wachangie uzi wako.navuta subira then ntafanya maamuzi magumu maana siwezi kuteseka hivi aisee
Acheni kukuza mambo bwana! Mambo madogo tu hayo, uzito upo vichwani mwenu.Ukweli unaponya, wanaume tumekuwa legelege mno miaka hii, huyo alitakiwa kuahirisha ndoa siku ile, he must've called it off.
Mambo my🤣🤣🤣🤣 ila baba bulubendi!